Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Vita vya Kagera 1979: Kwanini Jeshi letu lilipitia mipaka ya Sudan badala ya kukatiza hapo kati kufika Kampala?

Sawaa lkn kuna kitabu kimoja kinasema Jeshi letu mpk 1978 kilikuwa na askari wasiozidii 20000 au 30000 lkn ndani ya miezi 6 hivi askari waliongezeka mpk 100000 au 150000....hapa tunajumuisha mgambo, askari polisi, uhamiaji, TISS na wengneo....

Kuhusu iyoo idadi (379) kuna makaburi Bunazi kyaka na Kaboya......


Nataman kujuaa waliokufa wengine walizikwa wapii au walitelekezwa uwanja wa vita, achana na wale waliogeuzwa chakula cha Mamba Kagera ambao tunaaambiwa walikuwa platoon 3 mpk 6 zilizomiminiwa Mizinga na Askari wa amini wakitaka kuvuka mpaka kuingia Uganda kwa mitumbwiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Point of correction Bunazi wala kyaka hakuna makaburi kaburi lipo moja Kwabwoba!kabla ya kufika mtukula.
 
Padri. Dk. Sivalon, naye katika kitabu chake Kanisa Katoliki na Siasa za Tanzania Bara (1953-1985) anaeleza bayana kuwa Mwalimu Julius Nyerere Rais wa Kwanza wa nchi yetu, alikuwa kiungo pekee kati ya Chama (CCM), Serikali na Kanisa Katoliki.

Agosti 3, 1970 Mwalimu Nyerere, alimwita Ikulu Padri Rweyemamu katika mazungumzo maalum ambapo Nyerere alimuahidi Rweyemamu kuwa, hivi sasa Kanisa ndilo lililoshika hatamu za kuongoza dola naye atahakikisha hali inaendelea kuwa hivyo.

“Tanzania is not Catholic country, but Catholics is strong, I want to give the church a better chance here”.

Akiwa na maana kwamba:- japo “Tanzania si nchi ya Kikatoliki, lakini Ukatoliki una nguvu, hivyo nataka kulipa Kanisa nafasi ya pekee hapa nchini” (Msome, Bergen Uk. 335)
Siyo tanzania sema duniani kote Usishindane na nchi ndani ya nchi vatican inanguvu sana inabalozi ulimwenguni kote hivyo siyo jambo lakushangaza hadi ndani saudia kuna ubalozi wa vatikan sasa wewe utapoteza muda kupinga ukatoliki
 
Vita ilikuwa ya ulazima kwani Amin alijua Tanzania awamuwezi kwakuwa alikuwa na vifaa vya kivita kuliko sisi!nakwakuwa alidhamilia kuchukua kagera yote vita ilikuwa aihepukiki!
Wanajeshi wote na Wananchi wa Uganda walikuwa upande wa Watanzania, hawakumtaka kabisa Idd Amin, walikuwa tayari kumuoverthrown na walishaanza huko kwao.

Idd Amin hakuwa na silaha za kutisha, baada ya vita kuanza ndio akapata support ya Ghadaffi kutoka Libya.
 
Siyo hivyo. Eneo lililokuwa lilochukuliwa kaskazini ya mto Kagera lilikuwa liko juu. Kivita mtu aliyeko juu huwa ana tactical advantage dhidi ya mtu aliyeko bondeni. Unaweza kujua hilo kwa kuangalia kuwa baada ya Israel kuchukua milima ya Golan, Syria haijawahi kuwashambulia Israel tena kwa kujua ukweli huo. Makamanda wetu walipanga plan ya kuzunguka ile tactica advantage na kwenda juu yao zaidi kabla ya kuwafyeka.
Mkuu nakufatilia kuanzia mwanzo kijografia inawezekana kagera iliyokuwa imetekwa uifahamu vizuri tukianzia kwakyaka hadi mtukura hakuna mlima eneo la nsunga kuna kamuinuko kidogo hivyo wakati wa vita kuikomboa kagera tanzania ilikuwa ikituma mashambulizi kutokea kashaba katika muinoka ya hapo pale ilikuwepo brigedi yatembo kutoka songea brigedi iliyofanya kazi kumuondoa Iddi Amin kyaka ni brigedi ya mbuni.......tuendelee
 
Wanajeshi wote na Wananchi wa Uganda walikuwa upande wa Watanzania, hawakumtaka kabisa Idd Amin, walikuwa tayari kumuoverthrown na walishaanza huko kwao.

Idd Amin hakuwa na silaha za kutisha, baada ya vita kuanza ndio akapata support ya Ghadaffi kutoka Libya.
[/Q
Wakati wa EA kulikuwa na kanda za kijeshi Kenya wao walikuwa ni Navy Sisi Tanzania tulikuwa na jesho la miguu na vifaa vyake kwa maana mizinga vifaru Uganda wao walikuwa katika Anga kwahiyo ilipokuwa ikipita bajeti ya ulinzi wananunua kutokana namahitaji hivyo Amin alikuwa na ndege za kisasa kwa wakati huo kwani ilipo vunjika EA ndege zote za shirikisho zilibaki huko meli zikbaki kenya nasisi tukabaki na ma APC mizinga etc .Hata comacial flight zilibaki uganda kumbuka kuna rubani alilazimika kuiba ndege yetu kuirudisha tanzania.Vifaa Amini alikuwa navyo acha vyakupewa na gadaff
 
Unajua alipopinduliwa Obote , Nyerere alianza chokochoko nyingi dhidi ya Amin. Obote wakati huo yuko Tz . Alipoulizwa Karume atoe maoni yake kutokana na mapinduzi yale , aliuliza kwani waliompindua Obote ni waingereza akaambiwa ni Waganda. Akasema kama ni waganda kwa waganda basi ni wenyewe , waachieni labda hawamtaki Obote.
Majanga yote kaleta Nyerere ,angalijikalia kimya akajenga uchumi wa nchi yake yasingalitokea .
Amin alikuwa mshenzi sana ujui unatetea uislamu lakini hata wewe unayemtetea ungengia anga zake na pensi yako angekufyekelea mbali sioni unachotetea kwa Iddi amin Dada
 
Sijachanganyikiwa kwani Idd Amin hakuzuka tu akavamia. Kosa ni la Nyerere kumkumbatia rafiki yake Obote . Mambo ya Uganda angaliwaachilia Waganda na ghasia zao . Mbona hakuivamia Kenya wala Sudan wala Kongo ??

Niliandika kabla hawa wapinzani wa Uganda walikuwa wakiingia Uganda kutokea Tanzania na kufanya vitendo vya Ugaidi .
Amin alionekana ni threaten kwa tanzania hivyoa lazima umtoe kwa maslahi mapana ya taifa kama ujui hilo.
 
Vita hiyo tulipoteza sana kuliko faida tuliyopata Watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili mbovu za chadema eti tipoteza zaidi kuliko faida kama siyo hiyo vita tz tungekuwa kama DRC maana hata vinchi vidogo kama Rwanda na Burundi na malawi vilikuwa vinaleta chokochoko pamoja na Kenya ndiyo ilikuwa inatumiwa kabisa na mabeberu ila baada ya kuona kile jwtz imemfanyia idiamini wakagundua tz siyo nchi ya kuichokonoa wakakoma kabisa hiyo ni faida kubwa sana wewe unadhani DRC ina sumbuliwa na vinchi hadi vidogo kwa sababu gani ?
 
Afande umeshaambiwa ilikuwa siri kubwa, na wewe ulikuwa afande wa ngazi za chini na vigumu sana kwako kupata siri zote za jeshini na mipango ya vita,kitu kingine ni uzalendo wako na nidhamu propaganda za enzi hizo zikiongozwa na RTD ambacho ni kitu cha kujivunia kwa kazi yako.Kusema Tanzania ilipewa battalion na Msumbiji haina maana kuwa Tanzania na wewe mwenyewe msingeweza kushinda vita.JF ni uraiani siyo kambini na tutakupinga kwa hoja na ushahidi wa source za habari ambazo baada ya miaka wazee wengine wanaamua kuziachia tu kwani hazina madhara yoyote,sina uhakika kama unaficha kwa makusudi au ni kweli una uhakika 100% na kitu unachopinga.Endelea kushusha madini tufahamu wapi tulilishwa matango pori na RTD.

Mzee Kichuguu anakataa sources zote juu ya hili suala utadhani yeye alikuwa na taarifa zote za mapambano kitu ambacho si kweli

Sources zangu juu ya uwepo wa askari wa Msumbiji ni

1. Afande waliopigana nao msitari wa mbele bega kwa bega kumpiga Amin

2.Kitabu cha Waandishi wa habari wawili, waandishi pekee kutoka nje waliopewa press clearance kusonga na majeshi yetu kucover operesheni za jeshi letu huko msitari wa mbele, na kitabu chao kilichapwa nchini na kilipata ridhaa za uchapaji na serikali yetu, laiti hilo suala wangekuwa wamedanganya, wangeambiwa walifute

3. Kuna secondary sources, nimeweka hadi gazeti la New York Times la mwaka 1982

Mzee Kichuguu hizi sources zoooote hazitaki, anataka za kwake tu, mtu ambaye kwanza hakuwa msitari wa mbele.

Hata kama alikuwa COMM, hii haimaanishi alikuwa anajua kila kitu cha msitari wa mbele!
 
Mimi sikwenda frontline; nilikuwa Communications Makao Makuu ya Brigade ya Magharibi (wakati huo) kama sehemu ya askari wa akiba tuliokuwa mobilized kwa ajili ya vita; ina fact mobilization ilianza kabla hata Nyerere hajatoa ile hotuba yake ya "uwezo tunao"

Baada ya vikosi vyetu kufika pale na kuteka ile kambi ya Mbarara, mapigano direct ya Lukaya yaliendelea usiku na mchana kwa kama siku tatu hivi; ila hiyo ndiyo yaliyoua watu wengi sana huenda kuliko mapigano mengine yoyote katika vita ile. Tatizo kubwa la mapigano ya Lukaya ilikuwa ni kwa vile walipigania kwenye matope 24 hours.

Failure ya waganda ni kuwa jeshi letu liliwaelemea kwa kila kitu; watu wanaweza kuja na sababu mbalimbali lakini jeshi letu lilikuwa imara sana kuliko wao. Tuliwabana mbavu sana

Askari kupigwa ambush na kuuwawa vitani ni jambo la kawaida kabisa; ningeomba lisitiliwe mkazo sana kama failure ya huyo Kanali Nshimanyi ingawa sina kumbukumbu zake.
Nikiwa eneo la vita vita ilianza siku ya jumanne tarehe 4 october 1978 tukiwashule tuliona TPDF Wakifanya mobilization tukawa atuelewi siku ya Alhamis tukatangaziwa kusitisha masomo siku hiyo hiyo ndege za kivita zikaja kushambulia zikafukuzwa moja ikapigwa ikaenda inawaka moto!! siku iliyofuata ijumaa kama saa kumi ilikuja ndege kuangusha mabomu zilikuwa ndege nne kufika maeneo ya bunazi zikatunguliwa moja ikaanguka pale bunazi nyingine inaenda inafuka moshi kwenye pori la minziro mbili zikarudi!Uganda siku ya jumamosi sasa ikajulikana kuwa tumevamiwa kama nchi ila sasa jumapili tuliambiwa sasa tuondoke majumbani ili kuokoa maisha yetu!
 
Labda tuache kabisa habaria za maisha yake ya binafsi; ila ni kuwa alikuwa Anglican. Ili kuthibitisha dini yake ongea na binti yake Lilliane; haongei kiingereza vizuri lakini mawasiliano yanakwenda tu.
Kingine nilichojifunza kutoka kwako mzee wetu ni kwamba pamoja na mtu kuwa anakujibu kwa kukutest na kebehi, lakini wewe umekuwa ukimjibu kwa hekima na kumpa elimu juu yake tena bure kabisa. Ubarikwe sana.
 
Mzee Kichuguu anakataa sources zote juu ya hili suala utadhani yeye alikuwa na taarifa zote za mapambano kitu ambacho si kweli

Sources zangu juu ya uwepo wa askari wa Msumbiji ni

1. Afande waliopigana nao msitari wa mbele bega kwa bega kumpiga Amin

2.Kitabu cha Waandishi wa habari wawili, waandishi pekee kutoka nje waliopewa press clearance kusonga na majeshi yetu kucover operesheni za jeshi letu huko msitari wa mbele, na kitabu chao kilichapwa nchini na kilipata ridhaa za uchapaji na serikali yetu, laiti hilo suala wangekuwa wamedanganya, wangeambiwa walifute

3. Kuna secondary sources, nimeweka hadi gazeti la New York Times la mwaka 1982

Mzee Kichuguu hizi sources zoooote hazitaki, anataka za kwake tu, mtu ambaye kwanza hakuwa msitari wa mbele.

Hata kama alikuwa COMM, hii haimaanishi alikuwa anajua kila kitu cha msitari wa mbele!
brooh izo mnazosema eti ilkua siri tena siri ya kijeshi nyie mmeijulia wapi?

baada ya ku mobilise jesh almost tulimzidi ug ×3
askari walitoka majeshi yoye magereza polisi jkt jwtz hadi uamiaji walitoa askari bado mgambo na bado wangine wakujitolea walipokea mafunzo ya muda mfupi

bado sioni kwa nini tuombe msaada wa askari nje!
kama ni wataalam tulkua nao
wakutosha jeshi letu lilelewa na canada na uk kabla ya mchina!! walikuapo wataalam wengi tu walopata mafunzo kwe vyuo vikubwa vya nje!!
ilo la msumbiji kutoa askari ni NO!
vita ni propaganda na hatukutaka kujali propaganda kama amini wakati ule maana propaganda hazina msaada sana kwe uwanja wa medani..

hizo source zako zinawalakini..maana waliandika kwa kusikiliza pande zote ug na tz sasa jiongeze nani ni sahihi? pia sio kila askari anajua kilichokua sahihi...sometyms hapakosi uvumi mnapokua kwe kazi kama hiyo!
kama unataka taarifa za kukusatisfy nenda mmj pale utasaidiwa lakini kwakutegemea tuu vyanzo vyako utapagawa zaidi

tz ni nchi ya kijamaa lakini pia
ktk mambo ya security kuna ka msemo "jifanye weak kumshinda adui yako sasa unajifanyaje kua weak? usiri ni kitu cha muhimu sana
unadhani serkali haijui historia ya vita hii imechezewa?
je unafkiri covd19 tuliishinda kwa nguvu za mwenyezi?
mambo mangine ni= unapoteza tuu muda maana hutakaa uyajue kamwe.
 
brooh izo mnazosema eti ilkua siri tena siri ya kijeshi nyie mmeijulia wapi?

baada ya ku mobilise jesh almost tulimzidi ug ×3
askari walitoka majeshi yoye magereza polisi jkt jwtz hadi uamiaji walitoa askari bado mgambo na bado wangine wakujitolea walipokea mafunzo ya muda mfupi

bado sioni kwa nini tuombe msaada wa askari nje!
kama ni wataalam tulkua nao
wakutosha jeshi letu lilelewa na canada na uk kabla ya mchina!! walikuapo wataalam wengi tu walopata mafunzo kwe vyuo vikubwa vya nje!!
ilo la msumbiji kutoa askari ni NO!
vita ni propaganda na hatukutaka kujali propaganda kama amini wakati ule maana propaganda hazina msaada sana kwe uwanja wa medani..

hizo source zako zinawalakini..maana waliandika kwa kusikiliza pande zote ug na tz sasa jiongeze nani ni sahihi? pia sio kila askari anajua kilichokua sahihi...sometyms hapakosi uvumi mnapokua kwe kazi kama hiyo!
kama unataka taarifa za kukusatisfy nenda mmj pale utasaidiwa lakini kwakutegemea tuu vyanzo vyako utapagawa zaidi

tz ni nchi ya kijamaa lakini pia
ktk mambo ya security kuna ka msemo "jifanye weak kumshinda adui yako sasa unajifanyaje kua weak? usiri ni kitu cha muhimu sana
unadhani serkali haijui historia ya vita hii imechezewa?
je unafkiri covd19 tuliishinda kwa nguvu za mwenyezi?
mambo mangine ni= unapoteza tuu muda maana hutakaa uyajue kamwe.

Jeshi si wingi wa Askari tu bali kuna aina fulani fulani za askari unaweza kuwahitaji, kwa mfano kama wewe jeshi lako limezoea kupigana Msituni, unaweza kuhitaji askari wenye uzoefu wa kupigana Jangwani. Unaweza kuhitaji aina fulani ya makomando, unaweza kuhitaji aina fulani ya askari wa kuoperate vifaa fulanifulani

Hata Marekani pamoja na ukubwa wa Jeshi lake huwa anapenda kufanya alliances na washirika wake kwenye vita zake.
Sisi ya kwetu pamoja na mambo mengine, ilikuwa pia ni Shukrani ya Samora Machel kwetu baada ya sisi kuwa ni wenye kumsaidia kwenye vita yao ya uhuru.

Wasumbiji walikuwa na uzoefu mkubwa sana wa mapambano ya msituni kwa sababu walipigana muda mrefu dhidi ya wareno.

Na kwa taarifa nilizonazo walifanya kazi nzuri kuunguurumisha zile BM
 
Jeshi si wingi wa Askari tu bali kuna aina fulani fulani za askari unaweza kuwahitaji, kwa mfano kama wewe jeshi lako limezoea kupigana Msituni, unaweza kuhitaji askari wenye uzoefu wa kupigana Jangwani. Unaweza kuhitaji aina fulani ya makomando, unaweza kuhitaji aina fulani ya askari wa kuoperate vifaa fulanifulani

Hata Marekani pamoja na ukubwa wa Jeshi lake huwa anapenda kufanya alliances na washirika wake kwenye vita zake.
Sisi ya kwetu ilikuwa ni Shukrani ya Samora Machel kwetu baada ya sisi kuwa ni wenye kumsaidia kwenye vita yao ya uhuru.

Wasumbiji walikuwa na uzoefu mkubwa sana wa mapambano ya msituni kwa sababu walipigana muda mrefu dhidi ya wareno.
auwezi ukawa upo serious we jamaa ila poa!!

rudia tena kusoma nilicho kiandika

nakumbuka baada ya kichapo kumzidia dada amini aliitangazia dunia tumeingiza
mamluki kutoka ussr mara mozambiq izo zote zilkua story tuu
sie tunakapenda kale ka msemo cha jifanye weak ili kumshinda adui yako
in shot amini alitudharau yani alitomba moto bila kujua
 
Jeshi si wingi wa Askari tu bali kuna aina fulani fulani za askari unaweza kuwahitaji, kwa mfano kama wewe jeshi lako limezoea kupigana Msituni, unaweza kuhitaji askari wenye uzoefu wa kupigana Jangwani. Unaweza kuhitaji aina fulani ya makomando, unaweza kuhitaji aina fulani ya askari wa kuoperate vifaa fulanifulani

Hata Marekani pamoja na ukubwa wa Jeshi lake huwa anapenda kufanya alliances na washirika wake kwenye vita zake.
Sisi ya kwetu pamoja na mambo mengine, ilikuwa pia ni Shukrani ya Samora Machel kwetu baada ya sisi kuwa ni wenye kumsaidia kwenye vita yao ya uhuru.

Wasumbiji walikuwa na uzoefu mkubwa sana wa mapambano ya msituni kwa sababu walipigana muda mrefu dhidi ya wareno.

Na kwa taarifa nilizonazo walifanya kazi nzuri kuunguurumisha zile BM
Najua wewe unasisisistiza kuwa watanzania hatukuwa na uwezo wa kupigana mpaka tuliposaidwa na msumbiji ambao ni sisi ndio tuliokuwa tunawafundisha. Una psychological effect fulani inayoitwa "confirmation bias" yaani tayari unaamini kuwa Tanzania hatuna uwezo, na unachohitaji ni habari yoyote itakoingia kwenye bias yako na kufanya kuwa ndio ukweli wote badala ya kukubali ukweli kamili ambao hauingii kwene bias yako. Sasa hivi unaamini ya kusimuliwa na watu waliosimuliwa na watu waliodhani kuwa tulisaidiwa na msumbiji; sisi tuliokuwa ndani ya jeshi one-to-one tunapokuambia ukweli unaukataa kwa madai ilikuwa ni siri ambayo hawa wanajeshi tusingejua.
 
Najua wewe unasisisistiza kuwa watanzania hatukuwa na uwezo wa kupigana mpaka tuliposaidwa na msumbiji ambao ni sisi ndio tuliokuwa tunawafundisha. Una psychological effect fulani inayoitwa "confirmation bias" yaani tayari unaamini kuwa Tanzania hatuna uwezo, na unachohitaji ni habari yoyote itakoingia kwenye bias yako na kufanya kuwa ndio ukweli wote badala ya kukubali ukweli kamili ambao hauingii kwene bias yako. Sasa hivi unaamini ya kusimuliwa na watu waliosimuliwa na watu waliodhani kuwa tulisaidiwa na msumbiji; sisi tuliokuwa ndani ya jeshi one-to-one tunapokuambia ukweli unaukataa kwa madai ilikuwa ni siri ambayo hawa wanajeshi tusingejua.
mkuu naona kama umeenda mbali, hata mimi nnachojua marafiki walituunha mkono, msumbiji walitoa watu hiyo haina maana kwamba jeshi letu halikuweza kusimama lenyewe

Sent from my BLL-L21 using JamiiForums mobile app
 
mkuu naona kama umeenda mbali, hata mimi nnachojua marafiki walituunha mkono, msumbiji walitoa watu hiyo haina maana kwamba jeshi letu halikuweza kusimama lenyewe

Sent from my BLL-L21 using JamiiForums mobile app
Na wewe unaamini kuwa tulipata askari wa Msumbiji wote wakarudi kwao wote wazima bila kufa au kujeruhiwa. Kama walikuja kusaidia kazi nyingine za ulinzi wa ndani na logistics, hiyo inawezekana lakini siyo kuja kwa ajili ya frontline combat kwa sababu nilizosema. Jeshi ilikuwa na commands ambazo zilikuwa established kivita na uongozi majenerali hadi maluteni kanali. Kila aneyetetea hakusaidiwa na msumbiji vitani haji na ushahidi kuwa waliongozwa na kamanda gani; ndiyo maana inakuwa ni hearsay tupu. Katika vita unaposema jeshi unaanza na kamanda; huwezi kusema idadi ya watu tu.
 
Amin alikuwa mshenzi sana ujui unatetea uislamu lakini hata wewe unayemtetea ungengia anga zake na pensi yako angekufyekelea mbali sioni unachotetea kwa Iddi amin Dada

Mshenzi kuliko Nyerere?
 
Back
Top Bottom