Mzee Kichuguu anakataa sources zote juu ya hili suala utadhani yeye alikuwa na taarifa zote za mapambano kitu ambacho si kweli
Sources zangu juu ya uwepo wa askari wa Msumbiji ni
1. Afande waliopigana nao msitari wa mbele bega kwa bega kumpiga Amin
2.Kitabu cha Waandishi wa habari wawili, waandishi pekee kutoka nje waliopewa press clearance kusonga na majeshi yetu kucover operesheni za jeshi letu huko msitari wa mbele, na kitabu chao kilichapwa nchini na kilipata ridhaa za uchapaji na serikali yetu, laiti hilo suala wangekuwa wamedanganya, wangeambiwa walifute
3. Kuna secondary sources, nimeweka hadi gazeti la New York Times la mwaka 1982
Mzee Kichuguu hizi sources zoooote hazitaki, anataka za kwake tu, mtu ambaye kwanza hakuwa msitari wa mbele.
Hata kama alikuwa COMM, hii haimaanishi alikuwa anajua kila kitu cha msitari wa mbele!
brooh izo mnazosema eti ilkua siri tena siri ya kijeshi nyie mmeijulia wapi?
baada ya ku mobilise jesh almost tulimzidi ug ×3
askari walitoka majeshi yoye magereza polisi jkt jwtz hadi uamiaji walitoa askari bado mgambo na bado wangine wakujitolea walipokea mafunzo ya muda mfupi
bado sioni kwa nini tuombe msaada wa askari nje!
kama ni wataalam tulkua nao
wakutosha jeshi letu lilelewa na canada na uk kabla ya mchina!! walikuapo wataalam wengi tu walopata mafunzo kwe vyuo vikubwa vya nje!!
ilo la msumbiji kutoa askari ni NO!
vita ni propaganda na hatukutaka kujali propaganda kama amini wakati ule maana propaganda hazina msaada sana kwe uwanja wa medani..
hizo source zako zinawalakini..maana waliandika kwa kusikiliza pande zote ug na tz sasa jiongeze nani ni sahihi? pia sio kila askari anajua kilichokua sahihi...sometyms hapakosi uvumi mnapokua kwe kazi kama hiyo!
kama unataka taarifa za kukusatisfy nenda mmj pale utasaidiwa lakini kwakutegemea tuu vyanzo vyako utapagawa zaidi
tz ni nchi ya kijamaa lakini pia
ktk mambo ya security kuna ka msemo "jifanye weak kumshinda adui yako sasa unajifanyaje kua weak? usiri ni kitu cha muhimu sana
unadhani serkali haijui historia ya vita hii imechezewa?
je unafkiri covd19 tuliishinda kwa nguvu za mwenyezi?
mambo mangine ni= unapoteza tuu muda maana hutakaa uyajue kamwe.