Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni propaganda tu ili kufunika kombe.... Anyway wewe ni mzalendo.Pumba kabisa wewe kwani kumbe unaongea mambo usiyoyajua bali ya kuhadithiwa tu. Hata hujui kuwa mahindi ya Yanga yalikuja kutoka wapi halafu unakuja hapa kupiga kelele.
Kwa vile mimi ni mwalimu nitakufundisha ifuatavyo. Mahindi ya Yanga yaliingia Tanzania mwaka 1975 kutokana na ukame uliokuwa umeikumba nchi mwaka 1973 na 1974 ikiwa ni muda mfupi sana baada ya opereshini vijiji ambayo ilivuruga kilimo cha asili na kuacha watu hawana chakula; na ulikuwa ni msaada ulioidhinishwa na Rais Jimmy Carter wa Marekani kupitia USAID.
Ule mchele wa Jasmine kutoka Thailand haukutolewa msaada kwa ajili ya vita, bali ulianza kuagizwa kuingia nchini wakati wa utawala wa rais Mwinyi na wafanya biashara binafsi baada ya Liberalization; hiyo ni pamoja na mafuta yakupikia ya OKI kutoka Singapore, ambayo ilikuwa ni kwa sababu za kibiashara kushindana sokoni tu. Kama unazungumza unga wa Yanga baada ya vita ni kuwa hukuwepo na wala hujui hali halisi ya wakati ule, kwani tuliokula unga ule mpaka mwaka 1977 hatusemi vile.
Vita iliaza mwaka 1978 wakati nchi haina unga wa yanga tena. Kwa upande wa pili; ni kweli kuwa uchumi wa nchi ulivurugika sana kwa sababu Tanzania ililazimika kununua silaha kali za kupambana na Amin kwa muda mfupi ambazo hazikuwa kwenye bajeti ya nchi; na ikatumia hela za kukopa zinazokaribia bajeti ya miaka miwili au mitatu hivi ya nchi ili kupata mitambo ya Balllistic misiles (BM40) mingi kuliko uwezo wake wakati ule kwa sababu amini alikuwa ameuza migodi yote ya Shaba kwa Urusi kusudi apatiwe vifaru vingi; na alikuwa na vifaru vingi sana ambavyo jeshi letu lilivivunjavuvunja kama chungu ambacho hakikupita kwenye tanuru. Kitu ambacho Tanzania tunashukuru tena kwnye vita ile ni kuwa baada ya vita kuanza, Urusi nayo ikaivamia Afghanstani kipindi hicho hicho na hivyo ikawa iko bize kupambana na Mujahedeen, ikaacha kupelea vifaru kwa Uganda tena.
.....Mh!... propaganda hiikatika vita ile tulitumia kama nusu tu ya mabingwa wetu wa vita.
Mh!...umewapenda sababu ya imani yao tu. ..hakuna jingineAllah amlaze mahala pema peponi ndugu yetu Idi amin, bila kumsahau Ndugu yetu na kipenzi cha waafrika kwa ujumla Muammar Gaddafi, Allah amlaze mahala pema peponi!
akikuelewa ntashukuru sana!!!Hawakukatiza mkuu, ni kwamba majeshi ya Tanzania yalitembeza kichapo kwa Idd Amin, wakaingia hadi kaskazini na magharibi mwa nchi ya Uganda, wakafika kwenye mipaka ya Uganda na Zaire(DRC), mipaka ya Uganda na Sudan. Mji wa Arua uliopo kaskazini mwa Uganda ndio kipo kijiji cha Koboko, kijiji alichozaliwa Idd Amin Dada
Waliingia huko wakiwa na mzuka wa mapambano. Amin akasalimu amri, akakimbia Uganda na kuacha majeshi ya Tanzania(Wakombozi) yakiikamata Uganda
tangu tupate uhuru hatujawahi kulingana na kenya kiuchumi mpaka leo!!!!!Vita ya kiduwanzi.
ikasababisha Kenya watupite uchumi hadi kesho! Qmamae
akina okelo na m7 ni wa juzijuzi tu, uhasama hasa ulianza baada ya amin kumpindua obote na mwl. kumpa hifadhi obote hapa tz. lakini amini alipoanza ku purge wafuasi wa obote kwa kuwauwa wengi walikimbilia tz kumfuata obote na walikuwemo wanajeshi pia,1972 kundi hilo lilijaribu kumpindua amin kwa kuvamia uganda kutokea tz. walishindwa vibaya. amin ali litariate akaipiga bukoba kwa mabomu na pia akadai mpaka halisi wa uganda na tz ni mto kagera pale darajani pale.Hizi ni propaganda tu ili kufunika kombe.... Anyway wewe ni mzalendo.
Kama Mwl asingewaruhusu kina Okello, M7 kutumia ardhi ya Tz kuendesha uasi wa silaha dhidi ya Uganda, basi Iddi Amin asingepata sababu ya kuanzisha Vita na Tz.
Mkuu, unafahamu vitu hivi?Hizi ni propaganda tu ili kufunika kombe.... Anyway wewe ni mzalendo.
Kama Mwl asingewaruhusu kina Okello, M7 kutumia ardhi ya Tz kuendesha uasi wa silaha dhidi ya Uganda, basi Iddi Amin asingepata sababu ya kuanzisha Vita na Tz.
Hao jamaa walitumia ardhi ya Tz kushambulia Uganda.....hiyo huwezi kuiita ni hifadhi ya kisiasa labda uite ni kuunga mkono uasi.Hifadhi ya kisiasa
Sasa hao kina Okello, M7 n.k walipatiwa hifadhi ya kisiasa na inaruhusiwa kabisa. So kwa TZ kuwapa hifadhi hao viongozi lilikua ni jambo chanya tu.
Sababu ya uvamizi ilikuwa ni nini?Ukivusha majeshi ya taifa lako yakaingia kwenye nchi nyingine kushambulia, tayari unakua umefanya uvamizi dhidi ya nchi hiyo. Majeshi ya uganda yalivuka mpaka yakaingia Tanzania na kushambulia Kagera. Ulitegemea Jeshi letu litulie?
Hao jamaa walikua Jeshi la TZ? Kwanini amini avushe Jeshi la Uganda kuja kuishambulia TZ mkoa wa Kagera na kusema Kagera ni ardhi ya Uganda na kuunda mpaka mpya ambao si halali?Hao jamaa walitumia ardhi ya Tz kushambulia Uganda.....hiyo huwezi kuiita ni hifadhi ya kisiasa labda uite ni kuunga mkono uasi.
Kwa mujibu wa Amini alisema mwenyewe Kagera ni sehemu ya Uganda baada ya kuvamia. Hivyo kwa Quote hiyo bila shaka alivamia ili kuitawala Kagera kama sehemu ya Uganda.Sababu ya uvamizi ilikuwa ni nini?
Kwanini muwafuge watu wanaotumia ardhi yenu kushambulia nchi nyingine?Hao jamaa walikua Jeshi la TZ? Kwanini amini avushe Jeshi la Uganda kuja kuishambulia TZ mkoa wa Kagera na kusema Kagera ni ardhi ya Uganda na kuunda mpaka mpya ambao si halali?
Kwanini asingedeal na hao watu? Yeye akaishambulia TZ mkoa wa kagera na kuutawala kimabavu kwa muda na kusema ni sehemu ya uganda. Je ni nchi gani duniani ingekubali sehemu ya ardhi yake kutekwa kimabavu?Kwanini muwafuge watu wanaotumia ardhi yenu kushambulia nchi nyingine?
Utadeal nao vipi? Wakati wapo nchi nyingine wamefichwa huko?Kwanini asingedeal na hao watu?
Deal kwa njia za diplomasia, ikibid piga ambush kwenye camp yao tu kama alivyofanya USA alivyodeal na Alqaida. Je ulisikia USA kasema sehemu ya nchi nyingine ni yake kimabavu?.Utadeal nao vipi? Wakati wapo nchi nyingine wamefichwa huko?
Marekani alideal vipi na Alqaeda (Osama na wenzake) waliokuwa wamefichwa Afghanistan?
Unaandika mavi tu!Deal kwa njia za diplomasia, ikibid piga ambush kwenye camp yao tu kama alivyofanya USA alivyodeal na Alqaida. Je ulisikia USA kasema sehemu ya nchi nyingine ni yake kimabavu?.
Lakini sio kama Amin alivyofanya, kwa kuvusha Jeshi kuvamia nchi yetu na kuteka sehemu ya ardhi ya kagera na kusema hadharani kuwa hiyo sehemu ya ardhi ni ya Uganda.
Mkuu, kwani wewe ungekua Rais wa wakati huo wa TZ ungefanya maamuzi gani? Nchi yako imevamiwa ardhi ya kagera inatangazwa ni sehemu ya Uganda na mpaka mpya unatangazwa kinyume na sheria. Wewe ungefanyaje?Unaandika mavi tu!
Mshikaji anakupiga na point za maana wewe unajibu UHARO
Baada ya diplomasia kufeli, USA alideal na Alqaeda kwa kuivamia Afghanistan na kuwaondoa Taleban au umesahau.Deal kwa njia za diplomasia, ikibid piga ambush kwenye camp yao tu kama alivyofanya USA alivyodeal na Alqaida. Je ulisikia USA kasema sehemu ya nchi nyingine ni yake kimabavu?.
Lakini sio kama Amin alivyofanya, kwa kuvusha Jeshi kuvamia nchi yetu na kuteka sehemu ya ardhi ya kagera na kusema hadharani kuwa hiyo sehemu ya ardhi ni ya Uganda.
Ndio hii njia niliosema, ikibidi fanya Ambush kwenye camps zao tu. Ndio alichokifanya USA. USA hakuivamia Afghanistan na kutangaza sehemu ya ardhi ya Afghanistan kuwa ni ardhi ya USA kimabavu. Bali alifanya Ambush kwenye camps za Alqaida na Taleban. Au uliwahi kusikia USA katangaza sehemu ya ardhi ya Afghanistani ya kwake?Baada ya diplomasia kufeli, USA alideal na Alqaeda kwa kuivamia Afghanistan na kuwaondoa Taleban au umesahau
Kiutaratibu hakuna Luteni anayeweza kuamuru Jeshi kuvuka mpaka kuingia nchi nyingine kufanya uvamizi bila ya kuwa na Approval ya wakuu wake. Ndio maana baada ya uvamizi wa kagera Rais Amin alizuru kagera na kutangaza rasmi eneo hilo kuwa ni la Uganda, hiyo inamaanisha hiyo Operation kivita aliitambua.Hayo ya kuvamia Kagera ni kweli....ila naomba soma kuhusu jamaa anaitwa 'Juma Butabika'....huyu alikuwa Luteni Kanali wa jeshi la Amin......huyu jamaa ndiye aliyeamuru Tz ivamiwe na hatimaye kupelekea vita.....jaribu kusoma habari zake kwenye mtandao
Mkuu unahangaika na akili za kitoto,atakukausha koo bure,mpotezee tuSasa mkuu wangemuacha Idd Amin kisa washamtoa Kagera si angejipanga akarudi tena?