Umesoma lkn hio maada?Kama kupigwa mmepigwa. Mengine ni porojo tu.
umesoma lkn mada?Amka Acha wazimu wewe.
itakuwa mkiristo weweNdo kwanza sindano imepenya dawa bado
Siungi mkono Israel ila hata Waislam huwa mnachukuliana ni ndugu sisi wengine ni watu baki.Suuratul Maida
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika
Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Enyi mlio amini! Si halali kwenu kuwachukua Mayahudi na Wakristo mkawafanya ndio marafiki zenu. Wao hao ni sawa sawa katika kukufanyieni uadui. Na mwenye kufanya urafiki nao, basi ni kundi moja nao. Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi wanao jidhulumu nafsi zao kwa kufanya urafiki na makafiri.
tunaona USA, NATO, UNO NA WANAOVUNGANA NA ISRAEL
tunaona jitihada za mataifa ya magharibi dhidi ya uKRAIN
umeona lkn Ukran vs UrusiSiungi mkono Israel ila hata Waislam huwa mnachukuliana ni ndugu sisi wengine ni watu baki.
Narudia tena mimi natamani Palestina wapate taifa lao. Vita ya Israel la Palestina mimi siitazami kwa msingi wa dini ila wa haki
ipo zamani, tatizo waislam wengi hivi sasa hawaisomi Quran ndio athari yake hioKwani hiyo sura imezuka gafla au ndiyo umeiona leo?.
Sasa pàle kati ya ukraine na urusilipi taifa la kiislam? Wale magaharibi kila vita wana upande na pale wamekaa upande wa ukraine kwa sababu ni mahasimu wa mrusi.umeona lkn Ukran vs Urusi
ipo zamani, tatizo waislam wengi hivi sasa hawaisomi Quran ndio athari yake hio
hapo inazungumziwa Tanzania?HIVI UJINGA KWA WATANZANIA UPO KWENYE QURAN?
Kwani palestina walishawahi kuwa na taifa?Siungi mkono Israel ila hata Waislam huwa mnachukuliana ni ndugu sisi wengine ni watu baki.
Narudia tena mimi natamani Palestina wapate taifa lao. Vita ya Israel la Palestina mimi siitazami kwa msingi wa dini ila wa haki
Unawaaibisha wavaa Kobasi wenzako...Mbona Huku wabaa kobasi wana akili wewe imekuaje tenaSuuratul Maida
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika
Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Enyi mlio amini! Si halali kwenu kuwachukua Mayahudi na Wakristo mkawafanya ndio marafiki zenu. Wao hao ni sawa sawa katika kukufanyieni uadui. Na mwenye kufanya urafiki nao, basi ni kundi moja nao. Na hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi wanao jidhulumu nafsi zao kwa kufanya urafiki na makafiri.
tunaona USA, NATO, UNO NA WANAOVUNGANA NA ISRAEL
tunaona jitihada za mataifa ya magharibi dhidi ya uKRAIN
Unawaaibisha wavaa Kobasi wenzako...Mbona Huku wabaa kobasi wana akili wewe imekuaje tena. Mkiristo wewe mwehu
Inategemea unalitazama kwa angle ipi. Kama Sudan kusini ni taifa la juzi kwanini wapalestina wasitambulike kama taifaKwani palestina walishawahi kuwa na taifa?