Doh kumbe siko peke yangu. Ile makitu ni kifutio kabisa. Inapoteza mazima... afu asubuhi mdomo unatoa harufu kama choo cha stendi.. .Lahaulaaa kumbe tuko wengi! Kijiweni kwetu nyagi tumeipa jina "kichaa" au "ufutio" coz ukiamka asubuhi hukumbuki chochote,inafuta memory zooote
Shida yako ni uthibitisho nakueleza hivyo kwa sababu ratiba ya fiesta yote ipo unachotaka wewe ni ushindani usiokuwa na maana.Acha uongo, kama una unauthibitisho weka hapa.
Nani kaanza ushindani? Weka udhibitisho.Shida yako ni uthibitisho nakueleza hivyo kwa sababu ratiba ya fiesta yote ipo unachotaka wewe ni ushindani usiokuwa na maana.
😁😁😁 team nyagi💪 mileleEwaaa... hapo nlitaka kuzungumzia Balimi Vs Pilsner.
Hapo kwa K Vant na Serengeti hata mimi niko upande wao. Nyagi imefanikiwa kunipotezea sana memory.
ileteNaomba nikusahihishe kiongozi tarehe 24 clouds ndio walioanza wakaja hao wcb ukisema kuna vita utakuwa umekosea boss rudisha kumbukumbu zako nyuma au kama ulikuwa hujui basi ujue walioanza ni clouds na ratiba ya tarehe hiyo ipo toka fiesta imeanza.
acha maneno mengi,ilete hiyo ratibaShida yako ni uthibitisho nakueleza hivyo kwa sababu ratiba ya fiesta yote ipo unachotaka wewe ni ushindani usiokuwa na maana.
na lipsi zimekaukaaaDoh kumbe siko peke yangu. Ile makitu ni kifutio kabisa. Inapoteza mazima... afu asubuhi mdomo unatoa harufu kama choo cha stendi.. .
Na burudani kubwa itapatikana kule mkoaniHapo ni mfanyabiashara na mjasiliamali
Sijaelewa kwanini kichwa cha uzi kind nasomeka hivyo!?Siku chache baada ya WCB kutangaza tarehe ya tamasha lao,litakalofabnyika mtwara Nov 24,huku maandalizi ya kuwasign wasanii watakao perform yakishika kasi,Clouds nao wametangaza tarehe kama hiyo(Nov 24) ambapo tigo fiesta itafanyika jijini Dar...mnyukano uliopo ni kwamba wasanii ambao wako HOT watakubali kwenda upande upi Mtwara au Dar? Huu Mchezo usiuchezee wewe..!!!View attachment 932143
Huwa Safari,balimi na konyagi tunawaita "wenye Kaya"Hayo tunawaachieni madogo. Sisi hivi sasa tunaangalia mnyukano wa Balimi na Safari Lager, castle lite vs Serengeti lite na ile ya kubwa zao Konyagi vs K Vant
writing skills,ingekuja kwa upande positive wa wcb usingeona wachangiaji hapa....but andika kitu kama unawadiss wcb utaona wanavyomiminika...umenisoma?Sijaelewa kwanini kichwa cha uzi kind nasomeka hivyo!?
Nakuja naenda kununua tochi, maana sioniAliyeona mahali waliposhikwa vibaya WCB atuonyeshe na sisi tuone
Come againwriting skills,ingekuja kwa upande positive wa wcb usingeona wachangiaji hapa....but andika kitu kama unawadiss wcb utaona wanavyomiminika...umenisoma?
Muonekano mpya K Vant,,unaweza lewa hata kabla hujaanza kunywaHayo tunawaachieni madogo. Sisi hivi sasa tunaangalia mnyukano wa Balimi na Safari Lager, castle lite vs Serengeti lite na ile ya kubwa zao Konyagi vs K Vant
not now..!!Come again
Lahaulaaa kumbe tuko wengi! Kijiweni kwetu nyagi tumeipa jina "kichaa" au "ufutio" coz ukiamka asubuhi hukumbuki chochote,inafuta memory zooote
Gotchanot now..!!