Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Nilikuwa katika mazingira ya jeshi la akiba wakati huo, na siyo kweli kuwa Jeshi la Uganda lilikuwa liko vizuri sana kuliko la Tanzania. Wale askari wetu waliokufa wengi kwa kipindi kimoja ni wale waliotumwa na Brigadia Yousufu Himid ambaye wakati huo ndiye aliyekuwa Brigade Commander wa Brigedi ya Magharibi kabla ya kuondolewa (kwa kosa hilo) na nafasi yake kukaimiwa na Kanali Kotta - baba yake na Faraja Kotta.

Brigedia huyo aliituma battalion kadhaa zivuke mto kwa mitumbwi kuingia hilo enelo lililokuwa limetekwa baada ya daraja kuvunjwa. Kwa vile upande ule uliokuwa umetekwa ni high tactical ground ndiyo maana askari wa Tanzania waligundulika na kuuwawa kwa vile walikuwa wanajiandaa kuvuka na bunduki tu, bila ya kuwa na silaha kubwa.

Askari wetu wa kwanza kuingia Uganda kukomboa ile sehemu iliyokuwa imetekwa na kusaidia ujenzi wa daraja la muda walipitia Rwanda. Ni vivyo hivyo pia kwa kupitia Rwanda ilikuwa ni rahisi wao kuingia ndani zaidi ya Uganda kwa upande wa Magharibi, hivyo hata mashambulizi makubwa ya kuingia Kampala yalitokea huko Magharibi, na ni kweli askari wetu wengine walishafika mbali karibu na Sudan kabla ya kuja kushambulia Uganda.

Kikosi Kikikubwa cha Idi Amini ni kile kilichokuwa kinaitwa Simba Batallion kilichokuwa na makazi yake pale Masaka (siyo Mbarara) ambacho baadaye kilikuja kusaidiwa na askari wa Libya wakati wa yale mapambano ya Lukaya. Kikosi kile cha Simba Batallion kilizingirwa pia na majeshi ya Tanzania kutokea Magharibi kikiongozwa na Brigadier Imran Kombe na Major General Marwa, ndipo Amini alipotuma wale askari wa Libya waje kusaidia na kufanya mapambano ya Lukaya kuwa makali sana lakini mwishowe Simba Batallion na askari wa Libya wakasalimu Amri na kuiacha Baracks ya Masaka mikononi mwa Imran Kombe. Ukishaondoa hiyo Simba batallion na Askari wa Libya, sehemu kubwa ya jeshi la Amin lilikuwa ni "maharage ya Mbeya tu"

Rangi ya nyekundu ndiyo iliyokuwa ruti ya kwanza kuingilia Uganda, halafu ruti ya kijani ndiyo ilikuwa ruti ya pili baada eneo la kaskazini mwa mto Kagera kusafishwa na daraja la muda kujengwa.

View attachment 1478112
Wewe kweli Muhunga, Shikamooo...
 
Vita ilitutia hasara ya kiuchumi hadi kesho. Kenya wakatumia gape hilo kuwa Financial Hub of East Africa. Fucck!!

Umesoma kwa kiwango gani cha Elimu?

So ulitaka tumuachie Kagera Iddi Amini?

Unajua kuwa Kagera Kuna Nickel ambayo ni inaweza kutumika Kwa miaka 30 bila nchi yoyote kuuza na tukatosheleza mahitaji ya Dunia?, think in bigger picture.

Practically hakuna tofauti ya Uchumi wa Kenya na Tanzania kwa wanachi wao, tena kama unaamini vita iliturudisha nyuma basi uchumi wa Kenya ulipaswa uwe kama wa South Africa.
 
Waliopigana vita hawavijui kama sisi tuaosikiliza the story book tukiwa kwenye mabasi ya kwenda kuwasalumu hao bibi na babu ( war veterans huko mikoani)
 
Vita ilitutia hasara ya kiuchumi hadi kesho. Kenya wakatumia gape hilo kuwa Financial Hub of East Africa. Fucck!!
Kuna vita inayokuja na faida..? Ukitaka kagera iwe sehemu ya uganda..? 🤓🤓🤓
 
Vita hiyo tulipoteza sana kuliko faida tuliyopata Watanzania.
Hili lilikuwa kaburi refu la uchumi wetu hadi leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vita si kitu kizuri hata kidogo. Mpaka tukielewa athari za vita zikoje, tayari tushaumia. Angalia leo Ukraine anavyotupa maisha magumu mpaka sisi ambao hatuna lolote kwenye vita vyao!!!
 
Tusingepigana na Uganda, leo hii tungelikua "Economic Hub" of East and Central Africa.

Fucck Nyerere!
Fick mlolongo too!!...ilitupasa ili kulinda heshima yetu ndo maana joga wewe!
 
Tulizunguka sana. Arua, Kasese, portfot na kwingine kabla ya kufika Kampala. Swali ni kwanini tulizunguka sana badala ya kukatisha tu na kufika hapo kampala na kumtimua huyu nduli?

War is not a walk in the park,sio kama kwenda mlimani city kula bata,kwamba nitapanda basi hili au lile,vita ni mipango,lazima vita ipangwe,na njia za kupita zinapangwa strategically,sio kujipitia tu,lazima makamanda walikuwa na sababu
 
Hii ilikua ni vita ya kidini.

"UKATOLIKI" wa Nyerere.

Alikua anataka atimize azma yake kumrudisha MKATOLIKI mwenzie Obote madarakani.

UKATOLIKI wao ukapelekea vifo vya Maelfu ya WATANZANIA na WAGANDA.

Mbaya zaidi ukaturudisha uchumi wetu nyuma kilomita 3000!
Hizi illusion za kidini huwa mnazitoa wapi ninyi wafia dini?.

Kwahiyo ule upuuzi wa majeshi ya uganda chini ya idi amini kuvamia Tz na kuua raia na kutaka kuchukua sehemu ya tz ilipaswa achekewe si ndio.

Kweli hakuna mtu mjinga kama mfia dini...no wonder mnajiripua kwa illusion.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
S
Hii ilikua ni vita ya kidini.

"UKATOLIKI" wa Nyerere.

Alikua anataka atimize azma yake kumrudisha MKATOLIKI mwenzie Obote madarakani.

UKATOLIKI wao ukapelekea vifo vya Maelfu ya WATANZANIA na WAGANDA.

Mbaya zaidi ukaturudisha uchumi wetu nyuma kilomita 3000!
safi sana Wiaslamu ni wa dhaifu au
 
It was expensive, mwaka 1978 kutumia USD mil 1 of hard currency per day sio mchezo. Ilitutia katika matatizo makubwa kifedha. Lakini nchi lazima ilindwe kwa gharama zozote.
Kwani tulikuwa na pesa ngap na tukakopa ngapi?

Na tusingetumia zingefanya nn labda zaidi ya kununua Mercedes
 
Kumbe unakubaliana na maelezo yangu kuwa mchele wa Tailendi umeanza kuingia Bongo baada ya vita ya Uganda.

Halafu, weka jazba pembeni. Kuweka record ni kuwa IDD Amin alivamia mpakani mwa Uganda na TZ (akaingia maeneo ya Kagera)

Unakubali kuwa vita haikua na ulazima?

Kwamba ilikua inatosha kumwondoa adui mpakani arudi kwake, tubaki tukilinda mipaka yetu.

Kulikua na haja gani kwenda mpaka Kampala hadi Sudani huko na kuyaacha majeshi yakilinda usalama huku yakiendelea kutumia rasilimali za Tanzania?

Kwanini baada ya kumkimbiza Amini pale Kagera wasingerudi na kubaki kulinda mipaka tu na kuwaacha Waganda wapambane na uongozi wao?
Hii kichwa ako ni empty haina hata tope..hivi mwizi akija kwako ukamuona ukakimbiza akishatoka nje ya geti unafunga geti urudi ndani kisa ashatoka kwako au unamfukuza Hadi umdake?
 
Ila wahaya ni wakuwaonea huruma sana, Ukimwi ulipoingia uliwafyeka sana wao na Vita ya Kagera iliwamaliza sana.... haiyumkini leo hii hili ndio lingekuwa kabila kubwa na lenye nguvu nchini hasa kwa idadi ya watu.... pia Mji wa Bukoba ungekuwa Jiji pengine.... Mungu awape nguvu wahaya na makabila yote wazawa wa Bukoba
Yule jamaa pia alisema hakuleta tetemeko
 
Watu 2000 walikuwa % ngapi ya watanzania? Je leo hawa 2000 wangekuwa wamezalisha watu wangapi? Population yetu leo ingekuwa inasoma watu 65 milion
Wangekuwa watu wa CCM ambao ni mizigo tu
 
Hizi illusion za kidini huwa mnazitoa wapi ninyi wafia dini?.

Kwahiyo ule upuuzi wa majeshi ya uganda chini ya idi amini kuvamia Tz na kuua raia na kutaka kuchukua sehemu ya tz ilipaswa achekewe si ndio.

Kweli hakuna mtu mjinga kama mfia dini...no wonder mnajiripua kwa illusion.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Naked Truth Bro.
 
Nyerere (Rest well Mwalimu ) alikosea sana kuacha kuichukua Uganda. Hata kama kusingekuwa na faida tungekuwa na nchi kubwa.

Kwamba vita yote ilikuwa tu sababu ya kumrudisha Milton Obote?

Kuna sababu ya kumshtaki, eti eeh.
 
Back
Top Bottom