Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 420
kila mtawala ana yake, na kila mtu ana ubaya wake na uzuri wake, wewe mbona unachuna albino, fisadi, Nyerere hakuyaacha haya, ya kuchunana ngozi, ubaya wa Nyerere mnauona sasa hivi anapokaribia kuwa Mtakatifu? yeye hakuwa Mtakavitu kama kizazi iki cha JK, mtu kaajiriwa jana Kesho ana nyumba mbili na Vague.Mwacheni apumzike, najua aliwachukia wahaya sana kwasababu za ubinafsi wao.
Binafsi sijakuelewa, nani anayechuna ngozi? Hujaweka wazi. Hebu weka maneno yako yaeleweke.