Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza

Af! some people, bana shida sana uliambiwa ku-copy na pst ni dhambi? mbona weye hujaweza? na hutoweza.
Na yeye wapi kasema Copy and paste ni dhambi!
We dada vipi! Au tayari umeshaachwa tena?
Manake hii itakuwa talaka ya 6 mwaka huu.
Kaogee maji ya katani huenda ukadumu Kidogo kwenye ndoa.
 

Aisee wewe jmaaa mwanajeshi gani hujui hata conspiracy issues za nchi yako!

Hivi uliyasikia mauaji ya Mwembechai?
Unakua chanzo hasa, kichochezi, sababu ilikua nini? Hujui?
 
Huyu si mgambo ni Luten canal. mwenye mafanikio! JKT ulikuwa nanga sana wewe, hukuelewa vyeo vya jeshi wewe. bichwa zito, na hutaelewa ndo maana kila kitu Mgambo!

Wakatoliki mnachekesha kweli.
Na Nyerere ulifanikiwa kuwapandikiza imani kuwa yeye ndio mtakatifu wenu, chochote alichofanya nyie mnaabudu tu.

Kagera war (failure)
Arusha Declaration (failure)
Multi party system (failure)
Zanzibar Autonomy (failure)

Na amshukuru Malkia Elizabeth kubabake alikua apinduliwe na mwanajeshi wazalengo mwaka 1963.
 
Aisee wewe jmaaa mwanajeshi gani hujui hata conspiracy issues za nchi yako!

Hivi uliyasikia mauaji ya Mwembechai?
Unakua chanzo hasa, kichochezi, sababu ilikua nini? Hujui?
Hata kama utaijua sababu lakini haitawasaidia na chuki zenu za kidini hizo,Tanzania iko imara kuwadhibiti wafuga midevu na Majini.Kama unabisha watume hao kaka zako hatutasita kuwanyoa bila wembe!!!!Nawashauli tu Ondoeni chuki zenu za kidini kama hamtaki hamieni uarabuni na huko sidhani kama watawatambua maana ninyi ni waarabu koko!!!
 
Udini utawamaliza!!!
 
Aaaah! Mkuu Mliwa uliwa! mimi kristu halafu wa bara. tupe uzoefu shemejio aliwahi taka hiyo? chupi si poa, fua tu na kunyoosha kabisa, mwili mkubwa unaogopa kupenyeshwa kanyama kadoogo hako? kakipenya...

najua wewe nikikupa, siku utanipa tu au siyo! sema ukweli wako!
 
Huyu si mgambo ni Luten canal. mwenye mafanikio! JKT ulikuwa nanga sana wewe, hukuelewa vyeo vya jeshi wewe. bichwa zito, na hutaelewa ndo maana kila kitu Mgambo!
We nyapi huyu mgambo kaanzisha hii story miaka zaidi ya mitatu iliopita nadhani wewe ndio ulikuwa unavunja ungo.
Namfahamu fika. Hana cheo chochote na wala hakuwahi kuwa na Cheo.
Anaishi Mbagala rangi tatu kwenye chumba cha kupanga.
Lieutenant colonel wa JWKT ashinde humu JF kutafuta msaada ya kutunga kitabu?
We binti vipi? Au wewe ni mke mdogo wa Echolima umegeuza ID ? manake unaandika utumbo wa ajabu humu.

Ukitaka kupambia Buzi lako panga maneno ya kuandika. Sio kubwabwata ovyo.
 
Alaaaa! kumbe wewe ni damu ya wauuza watumwa mzoefu, nilikuwa sijajua!

shekhe! sikuwezi!
maana ile damu inalia mpaka leo! kila ardhi ukikanyaga inalia! halafu sijui waliwapa nini wale watu mnavyowapendaaa! lkn wao hawawapendi!
 
Halafu nikisema wewe ni muhamiaji haramu wa kitusi unakuwa mkali.
Hata utumiaji wa methali zetu za kiswahili hujui. Toka lini ukaweza kumnyoa mtu bila kiwembe? Teh teh teh .
Mgambo una jazba mbaya sana hata Walokole unawaita Waislamu.
Kwani Nchi hii ulitaka itawaliwe na Wakatoliki tu km alivyotaka nyerere au sio?
Sasa si urudi kwenu Rwanda, unazeekea Tz kwa mpango upi Mgambo?
Nenda kalime ndizi kwenu hapa Tz wahamiaji haramu mnaleta uchafuzi wa mazingira ovyo.
 
Kamanda umenirudisha nyuma miaka ya 1978 kaka yangu alipoandikishwa kwenda nikiwa darasa la pili na akarudi kijijini peke yake kijiji kizima kilikuja kwetu kumsikiliza usiku kucha na alikuwa anaheshimika sijapata kuona. Tulilia kila akisumulia yaliyotokea vitani na kumuona kama nabii aliyefufuka kwa kweli umenikumbusha mengi mpaka nalia sana nikikumbuka marehemu mama alivyompkea kaka tukalia nyumba nzima kwani tuliamini amekufa vitani. Ushauri chapisha kitabu nnamini jeshi litakupa kibali tu japo litahariri hicho kitabu lakini tutakinunua sana.
 
yabadilishe haya maandishi yako kwa kiingereza kama umesoma kweli! ASTAGHFIDU
 
Namfahamu fika. Hana cheo chochote na wala hakuwahi kuwa na Cheo.
Wee! mzee huna Damu ya shukrani, tumewaondoa utumwani, mko huru unatukashfu? unawatamani ukatumikishwe, na walewale walio uza babu zako km mbuzi. ajabu sasa hata wao hawawapendi kabisa mnaonekana nyani tu!
 
Mwinyi alinyonga nadhani watu 10 na Nyerere wawili
We mropokaji.
Nipe ushahidi wa maneno yako nikulipe million hapa hapa jukwaani.
Hivi huwa mnaandika ovyo namna hii sababu hakuna kupigwa faini humu sio?
Watz Wengine ovyo sana.
 
Wee! mzee huna Damu ya shukrani, tumewaondoa utumwani, mko huru unatukashfu? unawatamani ukatumikishwe, na walewale walio uza babu zako km mbuzi. ajabu sasa hata wao hawawapendi kabisa mnaonekana nyani tu!
Shukrani apewe nani?
Mgambo anaejisifu kupigana vita isio mhusu?
Au Nyerere aliyetupeleka kwenye nchi isio na tatizo na sisi?
Au wewe unaesifia usicho kijua?
Waulize watu tuliokuwa nao mwaka huo.

Wewe nikikuuliza nini athari za hio fujo ya Uganda iliowakuta watanzania sidhani km utaweza kuzitaja.
Au nikikuuliza Thamani ya Dola kwa TSHS kabla ya Hio Fujo na baada huwezi kujua.
 
Mgambo una jazba mbaya sana hata Walokole unawaita Waislamu.
Acha chuki ufaidi keki ya Taifa kabla hujafa mzee, Baba wa taifa alitoa hizi tukapanda Bure tulifaudu weee!.

Utake usitake utamuita tu kwa sauti ''Father of Nation kizazi chako chote!'' na ole wako ukashfu hadharani uone cha moto! tutakuhifadhi sehemu salama, maisha yako yote! ukacheze dufu kwa raha, sisi ndo sisi. JWTZ hoyee! Zidumu fikra sahihi zake. itikia ziduuumu!!! hata kimoyomoyo!
 
yabadilishe haya maandishi yako kwa kiingereza kama umesoma kweli! ASTAGHFIDU
Then what if i dont!
Wise people inherite knowledge not slave masters language.
Every nation or society has a black dog. unfortunately you are one them.
Paka shume.
 
Unaendelea kuandika upumbavu bila aibu.
Yaani unathibitisha ule unyama aliufanya miaka yoote ile ya utawala wake tu kwa sababu ukipinga utauawa.
Tukavunjiwa nyumba zetu.
Tukapelekwa kuishi porini! Watoto wetu na baadhi ya wazee wakaliwa na simba.
Sababu ati tunamuiga Mao wa China kuunda serikali ya Ujamaa na kujitegemea.

Laana hio haitomuacha nyerere na wote wanaomsapoti mpk Siku ya malipo.
We mtoto subiri tu .
Mungu atatoa hukumu inayostahili
 
Waulize watu tuliokuwa nao mwaka huo.

Wewe nikikuuliza nini athari za hio fujo ya Uganda iliowakuta watanzania sidhani km utaweza kuzitaja.
Au nikikuuliza Thamani ya Dola kwa TSHS kabla ya
Aaaaah! Mzee kumbe uliburuzwa kama jibwa! ukamuue Alhaj IDD.. hukuwa na Guts za kupinga fikra sahihi za mzanaki! mpaka leo huwezi! Una kisirani Nyerere hakuwapa vyeo! ukaa kimya mpaka mwenzio kaanzisha uzi! wewe kuandika hivi huwezi! unawaza chini tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…