ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo
Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya
Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu
Na waamzinwakafanya Yao
Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya
Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu
Na waamzinwakafanya Yao
Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma