GEBA2013
JF-Expert Member
- Feb 22, 2014
- 4,880
- 6,047
kung` ah no`o ninaye? axuuke? palestina iya yamakong'Kwani palestina walishawahi kuwa na taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kung` ah no`o ninaye? axuuke? palestina iya yamakong'Kwani palestina walishawahi kuwa na taifa?
Wanasoma/tunasoma sana shida yako unadhani Quran inasomwa kama gazeti, haipo hivyo ndg na ingekuwa hivyo unavyosoma wewe, all muslims mngekuwa na bara lenu.ipo zamani, tatizo waislam wengi hivi sasa hawaisomi Quran ndio athari yake hio
Upo vizuriSiungi mkono Israel ila hata Waislam huwa mnachukuliana ni ndugu sisi wengine ni watu baki.
Narudia tena mimi natamani Palestina wapate taifa lao. Vita ya Israel la Palestina mimi siitazami kwa msingi wa dini ila wa haki