[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza huko maisha yao ni magumu zaidi kula kwenye majalala ni kawaida wana dhiki ile mbaya
Halafu kila mmoja mbabe na bunduki
Na Mike Tyson hujaiona alivyotolewa pistol na jamaa kwenye Comedy show alipomwambia Tyson wazichape?
Yaani huko hata kutembelea siendi ingawa nina ndugu kibao