Kwani hii miaka yenu kumi huwa haifiki? Nilianza kusikia miaka kumi ijayo since 1990`s. We are in 2020 and you are still singing miaka kumi ijayo.huyu amegundua hatutakiwi kupitwa tena, ndio sababu anaimarisha turbo kwanza.
baada ya miaka 10 ijayo ndio utapata jibu alikuwa anafanya kitu gani kama ulivyomwelewa kwenge corona baada ya miezi 5 leo.
Kwani hujaanza kufeel the pinch[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani hii miaka yenu kumi huwa haifiki? Nilianza kusikia miaka kumi ijayo since 1990`s. We are in 2020 and you are still singing miaka kumi ijayo.
We are ahead of you in everything except poverty.kwani hujaanza kufeel the pinch[emoji23][emoji23][emoji23]
kitu gani mmebakiza mbele yetu zaidi ya GDP??
Hawa wa humu ni watoto, ego, na denial stage [emoji23] [emoji23] [emoji23]kwani hujaanza kufeel the pinch[emoji23][emoji23][emoji23]
kitu gani mmebakiza mbele yetu zaidi ya GDP??
Sisi hatuna tatizo, endeleeni kuongoza au vipi[emoji1][emoji1][emoji1]We are ahead of you in everything except poverty.
Wako kwenye mazingira yale kukubali nitaonekanaje, kukataa nitaonekana muongo. wacha nijibu upupu tu.Hawa wa humu ni watoto, ego, na denial stage [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivyo usitegemee akupe jibu ila ukweli mchungu wa kinachiloendelea nchini kwake anaufahamu.
Mtazidi kusoma namba.sisi hatuna tatizo, endeleeni kuongoza au vipi[emoji1][emoji1][emoji1]
Huwa wanajitoa ufahamu wakiulizwa jambo lolote humu na ndio maana usitegemee kupata jibu linaloeleweka kutoka kwao,wako kwenye mazingira yale kukubali nitaonekanaje, kukataa nitaonekana muongo. wacha nijibu upupu tu.
Kwani si nimekubali mnatuzidi!!!!![emoji3] [emoji3] [emoji3]Mtazidi kusoma namba.
Kenya has a total tarmacked roads of around 21,000km while Tanzania only has 9,000km.
Mombasa port is better and more efficient than all your ports combined.
JKIA handles twice the number of all Tanzanian airports placed together.
Kenya health system is far much ahead of Tanzania
Kenya`s education is ten times better than yours.
I`m just reminding you in case you may forget.Kwani si nimekubali mnatuzidi!!!!![emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hujakubaliana kabisa na msimamo wangu.
keep it for you and all Kenyans.I`m just reminding you in case you may forget.
Mlianza kuongelea hii miaka kumi back in 2009. Bado haijaisha?Huyu amegundua hatutakiwi kupitwa tena, ndio sababu anaimarisha turbo kwanza.
Baada ya miaka 10 ijayo ndio utapata jibu alikuwa anafanya kitu gani kama ulivyomwelewa kwenge corona baada ya miezi 5 leo.
You really hate facts. Nakuelewa for that.Keep it for you and all Kenyans.
Kitu mmefanikiwa kutuacha tokea 2009 ni GDP pekee.Mlianza kuongelea hii miaka kumi back in 2009. Bado haijaisha?
Fact ipi?You really hate facts. Nakuelewa for that.
kitu mmefanikiwa kutuacha tokea 2009 ni GDP pekee.
Ndio tulikuwa tunashangaa mnatuzidi vipi propaganda. Sasa wacha tutumie umbea, dunia nzima ijue tz ni kitu gani.Nyie ni umbeya tu mliotuzidi nao.
Wages are more of an administration sector than the health sector.fact ipi??
hiyo ya kusema mko vyema sekta ya afya kutuzidi[emoji3][emoji3]
halafu mnashindwa kulipa wauguzi?
Nikikuita mbuzi ntakosea kweli!! au wewe ni kuku basi heri mbuzi.Wages are more of an administration sector than the health sector.
Sawasawa. Hapo nakubaliana nawe.Ndio tulikuwa tunashangaa mnatuzidi vipi propaganda. Sasa wacha tutumie umbea, dunia nzima ijue tz ni kitu gani.