Vita vya GDP Afrika Mashariki ni Kati ya Kenya, Ethiopia na Tanzania tangu 1980. Nafasi ya kwanza inaeza nyakuliwa na nchi hizi tatu

Huwa hata hamsomi zaidi ya sentensi moja kabla kujibu shombo na kukimbia, ila jamaa huwa hawachoki bado wanaandika, kwanza leo dah yaani wameandika hadi basi, inaonyesha matumaini hampo vilaza nchi yote kunao wanaotumia ubongo.
sasa mtu anaandika"corona yaua maelfu dsm"

unamjibu nini zaidi ya kumpa kibano cha mbwa malaya mla mayai.
 
sasa mtu anaandika"corona yaua maelfu dsm"

unamjibu nini zaidi ya kumpa kibano cha mbwa malaya mla mayai.

Ya kupukutika kwa corona mlikua mkiyasema wenyewe, muulize Bashite kipindi kile hamkua mumejichokea.
 
Hao tunawajibu kwa vitendo kwa sababu wapo ndani ya tz
 
Ya kupukutika kwa corona mlikua mkiyasema wenyewe, muulize Bashite kipindi kile hamkua mumejichokea.
kila mtu ana haki ya kuongea, hata vichaa wanaongea ila hawajibiwi.
 
Mabadiliko haya ya kiuchumi yakitazamwa na mabadiliko ya kihistoria na uongozi yanaweza kutuonyesha ni kitu gani kinaweza kusababisha uchumi kuimarika au kusambaratika.

Yaan miaka ya 80 tulikua tuna lead hongera nyerere
Na miaka ya mkapa Sasa Hawa wengine ndo shida

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Fools comparing apples to oranges
Tz: 2020 GDP = $62B, Debt = $23b
ke: 2015 GDP = $64B, Debt = $30b
Tanzania is at the same GDP level with kenya 5 years ago but with less debt and more growth 6.7 % vs 4.7%.
Tz also enjoys less Taxation 13% of GDP vs Kenya's 19% GDP
As you can see, Kenyans are overtaxed, Overdebted while producing the same GDP as Tanzanians.
Kwa kifupi, wakenya hufanya kazi kulipa kodi na kulipa mikopo ya Mzungu
 
Hizi hesabu inatakiwa akili kubwa zilizotulia kuzielewa.

Sio hawa vibungo wanaopiga kelele kama nyani muda wote humu.
 
You're actually behind Kenya 5 years ago - lol. 5 effing years ago.😂😂

The rest don't matter. You should be worried being 5 years behind Kenya when you were ahead of us just 15 years ago.
 
1999-2004 Tz ilikuwa kiongozi was EAC kiuchumi lakini kwa wakati Huu Kenya ndio kiongozi akifuata Ethiopia.
 
Yaan miaka ya 80 tulikua tuna lead hongera nyerere
Na miaka ya mkapa Sasa Hawa wengine ndo shida

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Nilichogundua kwenye hiyo animation,Mwinyi na Kikwete ndio waliirudisha nyuma TANZANIA, yaani kutoka 1995-2005, Tanzania ilipaa kw kasi ya kutisha, na hatukupitwa na nchi yoyote, Ila alipoingia Kikwete, mpaka Sasa, tunasuasua, na ndio maana Wakenya wanamsifu humu, yaani hapa, Mwinyi na Kikwete ndio tatizo kwa Mwinyi,T Z iliporomoka mpaka tukapitwa na Uganda!
 
Magufuli sio tatizo? Remember Magufuli got into power when the GDP gap between Kenya and Tanzania was only 15 b dollars, right now the gap has increased to 47b dollars. What is Magufuli doing?
 
Hawa jamaa wangejua uwekezaji unaoendelea, wasingeongea kabisa. Nadhani hivi karibuni kinafunguliwa kiwanda cha nyama kikubwa kuliko vyote East and Central Afrika. Kikianza kufanya kazi sijui kama mbuzi watakanyaga Kenya.
 
Magufuli sio tatizo? Remember Magufuli got into power when the GDP gap between Kenya and Tanzania was only 15 b dollars, right now the gap has increased to 47b dollars. What is Magufuli doing?
huyu amegundua hatutakiwi kupitwa tena, ndio sababu anaimarisha turbo kwanza.

baada ya miaka 10 ijayo ndio utapata jibu alikuwa anafanya kitu gani kama ulivyomwelewa kwenge corona baada ya miezi 5 leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…