Vita vya Gaza: Uthibitisho katika quran

Vita vya Gaza: Uthibitisho katika quran

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288

Suuratul Maida​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika​

Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.​


Enyi mlio amini! Si halali kwenu kuwachukua Mayahudi na Wakristo mkawafanya ndio marafiki zenu. Wao hao ni sawa sawa katika kukufanyieni uadui. Na mwenye kufanya urafiki nao, basi ni kundi moja nao. Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi wanao jidhulumu nafsi zao kwa kufanya urafiki na makafiri.

Tunaona USA, NATO, UNO NA WANAOVUNGANA NA ISRAEL

Tunaona jitihada za mataifa ya magharibi dhidi ya uKRAIN
 

Suuratul Maida​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika​

Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.​


Enyi mlio amini! Si halali kwenu kuwachukua Mayahudi na Wakristo mkawafanya ndio marafiki zenu. Wao hao ni sawa sawa katika kukufanyieni uadui. Na mwenye kufanya urafiki nao, basi ni kundi moja nao. Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi wanao jidhulumu nafsi zao kwa kufanya urafiki na makafiri.

tunaona USA, NATO, UNO NA WANAOVUNGANA NA ISRAEL
tunaona jitihada za mataifa ya magharibi dhidi ya uKRAIN
Siungi mkono Israel ila hata Waislam huwa mnachukuliana ni ndugu sisi wengine ni watu baki.
Narudia tena mimi natamani Palestina wapate taifa lao. Vita ya Israel la Palestina mimi siitazami kwa msingi wa dini ila wa haki
 
Siungi mkono Israel ila hata Waislam huwa mnachukuliana ni ndugu sisi wengine ni watu baki.
Narudia tena mimi natamani Palestina wapate taifa lao. Vita ya Israel la Palestina mimi siitazami kwa msingi wa dini ila wa haki
umeona lkn Ukran vs Urusi
Kwani hiyo sura imezuka gafla au ndiyo umeiona leo?.
ipo zamani, tatizo waislam wengi hivi sasa hawaisomi Quran ndio athari yake hio
 
umeona lkn Ukran vs Urusi

ipo zamani, tatizo waislam wengi hivi sasa hawaisomi Quran ndio athari yake hio
Sasa pàle kati ya ukraine na urusilipi taifa la kiislam? Wale magaharibi kila vita wana upande na pale wamekaa upande wa ukraine kwa sababu ni mahasimu wa mrusi.
Wakati mrusi anapiga na taliban, wakamtrain osama na kuwapa taliban silaha wakamfurumsha urusi afghanistan. Sometimes si imani ni interest zao tu
 
Siungi mkono Israel ila hata Waislam huwa mnachukuliana ni ndugu sisi wengine ni watu baki.
Narudia tena mimi natamani Palestina wapate taifa lao. Vita ya Israel la Palestina mimi siitazami kwa msingi wa dini ila wa haki
Kwani palestina walishawahi kuwa na taifa?
 

Suuratul Maida​

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika​

Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.​


Enyi mlio amini! Si halali kwenu kuwachukua Mayahudi na Wakristo mkawafanya ndio marafiki zenu. Wao hao ni sawa sawa katika kukufanyieni uadui. Na mwenye kufanya urafiki nao, basi ni kundi moja nao. Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi wanao jidhulumu nafsi zao kwa kufanya urafiki na makafiri.

tunaona USA, NATO, UNO NA WANAOVUNGANA NA ISRAEL


tunaona jitihada za mataifa ya magharibi dhidi ya uKRAIN
Unawaaibisha wavaa Kobasi wenzako...Mbona Huku wabaa kobasi wana akili wewe imekuaje tena
 
Dunia bila dini ingekua ni sehemu moja nzuri sana ,dini zinaleta chuki na utengano baina ya watu hazina maana yoyote.
 
Hiyo haina maana yoyote mfanye urafiki msifanye sisi tunataka tuone mungu wa nani ana nguvu ili tumpe sifa HALAFU KAFIRI NI WEWE MWENYEWE UNAYESUBIRIA WAKE 72 PEPONI nasikitika na mahawala wako watageuka kuwa majini weupe au ndo ulipigwa na kitu kizito
 
Back
Top Bottom