Vita ya familia imekwisha Simba vs Tabora

Vita ya familia imekwisha Simba vs Tabora

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo

Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya

Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu

Na waamzinwakafanya Yao

Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
 
Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo

Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya

Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu

Na waamzinwakafanya Yao

Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
Haya matokeo ya mechi ya leo yalijulikana hata kabla ya mechi yenyewe kuchezwa. Na kama kuna mtu atabisha, basi huyo ni mbumbumbu wa mwisho kabisa.
 
Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo

Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya

Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu

Na waamzinwakafanya Yao

Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
Kama ile ya Yanga na Dodoma jiji
 
Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo

Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya

Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu

Na waamzinwakafanya Yao

Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
IMG_5200.jpeg
 
Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo

Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya

Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu

Na waamzinwakafanya Yao

Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
Rage alicheza?
 
Maumivu yakizidi, muone daktari, kama hauna daktari,nione mimii
Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo

Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya

Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu

Na waamzinwakafanya Yao

Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
 
Kufa huku moyo unakuuma simba kushinda.

Sisi wenyewe tunakunywa huku Arusha Picnic
 
Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo

Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya

Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu

Na waamzinwakafanya Yao

Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
Kila mmoja atalia kwa wakati wake.
Simba inakutana na upinzani wa kweli ndio maana inafanya vema zaidi kimataifa
 
Haya matokeo ya mechi ya leo yalijulikana hata kabla ya mechi yenyewe kuchezwa. Na kama kuna mtu atabisha, basi huyo ni mbumbumbu wa mwisho kabisa.
Kwahiyo hata zile tatu pale chamazi mlizijua?
 
Hiyo ni mechi gani inacheza Arsenal vs Arsenal vs Man City? Halafu utasingizia ni hizo safari wakati umechanganyikiwa tu chura wa watu
Man City kapigwa 5_ 1
Kama alizopigwa kolo
Na wewe kama unataka njoo nikupige bao 5
 
Back
Top Bottom