Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jombaa Anthony yupo hapo bar?Kufa huku moyo unakuuma simba kushinda.
Sisi wenyewe tunakunywa huku Arusha Picnic
Kula bia mwanangu upunguze stress za CAFTulia mrembo acha usumbufu
Weekend tunakula bia
Wewe upo kwenye ubishi wa mpira tu
Wewe achana na hao matokeo yalikuwa yanajulikana tokea lini tabora ikapata matokeo kwa Simba? Mechi zote walizokutana kawapa point Tena kwa kucheza chini ya kiwango uku akifungwa magoli ya kutosha,,but akicheza na Azam ama yanga anakuwa tabora original,,Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo
Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya
Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu
Na waamzinwakafanya Yao
Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
Una homa wewe.Kama si homa ni kifaduro.Unateseka sana.Wote tumeshuhudia mechi ya ovyo ya upangaji matokeo
Watanzania wote tungeshangaa kama matokeo yangekuwa tofauti na haya
Yaani Rage mlezi wa Tabora United ambaye ndo alikuwa Mwenyekiti pale Simba na alipata kuwaita mashabiki wa Simba mbumbumbu
Na waamzinwakafanya Yao
Wacha Sasa nitazame game ya Arsenal vs Arsenal vs man city huku nikipiga safari lager za kutosha hapa Mwanza Makumbusho bar Igoma
Sawa zuzu...Haya matokeo ya mechi ya leo yalijulikana hata kabla ya mechi yenyewe kuchezwa. Na kama kuna mtu atabisha, basi huyo ni mbumbumbu wa mwisho kabisa.