Mkuu kusaga sio sehemu ya wasafi ila alikuwa ni sehemu moja wapo ya waalikwa huenda watu haeajui ila majizzo ka play sehemu kubwa kwenye kufanikisha mzigo unakuwa hewani ila ndio haonekani sana trust me au kama unaweza mpata tare mchombeze chombeze atakupa storyClouds na WCB huwezi kuvitenganisha na Kusaga... Huu ni mkakati maalum wa kuiua EFM na TV. Na kwa kiwango flani naona wanaelekea kuwin. Mandezi wa pori hawawezi kuelewa huu mcezo. Ndo maana me nikiona hii ligi ya mawingu na wcb naanza kula popcon huku nikitabasam.
Mkuu sio kweli kusaga hana share wasafiHao Ni Dugu Moja In Panjuani Voice
Nachojua Mie Clouds Ni Ya Familia Ya Marehemu Mzee Kusaga Na Wasafi Ni Ya Joseph Mwenyew
unaposema waalikwa una maana gani mkuu?Mkuu kusaga sio sehemu ya wasafi ila alikuwa ni sehemu moja wapo ya waalikwa huenda watu haeajui ila majizzo ka play sehemu kubwa kwenye kufanikisha mzigo unakuwa hewani ila ndio haonekani sana trust me au kama unaweza mpata tare mchombeze chombeze atakupa story
hawa si wanamskiliza yule nwanadada punguani wa USMkuu sio kweli kusaga hana share wasafi
funguka Basi Unachokijua Nasie TujueMkuu sio kweli kusaga hana share wasafi
AyeeeHayo tunawaachieni madogo. Sisi hivi sasa tunaangalia mnyukano wa Balimi na Pilsner, castle lite vs Serengeti lite na ile ya kubwa zao Konyagi vs K Vant
Hivi ukiambiwa uchague kwnda kuwaina bilnas, venessa, aslay, jux etc. Hapa kuna diamond, mbosso, harmonize utaenda wapi? Naona jibu unalo mkuu hapoSiku chache baada ya WCB kutangaza tarehe ya tamasha lao,litakalofabnyika mtwara Nov 24,huku maandalizi ya kuwasign wasanii watakao perform yakishika kasi,Clouds nao wametangaza tarehe kama hiyo(Nov 24) ambapo tigo fiesta itafanyika jijini Dar...mnyukano uliopo ni kwamba wasanii ambao wako HOT watakubali kwenda upande upi Mtwara au Dar? Huu Mchezo usiuchezee wewe..!!!View attachment 932143
obviously hata wewe jibu unalo😂Hivi ukiambiwa uchague kwnda kuwaina bilnas, venessa, aslay, jux etc. Hapa kuna diamond, mbosso, harmonize utaenda wapi? Naona jibu unalo mkuu hapo
Excuse me👂Mbona tr hiyo Kiba naye yuko Kahama?
Wasafi ndio wamekamatilia. Time will tell