kande kavu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 234
- 88
Muulize baba yako kwani yeye alikuwa kwenye saddle.Great thinkers tunazungumzia ya magamba wanavyo tumaliza.tatizo nimegundua huna mawasiliano na baba yako; hayo ndio yakuongea mkinywa kahawa. Nilitegemea utuambie meli ina nanga ngapi n.k usituvuruge
Naona umekuja na nyingine, hivi Nyerere alikukosea nini?..
Nyerere screwed Jumanne's plan to be a president, and if that plan would materialize... his son wouldnt be jobless and struggling to be a politician (in a jackass way)
[1] Mwl kumpatia hifadhi Obote ilikuwa kosa ?.
Haikuwa kosa hata kidogo huku nikiamini alifanya hivyo kwa dhamira ya kibinadamu, kinyume chake ni kosa!
[2] Mwl kuwapatia hifadhi wakimbizi toka Uganda ilikuwa kosa ?.
Haikuwa kosa hata kidogo huku nikiamini alifanya hivyo kwa dhamira ya kibinadamu, kinyume chake ni kosa!
[3] Wakimbizi toka Uganda walikuwa wakwanza kuivamia Uganda au majeshi ya Uganda walianzisha vita na Tanzania ?.
Wakimbizi wa Uganda ndio walikuwa wa kwanza kuivamia Uganda!
[4] Idd Amin kuitangazia dunia kwamba Kagera ni sehemu ya Uganda alikuwa sahihi ?.
Hakukuwa Sahihi kwakuwa Kagera ilikuwa ni sehemu ya Tanzania.
[5] Mwl[Tanzania] kuipiga Uganda hadi kumwondoa Idd Amini madarakani alifanya vema ?.
Hakufanya vema.Busara ya Vita ya vita ya aina ile ni sawa Gulf War ambapo UN ilipitisha Azimio la kuishambulia Iraq ambayo ilikuwa imeikalia Kuwait. Kilichofanyika ni kumwondoa Sadaam toka ardhi ya Kuwait tu na si zaidi ya pale. Kinyume chake, ni uhuni ambao ulifanywa na Geroge Bush JR ambae kwa kutumia kisingizo cha uwepo wa silaha za maangamizi, alihakikisha hadi Sadam anaondoka kabisa madarakani....!! Hivyo basi, ilitosha tu kumwondoa Amin ndani ya mipaka ya Tanzania na sisi kuimarisha mipaka yetu huku tukihakikisha Waganda waliomo ukimbizini hawaitumii ardhi yetu kufanya chokochoko.
Nikipewa majibu ya maswali yangu machache bila kuingiza ushabiki tunaweza kujua kwa uhakika zaidi nani alikuwa mkosaji.
Unaona sasa....kumbe wewe ndo umedhirisha kwamba unaongelea kuamini kilichopangwa kutokea!!! Kwahiyoo unakiri wazi kwamba Nyerere ndie kiini cha matatizo na alilazimika kumwondoa Amin kwavile tu Amin alikuwa na Close tie na Ghadaff?! Kama ndivyo, basi hilo pia halikubaliki kwakuwa hakuna ushahidi kwamba Amin angeisumbua Tanzania kwavile tu alikuwa na close tie na Ghadaff!!
It amazes me when one who is truly biased calls another biased! NazDaz, umeshasema kwa kauli yako mwenyewe kwamba wewe ni anti-Nyerere. Kwa hiyo hata kama jokaKuu anaweka facts, alimradi zinamwonyesha Nyerere in a good light hutokubaliana nazo.JokaKuu,
Sina tatizo na wewe hata kidogo kuhusu uwezo wako wa kuchambua mambo....u're great! hata hivyo, tatizo lako JokaKuu ni kwamba upo very biased!! Wewe huoni taabu kupotosha ukweli kwa ajili tu ya kulinda kile unachokiamini au kukitetea!! Ni kweli, baada ya Amin kuondolewa madarakani ni Yusuf Lule ndie alishika hatamu za uongozi!! Hivi unazani Nyerere could be stupid enough amweke Obote soon after kumwondoa Amin madarakani wakati tayari tuhuma zilishaanza kutolewa kwamba kilichomfanya Nyerere kuingia vitani ni kumtetea Obote?! Only the most Foolish President could do otherwise!! Ingawaje ni Yusuf Lule ndie alishika hatamu, Nyerere alishajua sooner or later Obote angerudi tu kwenye kiti chake kwavile tayari paliwekwa nia ya kuitisha uchaguzi ambao kila mtu, including Nyerere alifahamu fika kwamba lazima Obote angeshinda tu!!
William natamani uje bukoba uone makaburi ya babu zangu na ndugu zangu waliouwawa na majeshi ya Amini. Wewe uko huko mbali na mzee wako wala hukufiwa unakuja na hoja ya kibazaziiiiii............. siku ukifiwa undo utajua uchungu wa kufiwa.
William, inaonekana una ajenda zako binafsi dhidi ya Baba wa taifa nazo ni kwa nini alimdhibiti vilivyo baba yako na pili ni ajenda ya kidini. Hivyo basi naomba nikuambie tu kwamba propaganda zote chafu dhidi ya Baba wa taifa kamwe hazina nafasi na hazitafanikiwa. Kwa ushauri tu nakusihi ujikite katika mambo ambayo ni relevant na yenye maslahi kwa jamii yote ya kitanzania.[ Mnyisanzu 02.06.2012].
Like I said, he is on the outside looking in. The question is: will "they" let him in?Kasikia JK alivo na chuki/hasira, asivompenda Mwl Nyerere so anajaribu kujipambanua humu kuwa naye hampendi Nyerere ili labda mkulu amwangalie,,kingine inaweza kuwa ile hali ya Nyerere kumdhibiti sana Baba yake,,lkn mbona still amenufaika sana na hicho alichopata mzee Malecela i.e kusomeshwa bure kwa kodi za watz nk?
Jasusi, nafikiri wengi wenu mmesahau kitu kimoja...Je unakumbuka taarifa tuliyowahi kupewa na Field Marshall ES humu JF kuhusu nia ya kuandika upya historia ya Tanzania? Hiki kitabu kinatakiwa kiende sambamba na kile cha Mohamed Said cha kukosoa historia ya harakati za uhuru wa Tanganyika. Hawa watu wanaamini kuwa kama wataweza kumcut down to size Mwalimu, basi watafanikiwa kuwainua watu wengine wamkaribie na ikiwezekana wamfikie na kumpita. Wakati Mohamed Said analilia wazee wake wa Gerezani, William anamlilia mzee wake wa Dodoma na kuna tetesi hiki kitabu kinaweza kutoka muda wowote kama kitakuwa hakijatoka tayari. Hizi mada anazoleta William ni katika kupima tu kina cha maji kabla ya kujitosa...na bado tutashuhudia mengi!It amazes me when one who is truly biased calls another biased! NazDaz, umeshasema kwa kauli yako mwenyewe kwamba wewe ni anti-Nyerere. Kwa hiyo hata kama jokaKuu anaweka facts, alimradi zinamwonyesha Nyerere in a good light hutokubaliana nazo.
Ta Muganyizi, huyu William hakuwahi kuusikia huu wimbo uliotungwa na Mayunga Ngata, naomba mwenye kuijua hii lugha atupe maana yake.William natamani uje bukoba uone makaburi ya babu zangu na ndugu zangu waliouwawa na majeshi ya Amini. Wewe uko huko mbali na mzee wako wala hukufiwa unakuja na hoja ya kibazaziiiiii............. siku ukifiwa undo utajua uchungu wa kufiwa.
Kambarage, ngeshimiwa
Nyerere watukombolaWayimala ivita ya bana BugandaMnanzika wanatula ilihindiAligalagala,Agulalaga majiguluWabile wigwa chagachaga, obandaOgahagai TanzaniaAho akatuvamiaTwalitulembelileTuli ngwa walwaTulisoma na kusomaNikumbaga yabuyagaTuhimbulwa jinga (2x)Aho nigwa guli giki ya binwaiBugandoIngholo yukolwaYulya malumba na malumbaBugando baliko,Baliko balema bingiNa bakubyalaga na balindaBaliko bingiNangho bulihayaKupiga njinga!iTanzania bulihageWabiyona indege nyukliaYa kunya lyochi ukunuma?Ukubutongi balishilaBakwanaga buyagaBaganda, toshila
It amazes me when one who is truly biased calls another biased! NazDaz, umeshasema kwa kauli yako mwenyewe kwamba wewe ni anti-Nyerere. Kwa hiyo hata kama jokaKuu anaweka facts, alimradi zinamwonyesha Nyerere in a good light hutokubaliana nazo.
jmushi1,
kitu cha kwanza ni Nyerere kumpokea Obote....lakini nasisitiza, hakuna mtu mwenye akili timamu ambae anaweza kumlaumu Nyerere kwa kumpokea Obote; hata mimi base yangu haipo katika Nyerere kumpokea Obote bali Waganda kuitumia Tanzania kama uwanja wao wa mafunzo huku serikali ikifahamu. Naamini serikali ilifahamu hilo kwavile isingewezekana Waganda waingie nchini mwao na kufanya jaribio la mapinduzi na waliposhindwa wakarudi tena Tanzania bila serikali kufahamu. Kama walifanya njama za mapinduzi kimya kimya, siri ilishafichuka baada ya wao kufurumushwa na wanajeshi watiifu wa Amin. Baada ya hayo kutokea, Nyerere angemfukuza Obote na watu wake kwavile tayari walishauka sheria za ukimbizi.
ndiye aliitia nchi katika janga la umasikini na madeni ambayo mpaka ulimwengu huu utakwisha hatuwezi kulipa
tutaendelea kulipa riba za deni,
sababu ni kumrudisha mkatoliki mlevi mwenzake madarakani
Watanzania hakika tu watu wa ajabu sana. Kuna baadhi yetu ambao kwa bahati mbaya sana hawataki kabisa kusikia vipenzi wao wakisemwa kwa mabaya hata kama kweli mabaya hayo waliyafanya. Kama walivyo mashabiki wa CHADEMA ambao hawataki kabisa kusikia mtu kama Dr. Slaa akisemwa kwa mabaya, kuna wengine ambao hawataki hata kidogo kusikia baya likisemwa dhidi ya Nyerere. Hawa wote, ukisema baya kuhusu vipenzi vyao basi watakuja juu na kukupa majibu ya kifedhuli na kihayawani .lakini wote hawa bado wanajiita ni Greatest Thinkers!!
Sasa nirudi kwenye mada.
Ukweli bado utabaki pale pale kwamba kwa pale ilipofikia, Tanzania haikuwa na budi bali kuingia vitani dhidi ya Amin. Hata hivyo, bado ukweli unabaki paleplae kwamba point ambayo ilikuwa lazima tuingie vitani ilisababishwa na Nyerere mwenyewe.
Baada ya Amin kumpindua Obotte, Milton Obotte alipewa hifadhi na Nyerere. Kimsingi, hapakuwa na ubaya wowote kwa Nyerere kumpa Obote hifadhi hapa Tanzania. Hadi Nyerere anampa hifadhi Obote pamoja na maelfu ya wakimbizi bado Amin alikuwa hajaonesha uchokozi wa wazi dhidi ya Tanzania. Tatizo kuu lilianza pale Wakimbizi wa Uganda waliopo Tanzania walipovuka mpaka wa Tanzania na kuingia Uganga na kufanya jaribio la kumpindua Amin. Hata hivyo, jaribio hilo lilishindwa na kasha kikosi hicho kikarudi tena Tanzania.
Haya sasa, wale wanaotaka kujitia upofu kwa makusudi; watuambie ni kiongozi gani duniani angevumilia kitendo ambacho kilifanywa na Tanzania kwa kuacha Waganda waliopo nchini wavuke mpaka na kuingia Uganda kwenda kufanya jaribio la mapinduzi kasha kurudi tena nchini. Je, hapo Tanzania ilikuwa ni hifadhi ya wakimbizi au kituo cha kijeshi kwa wale waliokuwa na nia ya kumtoa Amin madarakani?! Kimsingi, hakuna jaribio la mapinduzi ambalo linaweza kufanyika pasipo na maandalizi ya kijeshi. Hata mapinduzi madogo kama yale ya Zanzibar 1964 palikuwa na mafunzo pamoja na maandalizi ya kijeshi kabla ya mapinduzi hayo kufanyika. Je, hawa wakimbizi wa Uganda ambao walitoka Tanzania na kuingia Uganda kwenda kumpindua Amin walichukulia wapi maandalizi na mafunzo ya mapinduzi amabayo walienda kuyafanya?! Je, mnataka kusema kwamba serikali ya Tanzania hawakufahamu dhamira ya Waganda ambao walikuwepo nchini?! Hivi kweli Intelligence system ya Nyerere ambahyo ilikuwa very competent haikufahamu kwamba wakimabizi wa Uganda walikuwa na nia ya kuvuka mpaka na kuingia Uganda kufanya mapinduzi?! Kwa intelligence system ya sasa inawezekana lakini sio ile ya Nyerere!!
Hivyo basi, ingawaje Amin alivamia Tanzania na kuikalia sehemu ya Mkoa wa Kagera na kudai ni ya Uganda lakini source ya chokochoko ni Nyerere mwenyewe ambae hakufurahishwa kitendo cha Amin kumpindua Obote; swahiba wa Nyerere! Aidha, ikumbukwe kwamba, hata OAU haikuiunga mkono Tanzania kwa kile kilichoonekana Tanzania kuingilia masuala ya ndani ya Uganda!! Na kwa kunoesha kwamba hawakupendezwa na suala la Tanzania kuingilia masuala ya ndani Uganda, OAU ilikataa ombi la Nyerere alilotaka kwamba OAU imlaani Amin!! Na kwa kumuumbua zaidi, Mkutano wa OAU ulifanyika Uganda ambao Nyerere alisusa kwenda kwavile tu OAU haikukubaliana na takwa lake la kuitaka jumuiya hiyo imlaani Amin.
Swali lingine linafuata hapo! Hivi kweli OAU ilikuwa na mapenzi zaidi kwa Amin kuliko Nyerere ambae alijitolea kwa ari na mali katika ukombozi wa Afrika; Kusini mwa Jangwa la Sahara?! Bila shaka, jibu ni HAPANA .sina shaka yoyote kwamba OAU ilikuwa inampenda zaidi NYerere(Tanzania) kuliko Amini lakini bila shaka walisukumwa na methali ya kiswahili isemayo Mnyonge Mnyongeni, Haki Yake Mpeni! Kwamba, hata kama ni kwali Amin alikuwa ni mshenzi dhidi ya Tanzania na watu wake lakini ushenz wake dhidi ya Tanzania ulisababishwa na sisi wenyewe.
Kitu kimoja ambacho alifudhu Nyerere kwenye vita hivyo ni PROPAGANDA! Alipiga propaganda za kutosha hadi akafanikiwa na kuonesha kwamba tatizo ni Amin .! Propaganda hizi zilienezwa kwa nji mbaliambali ikwemo nyimbo, machapicho na kwa njia ya muziki. Watanzania wote wakaamini kwamba Amin ni tatizo ingawaje kiini cha tatizo ulikuwa ni Nyerere mwenyewe!!
Kwa kumalizia; kama alivyosema William; kwavile Amin aliivamia Tanzania kulikuwa na ulazima gani wa kuhakikisha tunamfutilia mbali?! Jibu ni kwamba, hatukuwa na sababu hiyo! Ilitosha kabisa kumwondoa kwenye mipaka ya Tanzania na kasha kuimarisha mipaka yaetu!! Lakini kwavile lengo la Nyerere alikuwa tu kuilinda mipaka ya Tanzania, basi alihakikisha anaingia ndani kabisa ya Uganda na kumwondoa Amin madarakani!!
It amazes me when one who is truly biased calls another biased! NazDaz, umeshasema kwa kauli yako mwenyewe kwamba wewe ni anti-Nyerere. Kwa hiyo hata kama jokaKuu anaweka facts, alimradi zinamwonyesha Nyerere in a good light hutokubaliana nazo.
William,
Jibu rahisi ni kwamba hatukuwa na sababu ya kumhifadhi Obote. Hatukuwa na sababu ya kuwa na uhusiano hasimu na Iddi Amin. Iddi Amin was the best thing that ever happened to Africa and Uganda. We should have loved him and not make war on him. Simply Nyerere was mad to fight with Amin. Tulifanya makosa makubwa sana. Nadhani hapo utaridhika. Anzisha sasa topic nyingine tumkosoe na kumdadavua Nyerere. Ngoja nikusaidie; Nyerere and African liberation. Big mistake. Nyerere and Pan Africanism: ndoto ya mchana. Nyerere and the Development of Man: it will never happen. Niendelee?
Jasusi,
..LOL!!
..jamaa ametaharuki baada kumwambia kwamba Nyerere alimtoa Iddi Amini "akampachika" Yussuf Lule.
..hiyo inavunja hoja ilee ambayo Mwalimu hasakamwa nayo.
..nimebahatika kusoma kitabu " The War in Uganda ", wanaelezea vizuri sana jinsi process nzima ya kupatikana kwa post-Amini government. Sikumbuki mahali popote pale ambapo Mwalimu alitia mkono wake.
..zaidi, kwa nguvu za kijeshi alizokuwa nazo Mwalimu, na jinsi Waganda walivyokuwa wakimtegemea, Mwalimu asingeshindwa kumuweka Obote madarakani. Ukweli ni kwamba Mwalimu hakuwa na nia hiyo.