Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi sawa lakini sisi tunajua jibwa linalobweka sana huwa halina madhara.View attachment 2367898View attachment 2367898
Katika hotuba yake isiyo ya kawaida kwa taifa mapema wiki hii, Bw Putin alisema nchi yake ina "silaha mbalimbali za uharibifu" na "itatumia njia zote zinazopatikana kwetu", na kuongeza: "Sidanganyi."
Ni kama wale mbwa koko wanaobwekagaga usiku kucha mtaani.Lakini Mbwa hatari siku zote wamefungiwa na wapo kimya,jichanganye eneo lao ndiyo utaujua mziki wao.Zilongwa mbali zitendwa mbali, iyo kauli ya "sidanganyi " ni ya kuku anaeweweseka roho kuacha mwili
Ni ishara za kushindwa vita? Kama maendeleo ya vita yapo vizuri kwanini atishie nyuklia?View attachment 2367898View attachment 2367898
Katika hotuba yake isiyo ya kawaida kwa taifa mapema wiki hii, Bw Putin alisema nchi yake ina "silaha mbalimbali za uharibifu" na "itatumia njia zote zinazopatikana kwetu", na kuongeza: "Sidanganyi."
Unateseka sana aisee. Yaani NATO wasogeze pua waziwazi mbele ya mwamba!!!. Kama hawajipendi sawaEu hata hivi wamemchelewesha sana putin kumkausha.