Vita ya familia imekwisha Simba vs Tabora

Kwa hiyo Man City kapigwa na Arsenal ipi maana ulisema anacheza na Arsenal mbili?
Tulia mrembo acha usumbufu
Weekend tunakula bia
Wewe upo kwenye ubishi wa mpira tu
 
Wewe achana na hao matokeo yalikuwa yanajulikana tokea lini tabora ikapata matokeo kwa Simba? Mechi zote walizokutana kawapa point Tena kwa kucheza chini ya kiwango uku akifungwa magoli ya kutosha,,but akicheza na Azam ama yanga anakuwa tabora original,,
Ndio maana nikasema yanga wasicheke na kima ata wakiwa wanafunga magoli ya mkono refa aite kati na tunawaunga mkono ni mwendo wa dawa ya moto ni moto
 
Una homa wewe.Kama si homa ni kifaduro.Unateseka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…