Vita vya ukraine huenda vikamfanya putin kufuata nyanyo michael gobachev 1991

Neno "Huenda" limekinajisi kichwa chote cha uzi wako.

Impossible future tense.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Dah!!!
Duma na Orgachies ni sauti ya 3 ndani ya Urusi ndiyo maana Ma- Orgachi wengine hawaelewi Merode ya wimbo unaochezwa,😀
 
Toka Lin marekani wanachi ndyo wanamuweka madarakani raisi pale refer uchaguzi WA 2017 ivi nyie watu mmesomea kweli au mnapelekwa pelekewa Tu labda nikwambie Tu Putin hajiuzulu wala hakuna kitakacho ibafikisha RUSSIA
 
Hakuna kitu kinafirisi kama vita, Warussia watuulize Tanzania hadi mawaziri wa Nyerere walikuwa na Kaunda Suit tatu tatu tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani unatoa reference ya vita yenu ambayo hata hamkujiandaa mliendaa kama vichaaa unaisi urusi ni Tanzania
 
Hakuna kitu kinafirisi kama vita, Warussia watuulize Tanzania hadi mawaziri wa Nyerere walikuwa na Kaunda Suit tatu tatu tu.
Wewe jamaa umevunja mbavu zangu hadi Waziri makuu soko nne alikuwa na oair tatu za viatu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani unatoa reference ya vita yenu ambayo hata hamkujiandaa mliendaa kama vichaaa unaisi urusi ni Tanzania
Unajifanya unaijua sana urusi as if umezaliwa Moscow, urusi ana historia chafu ya kushindwa vita, ww1 mjapani alimchakaza, 1939 Finland alimchakaza kishenzi, hata ww2 asingemuweza Hitler sema mgermani alikuwa anapigina maeneo mengi
 
Endelea kusubiri embe chini ya mpapai
 
Ma- orgachi ndio watakaomtoa Putin madarakani maana hawatakubali wawekewe vikwazo na ulaya vinavyopelekea wao kufilisika.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yani unatoa reference ya vita yenu ambayo hata hamkujiandaa mliendaa kama vichaaa unaisi urusi ni Tanzania
Swala sio kujiandaa, swala ni gharama na Urusi kwa uchumi wake hawezi kupigana muda mrefu na vikwazo juu ndio maana anaomba msaada China.
 
Kinachoenda kuimaliza Russia kuliko kitu kingine chochote ni uchumi wake ambao unaenda kusambaratika wote.

Export capability yake inaenda kushuka vibaya hadi chini ya 10% na hawataweza kutumia akiba kubwa waliyonayo ya dola bilioni 640 (Foreign Exchange Reserve) pia kuna mabilioni yao mengine yamekuwa frozen na Marekani na mwisho wa siku Moscow Stock Exchange nayo itafungwa kwa sababu hata sasa tayari inasuasua.

Kuna kitu watu hawawezi kuelewa labda kwa sababu ya uelewa mdogo au ushabik tu hakuna kitu kibaya kama vikwazo vya kiuchumi na afadhali mpigane vita mambo yaishe lkn usiwe umewekewa vikwazo na mataifa yenye nguvu kiuchumi duniani.

Angalia leo hii jinsi Iran anavyohaha ili ule mkutano wa 6 + 1 uweze kufanyika kwani kufaulu kwake matokeo yake ni wao kuondolewa vikwazo walivyowekewa na Marekani ambavyo vinanyonga uchumi wao vibaya.

Iran amejaribu kukwepa makali ya vikwazo kwa kutumia the third party arrangement lkn imekuwa na changamoto kibao kiasi kwamba huyo mtu wa kati anataka kunufaika karibu kuishinda Iran yenyewe ambaye ndiye mwenye mali kiasi kwamba Iran anaona afadhali akae mezani na Marekani wayamalize ili awatue hawa watu wa kati.
 
Muda utazungumza, ila huo uwezekano ni mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…