Nzige Mdudu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,048
- 830
Kabisa Mkuu, tena naongezea eti kisa yeye kampa hifadhi ndugu wa huyo mwanaume ambaye yeye amemtimua kwake kwa mabavu.Mpe mfano mdogo kwenye familia yake,mwanaume mmoja wa kawaida anaingia ndani kwako anampiga mke wake na watoto wake ,angefanyaje
Hakuna vita yenye faida kwa wapiganaji ipa kwa wauzaji wa siraha na nyenzo za vita tu ndio hupata faida
Akili zako ndogo SanaUnaweza ukanipa straight fact (sio porojo) kwamba kwa nini immediately after Kagera War uchumi wa TZ ulishuka mpaka negative 3% (rejea mahindi ya Yanga kutoka Marekani na mchele wa Thailand)
Unaweza kutaja sababu moja plain (usipige story) kwamba kwa nini Nyerere baada ya kuona vita inamshinda, aliamuru Migambo Wote wa mitaani wapelekwe frontline vitani kupigana vita... Wanajeshi walikua hawatoshi?
Ahsante. 1979 ulikua una umri gani kaka?
mzee wangu kwa kuwa ulipigana katika hii vita, nitafarijika sana kama utaeleza mchango wa special forces za jwtz wakati wa vita ya tanzania-uganda.Ni kweli, kuna watu wengi walikufa ila hawawezi kufikia askari 5000 kwa sababu jeshi letu lilikuwa na brigedi tano tu kabla hazijaongezwa wakati vita ikiendelea, kwa hiyo askari 5000 ingekuwa ni karibu robo tatu ya brigedi nzima.
Kumbuka ni vita ambayo tulivamiwa kwa hiyo kuna raia wetu wengi waliokufa baada ya uvamizi kabla vita haijaaza.
Namba za Nyerere zinaweza kuwasahihi zaidi kwa vile zinahusu askari wa jeshi ambao walikuwa na namba za kijeshi na zinaweza kuwa hazihusishi askari wa akiba kama mgambo na JKT.
namaema mtoto bana huyo brigedier wapi na wapi..Sijui unamsema nani; baba yake Faraja Kotta ni Brigadier General Kotta; alikuwa mtaalam wa mizinga (Long Range Gun Artilleries na Howitzers) jeshini, na alifariki mwaka 2008. Sasa sijui wewe uligombea naye maharage lini.
Duh, vipi kama Amin angewithdraw na kurudi kuja kupigania katika ardhi yetu? Umewaza Hilo pia?Kumbe unakubaliana na maelezo yangu kuwa mchele wa Tailendi umeanza kuingia Bongo baada ya vita ya Uganda.
Halafu, weka jazba pembeni. Kuweka record ni kuwa IDD Amin alivamia mpakani mwa Uganda na TZ (akaingia maeneo ya Kagera)
Unakubali kuwa vita haikua na ulazima?
Kwamba ilikua inatosha kumwondoa adui mpakani arudi kwake, tubaki tukilinda mipaka yetu.
Kulikua na haja gani kwenda mpaka Kampala hadi Sudani huko na kuyaacha majeshi yakilinda usalama huku yakiendelea kutumia rasilimali za Tanzania?
Kwanini baada ya kumkimbiza Amini pale Kagera wasingerudi na kubaki kulinda mipaka tu na kuwaacha Waganda wapambane na uongozi wao?
Ukiwa na usafiri wa helikopta unanyooka tu!! kipawa tunakwenda stand ya ndege!!!......lkn kure hakuna cha stand wala uwanja wandege !! tulikwenda tu kuzunguka basi!!Kwanini tukienda China tunapita Kipawa si tunaweza kunyoosha tu kupitia Ubungo.
Hilo Idd Amin mwenyewe hakuwahi kusema, unakuja kulitamka wewe sasa![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizi ni propaganda tu ili kufunika kombe.... Anyway wewe ni mzalendo.
Kama Mwl asingewaruhusu kina Okello, M7 kutumia ardhi ya Tz kuendesha uasi wa silaha dhidi ya Uganda, basi Iddi Amin asingepata sababu ya kuanzisha Vita na Tz.
Sio mpaka aseme....linaonekana dhahiri kabisa.Hilo Idd Amin mwenyewe hakuwahi kusema, unakuja kulitamka wewe sasa![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa Udini unawafanya wawe wapumbavu. Wanaona Nduli Idd Amin alikuwa mtume na nabii, na hivi alivyofia Saudia arabia ndio baasi!Mkuu, kwani wewe ungekua Rais wa wakati huo wa TZ ungefanya maamuzi gani? Nchi yako imevamiwa ardhi ya kagera inatangazwa ni sehemu ya Uganda na mpaka mpya unatangazwa kinyume na sheria. Wewe ungefanyaje?
...hii akili stupid kabisa!!isingekua chuki ya kidini ya Nyerere kumtetea Mkatoliki mwenzaie Obote, leo Tanzania tungekua na uchumi mkubwa au sawa na Kenya
Ndio maana wamarekani walimtumbukiza bahraini shetani Osama bin Laden, walijua wafuasi wa dini fulani wangegeuza kaburi lake eneo takatifu!!Sasa unabishana na Yoweri Museveni aliyesema mwenyewe kwamba walipewa silaha na mafunzo?
Na hicho kiherehere cha kusema walikuwa jeshi halali nani kakupa. Nchi yako haina uwezo wa kujenga vyoo, mnakunya kwa msaada wa wazungu alafu bado unashobokea masuala ya nje. Yaani mtu mkeo na wanao wanakushinda kutunza na kuongoza, tena unaleta na wa jirani yako
Yaani Shetani Idd Amin pamoja nakupigwa vibaya na kwa aibu namna ile hadi akafia ugenini asiseme kuwa sababu ya yeye kuteseka ndio hiyo uliyosema!!?Sio mpaka aseme....linaonekana dhahiri kabisa.
...haya bhana....wewe utakuwa mmoja wa 'maveterani' wa Vita...siwezi kupinga ulichoandika.Yaani Shetani Idd Amin pamoja nakupigwa vibaya na kwa aibu namna ile hadi akafia ugenini asiseme kuwa sababu ya yeye kuteseka ndio hiyo uliyosema!!?
Acheni udini, unawafanya muwe wajinga
Wewe ni Mkatoliki?...hii akili stupid kabisa!!
Ni hatari sana MkuuHawa Udini unawafanya wawe wapumbavu. Wanaona Nduli Idd Amin alikuwa mtume na nabii, na hivi alivyofia Saudia arabia ndio baasi!
Kumbe shida yao ilianzia hapo Udinism...hii akili stupid kabisa!!