Vita vya Ukraine: Bei ya petrol na diesel UK yapaa hadi Tsh 5000 kwa lita

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ngoja niicheki na hio ya Mike Tyson sijaiona aisee [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hakuamini alipoona hela aliyodaiwa na pump number 9[emoji23] pump imekwapua mahela!
Eeeh na bado, atanunua baiskeli! Utasikia save the environment, kumbe bei ya mafuta haishikiki!
[emoji1][emoji1][emoji1] Kama jamaa anlia hivyo sijui wapiga box wabongo walioko huko Wana Hali gani aisee.Majamaa yanaweza yakawaoa hivi hivi Kama utani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…