Vita vya Ukraine: Bei ya petrol na diesel UK yapaa hadi Tsh 5000 kwa lita

Vita vya Ukraine: Bei ya petrol na diesel UK yapaa hadi Tsh 5000 kwa lita

Naomba niulize swali ...kinachosababisha bei ya mafuta kupanda ni Nini??

Yaani hii vita inachangiaje kupanda bei ya mafuta?
 
Naomba niulize swali ...kinachosababisha bei ya mafuta kupanda ni Nini??

Yaani hii vita inachangiaje kupanda bei ya mafuta?

Uwiano wa uzarishaji na matumizi mkuu+ usambazaji nayo inachangia.
 
"Niwahakikishie watu wote, Vikwazo Hivi vya uchumi vitawakwaza hata wao walioviweka" Vladimir Putin [emoji4]
IMG_20220228_154956.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kushangaza,
Marekani kawaambie ulaya wasusie kununua mafuta ya Urusi atawauzi akiba yake.

Akiba yake kawauzia Bei kubwa Sana na bado imeisha na Putin hajasurrender.

Hapa bila masaada wa nchi za kiarabu kuingilia Kati,
Marekani na ulaya wanakuja kuanza kusalitiana wenyewe kwa wenyewe maji yakifika shingoni[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha kushangaza,
Marekani kawaambie ulaya wasusie kununua mafuta ya Urusi atawauzi akiba yake.

Akiba yake kawauzia Bei kubwa Sana na bado imeisha na Putin hajasurrender.

Hapa bila masaada wa nchi za kiarabu kuingilia Kati,
Marekani na ulaya wanakuja kuanza kusalitiana wenyewe kwa wenyewe maji yakifika shingoni[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
67 Ukrainian soldiers surrender to Russian troops.
Chukua hiyo kaka
 
Naomba niulize swali ...kinachosababisha bei ya mafuta kupanda ni Nini??

Yaani hii vita inachangiaje kupanda bei ya mafuta?
Urusi ndo tegemeo kwa 80% ya uuzaji wa mafuta na gesi ulaya nzima.

Sasa Kama ulaya nzima wenye matumizi makubwa wamemsusa Urusi,
Marekani nae kauza stock yake yote kaishiwa.

Hapo Lazima watakimbilia kwingine kuokoteza kwa kuweka dau kubwa.

Hapo Ndo Bei inakopanda dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku [emoji636] tunanyooka haswa inakaribia £2 kwa litre diesel na Petrol ni £1.63 leo
Wanataka kuleta sheria ya marufuku kuendesha gari jumapili ili kupunguza matumizi
Dah! Mnaishi kwa tabu Sana.

Sasa mateso yote ya Nini wanasiasa wanawatesa TU raia kwa kuingilia ugomvi usiowahusu wa us na Russia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Mnaishi kwa tabu Sana.

Sasa mateso yote ya Nini wanasiasa wanawatesa TU raia kwa kuingilia ugomvi usiowahusu wa us na Russia

Sent using Jamii Forums mobile app

Hii vita imeathiri kila kona ya dunia ila watumiaji wakubwa wa mafuta ndio tunaathirika zaidi

Kila kukicha bei za bidhaa zinapanda
Ila uzuri ajira bado nyingi ukitataka unapiga mpaka weekend
 
Cha kushangaza,
Marekani kawaambie ulaya wasusie kununua mafuta ya Urusi atawauzi akiba yake.

Akiba yake kawauzia Bei kubwa Sana na bado imeisha na Putin hajasurrender.

Hapa bila masaada wa nchi za kiarabu kuingilia Kati,
Marekani na ulaya wanakuja kuanza kusalitiana wenyewe kwa wenyewe maji yakifika shingoni[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaishawafika kaka olaf kaishayasema haya leo
 
Back
Top Bottom