Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Unaweza ukanipa straight fact (sio porojo) kwamba kwa nini immediately after Kagera War uchumi wa TZ ulishuka mpaka negative 3% (rejea mahindi ya Yanga kutoka Marekani na mchele wa Thailand)

Unaweza kutaja sababu moja plain (usipige story) kwamba kwa nini Nyerere baada ya kuona vita inamshinda, aliamuru Migambo Wote wa mitaani wapelekwe frontline vitani kupigana vita... Wanajeshi walikua hawatoshi?

Ahsante. 1979 ulikua una umri gani kaka?
Akili zako ndogo Sana
 
Ni kweli, kuna watu wengi walikufa ila hawawezi kufikia askari 5000 kwa sababu jeshi letu lilikuwa na brigedi tano tu kabla hazijaongezwa wakati vita ikiendelea, kwa hiyo askari 5000 ingekuwa ni karibu robo tatu ya brigedi nzima.

Kumbuka ni vita ambayo tulivamiwa kwa hiyo kuna raia wetu wengi waliokufa baada ya uvamizi kabla vita haijaaza.

Namba za Nyerere zinaweza kuwasahihi zaidi kwa vile zinahusu askari wa jeshi ambao walikuwa na namba za kijeshi na zinaweza kuwa hazihusishi askari wa akiba kama mgambo na JKT.
mzee wangu kwa kuwa ulipigana katika hii vita, nitafarijika sana kama utaeleza mchango wa special forces za jwtz wakati wa vita ya tanzania-uganda.

miaka ya hivi karibuni hawa watu tumekuwa tukiwaona kwenye tv wakati wa sherehe za kitaifa wakifanya mbwembwe zao za kuvunja matofali na kadhalika. hii imepelekea wengine kubeza uwezo wao kwenye uwanja wa vita.

ni mchango gani wa kimedani askari hawa maalum(makomandoo) wa jwtz walitoa katika kusadia majeshi yetu kuyashinda yale ya uganda?.

tactically ubora wao ulikuwa ktk eneo gani ktk vita hii?.

natanguliza shukrani.
 
Sijui unamsema nani; baba yake Faraja Kotta ni Brigadier General Kotta; alikuwa mtaalam wa mizinga (Long Range Gun Artilleries na Howitzers) jeshini, na alifariki mwaka 2008. Sasa sijui wewe uligombea naye maharage lini.
namaema mtoto bana huyo brigedier wapi na wapi..
 
Kumbe unakubaliana na maelezo yangu kuwa mchele wa Tailendi umeanza kuingia Bongo baada ya vita ya Uganda.

Halafu, weka jazba pembeni. Kuweka record ni kuwa IDD Amin alivamia mpakani mwa Uganda na TZ (akaingia maeneo ya Kagera)

Unakubali kuwa vita haikua na ulazima?

Kwamba ilikua inatosha kumwondoa adui mpakani arudi kwake, tubaki tukilinda mipaka yetu.

Kulikua na haja gani kwenda mpaka Kampala hadi Sudani huko na kuyaacha majeshi yakilinda usalama huku yakiendelea kutumia rasilimali za Tanzania?

Kwanini baada ya kumkimbiza Amini pale Kagera wasingerudi na kubaki kulinda mipaka tu na kuwaacha Waganda wapambane na uongozi wao?
Duh, vipi kama Amin angewithdraw na kurudi kuja kupigania katika ardhi yetu? Umewaza Hilo pia?
 
Kwanini tukienda China tunapita Kipawa si tunaweza kunyoosha tu kupitia Ubungo.
Ukiwa na usafiri wa helikopta unanyooka tu!! kipawa tunakwenda stand ya ndege!!!......lkn kure hakuna cha stand wala uwanja wandege !! tulikwenda tu kuzunguka basi!!
 
Hizi ni propaganda tu ili kufunika kombe.... Anyway wewe ni mzalendo.

Kama Mwl asingewaruhusu kina Okello, M7 kutumia ardhi ya Tz kuendesha uasi wa silaha dhidi ya Uganda, basi Iddi Amin asingepata sababu ya kuanzisha Vita na Tz.
Hilo Idd Amin mwenyewe hakuwahi kusema, unakuja kulitamka wewe sasa![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu, kwani wewe ungekua Rais wa wakati huo wa TZ ungefanya maamuzi gani? Nchi yako imevamiwa ardhi ya kagera inatangazwa ni sehemu ya Uganda na mpaka mpya unatangazwa kinyume na sheria. Wewe ungefanyaje?
Hawa Udini unawafanya wawe wapumbavu. Wanaona Nduli Idd Amin alikuwa mtume na nabii, na hivi alivyofia Saudia arabia ndio baasi!
 
Sasa unabishana na Yoweri Museveni aliyesema mwenyewe kwamba walipewa silaha na mafunzo?

Na hicho kiherehere cha kusema walikuwa jeshi halali nani kakupa. Nchi yako haina uwezo wa kujenga vyoo, mnakunya kwa msaada wa wazungu alafu bado unashobokea masuala ya nje. Yaani mtu mkeo na wanao wanakushinda kutunza na kuongoza, tena unaleta na wa jirani yako
Ndio maana wamarekani walimtumbukiza bahraini shetani Osama bin Laden, walijua wafuasi wa dini fulani wangegeuza kaburi lake eneo takatifu!!
 
Yaani Shetani Idd Amin pamoja nakupigwa vibaya na kwa aibu namna ile hadi akafia ugenini asiseme kuwa sababu ya yeye kuteseka ndio hiyo uliyosema!!?

Acheni udini, unawafanya muwe wajinga
...haya bhana....wewe utakuwa mmoja wa 'maveterani' wa Vita...siwezi kupinga ulichoandika.
 
Huu uzi nilipouanzisha kuna watu waliona kama hauna maana. Ila umekuwa mpaka pg 27 na hoja zilizoshiba. Yule mwinye poat #2 ana like 30+ wakati watu wenye nondo zilizoshima kama mzee wangu Kichuguu wanampita tu.
 
Mzee wangu alipigana hii vita anakiri kwamba tulipoteza watanzania wengi sana na kibaya zaid hao migambo ndo walikua wanawekwa frontline kama chambo weng hawakua na ujuzi,anasimulia wengi walikua wanarukwa wanakimbilia upande wa adui kama vile wamerukwa na akili,hali ilikua mbaya sana uwanja wa vita idadi kamili ya vifo ilifichwa...mzee alipata bahat kurud mzima na aliporud alikaa miez 6 sita akitibiwa kimila ndo akarud kwenye utimamu,muda wote alikua akiskia milio ya mabomu na risasi na halafu ya damu
 
Naomba kujua kwenye uwanja wa vita mafuta yanasafirishwaje ? Au ni mwendo wa kuteka vituo vya mafuta mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom