Vita ya Clatous Chota Chama Vs Pablo mmoja kuondoka SIMBA

Vita ya Clatous Chota Chama Vs Pablo mmoja kuondoka SIMBA

Aende wapi tena! Kwani si tulikubaliana Pablo ameshawahi kuzifundisha Real Madrid na Getafe! Na hivyo tukimpa muda, ataigeuza timu yetu kuwa Real Madrid ya Bongo!

Mimi naona aendelee tu kubaki mpaka pale mkataba wake utakapokwisha.
Uwezo umefika mwisho
 
Tetesi kutoka msimbazi ni kuwa kiungo wa Simba,Clatous Chotta Chama na Kocha Mkuu Pablo Franco walirushiana maneno kwenye vyumba vya kubadilishia nguo Aprili 30, 2022 katika mchezo wa Derby ya Kariakoo dhidi ya Yanga.

Inaelezwa tukio ndilo lililisababisha Pablo kumtoa Chama na nafasi yake kuchukuliwa na Bwalya, pia katika mchezo dhidi ya Namungo FC, jana Mei 3, 2022, Chama hakuwepo hata kwenye benchi la timu hiyo.

Kutokana na hali hiyo hapo ni wazi wawili hao hawawezi kufanya kazi pamoja na mmoja lazima aondoke, inaaminika kuwa kinachombakisha Pablo mpaka sasa ni kwa kuwa kuna uwezekano wa Simba kukutana na Yanga kwa mara nyingine katika Kombe la FA.

Kama atashindwa kuingia fainali ya FA ni wazi kuwa safari yake itauwa imewadia mapema zaidi ya inavyoelezwa, pia viongozi wa Simba wanaona ameshindwa kuinua viwango vya wachezaji wengi msimu huu.
Tulijua huyu jamaan ni tapeli tu Hana anachokijua kwenye Moira,Ila Babra alimleta kwa mbwembwe sana.
 
kwanini mmoja lazima aondoke ?,kwani timu haina uongozi wakakaa nao kusettle hayo mambo
 
Hivi ni kwanini makocha bongo huwa hawakai muda mrefu wanafurushwa!??

Huko england hakunaga misuguano kati ya kocha na wachezaji??
Mbona wao walau makocha hukaa kwa muda wengine kwa kipindi kirefu zaidi hasa kwa hizi timu kubwa.
Mpaka kocha anatimuliwa unakuta kweli timu imedhoofu.

Ila kibongo bongo akipigwa tu mechi kadhaa mfululizo huyo ajiandae kupaki mabegi, kama ni mtani akifungwa na mtani tu huyo ana hatihati ya kutimuliwa.

Huyu Aussems wa simba aliefikisha mbali simba kimazabe tu akatimka na kuna huyu Sven wa juzi kati nae akatimka japo alikua vizuri.
Sasa imebainika haijalishi ufanye vizur au vibaya hapa bongo hasa kwa timu kubwa hizi makocha hawakai kabisa, shida ni nini wakuu??
 
Chama mpira ulisha Isha. Match zote siku hizi anapuyanga tu. Jiandaeni na Azam, kagera, Geita, mtibwa, mbeya city wako mbele yenu
Ninyi Mbeya City wapo kisogoni kwenu wanawasubiri Sokoine
 
Kwanini Jamiiforums wana Kitufe cha Change ID na tena wanaruhusu Kubadili ID Mara tano?

Endeleeni tu kuwa Wapumbavu kwa Kunihisi Mimi ni huyo Mume wenu mumpendae GENTAMYCINE.

Mimi ni MINOCYCLINE Tunu Kuu ya JF.
Ahahaha brazaa wew
 
Siitwi GENTAMYCINE kama ambavyo Mpunbavu Wewe na Wenzako wengi hapa mnadhani ila naitwa MINOCYCLINE Tunu Kuu ya JamiiForums.

Inaonyesha huyo GENTAMYCINE Wenu akiwa BANNED hapa JamiiForums Wengi wenu ( ukiwemo Juha na Zuzu Mwandamizi Wewe ) huwa Unatajirika, unapanda Cheo Kazini, Miamala yako inasoma, unajazwa Mimba vizuri na Utahaira wako Unapungua au?
I'll bila kupepeza macho Ni wew genta kbsa
 
MINOCYCLINE ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] umesahau TETESAKRINI mkuu, unatibu mapunje, harara na vipele.
 
Chama mpira ulisha Isha. Match zote siku hizi anapuyanga tu. Jiandaeni na Azam, kagera, Geita, mtibwa, mbeya city wako mbele yenu
Ni kwewli kabisa. Akiwepo na asipokuwepo hakuna tofauti!! Mbona kwenye kombe la shirikisho hakuwepo na hatukuhisi pengo kivile? Kwenye klabu yoyote Kocha ndiye MFALME!! Mwulize David Beckham yaliyomkuta pale Man U alipojifanya naye kuwa mfalme mbele ya Sir Alex Furgurson!!
 
Back
Top Bottom