kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Ndg hapo kuna usuni na ushia, Iran ni mashia na assad ni Shia inabidi ujue hilo,na kama Syria itaanguka mikononi mwa masunni basi naiona serikali ya Iraq itakavyoangushwa muda si mrefu maana Iraq masunni nao wamechoka na kuna mapigano huko, dunia inaenda kujiform upya,Vita nchini Lebanon ilipokuwa inaelekea mwisho, mzozo mwingine mkubwa umezuka Mashariki ya Kati - au labda si mpya sana. Waasi wa Syria wanaopinga serikali wameanzisha mashambulizi ya haraka dhidi ya jiji kubwa zaidi nchini, Aleppo. Tayari wanadhibiti vijiji kadhaa na wameendelea hadi barabara kuu ya Damascus-Aleppo.
Kwa mara ya kwanza tangu 2020, mapigano makali yamezuka nchini Syria. Vikosi vya serikali vinatoa upinzani dhaifu. Waasi wanasonga mbele kwa kasi, na vikosi vya Assad vimeshindwa kuwazuia, vikijiondoa vyenyewe maeneo
Wakati wa mapigano karibu na Aleppo, mshauri wa kijeshi wa Iran, Jenerali wa IRGC Kiyumars Pourhashemi, aliuawa. Shughuli mpya za waasi zimechochewa na kushindwa kwa Hezbollah na Israeli na kupelekwa tena kwa vikosi vya Urusi vilivyokuwa syria Ukraine. Dikteta wa Syria Bashar al-Assad amepanda ndege haraka kwenda Urusi kwa mashauriano na Putin.
Kulingana na ripoti ambazo hazijathibitishwa, makumi ya wanajeshi wa Urusi kutoka kwa "PMC ya Wagner" wameuawa wakati wa mashambulizi ya waasi, na baadhi , ya silaha na usafiri wa Urusi zimekamatwa. Waasi wanabomoa picha za Bashar al-Assad na alama zinazohusishwa na Urusi. Wametangaza kuwa maadui wao wakuu ni WaIrani na Warusi, wanaounga mkono utawala wa Assad.
View attachment 3165135
Kwa Russia ni moto ila Kwa Israel ni war crimesTurkey, Israel na USA wote lao Moja hapo syria.ila nimefurahi Russia amenimwagia moto wa kutosha usiku wa kuamkia leo hawa waasi hawana maisha marefu wameanza kulia kuwa Russia ana commit war crimes
Jambo gan ni Bora kuliko uhai wa mtu? kama unaamin ni sahihi hao ndugu kuuana bas hizo lawama msiend zitupa Kwa Israel au Marekani au Urusi , wazibebe hao unaona wapo sahihi kuuanaUnaijua vizuri siasa ya middle east? Please kabla hatujaanza midahalo em nenda kwanza kajifunze uko mitandaoni at least ujue baadhi ya key issues vinginevyo unaajenda yako please be well informed before engaging! Itakupunguzia kutokuelewa vitu vingi kama nia ni kuelewa
Turkey ni Makafiri sio?Inshallah tutashinda makafiri
Tunamwomba Allah akatutendee haki siku ya kiyama kwa bikra safi
Hahaha kashifa iko wapi hapo, hao ni MAGAIDI wana Twangana. Sisi tusiishie humu nikataka kufahamu tutasaidiaje, wewe usha daka dini.Hivi nyinyi hamuwezi kujadili dini bila kuingiza kejeli na kashifa za kidini?
Hivi watz tuna matatizo gani?
Hahaha tunataka tuone maandamano wakipinga kuuwana, majuzi hapa waliandamana wakipinga Israel kuwatandika HAMAS=MAGAIDI, wakidai eti wanauwa wanawake na watoto. Mi niliwauliza mbona CCM wana UVCC, na UWT, mnauhakika gani kama HAMAS hawana branch kama hizo? wananitukana.Saa hizi yanauana wenyewe hutawasikia wazee wa mtambani wakikemea
Hahaha, unajua ukweli huwa unauma sana.LGBTq mna shida sanaaa
Wapo mpaka kesho hapoOngeza Israel anajipigia kila siku,nilisikia marekani wanamiliki visima vya mafta hapo 🏃🏃
Wana double standard sana, al khasus, na shisha zao wanazipenda, kuwasaidia hawataki. Sasa sijui watasemaje, Wamarekani ndio wanawaua au Europe? hawakosi wa kumsingizia hawa.mtambani waendelee tu kunywa al khasus, ya syria hayawahusu
mbaya zaidi Hana msaada mkubwa wa maana
Hizo chuki zako zilizo kujaa mpaka mkunduni hazitokusaidia kitu zaidi ya kukuletea maradhi ya moyo.Hahaha kashifa iko wapi hapo, hao ni MAGAIDI wana Twangana. Sisi tusiishie humu nikataka kufahamu tutasaidiaje, wewe usha daka dini.
Ww tangu Urusi imeanza kushambulia imesha sikia wameshambulia Shule, hospital,kambi za wakimbizi, mashirika ya UN,masoko na kama anavyo fanya Israel?Kwa Russia ni moto ila Kwa Israel ni war crimes
Hahaha endelea kuota , Kenya anakuzid Kila kitu ubora na experienceKenya hana jeshi lenye uwezo wa kuteka hata km 1 ya Tz labda ungesema hata Uganda angalau.
Nenda kafanye research mwenyew Kila kitu kilipostiwa humu , sio kulipia tu walikuwa wanapora na kukanya watu wakiwa kwenye magari YaoWw tangu Urusi imeanza kushambulia imesha sikia wameshambulia Shule, hospital,kambi za wakimbizi, mashirika ya UN,masoko na kama anavyo fanya Israel?
Nimesoma comments nyingi kwenye huu uzi,wengi hawajui kwanini Russia yuko pale na kwanini marekani na west wako pale,wewe umeongea point ambayo ndio sababu kubwa ya kinachoendelea .Mfadhili mkubwa wa vita vya syria Qutar.. Japo kila nchi hapo zina maslai yake..
*
Russia hawez kukubali bomba la gas lipite syria liende Ulaya..