Vita ya Haji Manara dhidi ya wachambuzi wa mchongo

Vita ya Haji Manara dhidi ya wachambuzi wa mchongo

Ajira Ajira Ajira
Vigezo vya kuwa mchambuzi wa Soka Tanzania.
Unatakiwa ujue misamiati hii
1. Box to Box
2. Kukabia High-line
3. Half-Space
4. Zonal Marking
5. Wing-back
6. False number 9
7. Final Third,
8,Double pivot
9,Semi Volley
10,Half Metrobolisim Defender
11,Flanks
12, 4,4,2 Diamond au 5.3.2 Tanzanite.

Kisha Changanya Changanya kinge Cha Form four ya Zero yako na Kiswahili, Kama una Maneno hata ya
Biology au ya kilatini, wewe yataje tu.

Pata muda pia wa kumjua Winga mmoja wa Al Ahly au Barcelona iite Barthelona, ukitaka kuwawin zaidi,Taja walau Majina mawili ya Girl friends za Kina Benzema na Neymar.

Ukifuzu hapo, Inatakiwa ujue kimchongo mikataba ya wachezaji wa kibongo, Na uwe kama Mtetezi hivi wa
kuzuga zuga,Tajataja maneno ya kisheria kidogo,hata kama hujui maana yake, we taja tu.

Hatua ya mwisho uchague, Kuwa unaichambua timu ipi sana kwa mahaba, Simba au Yanga, kisha Ponda sana team iliyo bora kwa wakati huo.

Ukimaliza hayo yote, Instagram na Twitter uwe active sana, Na mtafute Mtu mmoja Maarufu sana Tanzania, Mponde kila kitu chake tena kila siku mara tatu na kuendelea.

Rasmi hapo utakua umefuzu kuwa chambuzi professional, na Radio zitakuchukua.

Huhitaji Cheti wala kubeti, Zingatia hivyo vigezo tu, Soon na Wewe utaitwa Chambuzis.

Mwisho kabisa vaa Moka mbaya mbaya na mikanda ya Suruali iwe kama ya Mabwana korosho au
Makonda wa Mabasi ya kwenda Nyihurumbwa.
Umesahau mikimbio
 
Bin Kazumari ifikie wakati akubali tu kushindwa. Kamwe hawezi kushindana na huyu jamaa.
Maana hayo madongo yote kwa hao wachambuzi wa mchongo, chanzo ni yeye.
 
Bin Kazumari ifikie wakati akubali tu kushindwa. Kamwe hawezi kushindana na huyu jamaa.
Maana hayo madongo yote kwa hao wachambuzi wa mchongo, chanzo ni yeye.
Bin Kazumari ana msimamo katika hoja zake, na nadhani pia ana vyanzo vyake hasa TFF. Hawa wana bifu lao binafsi ila sema na timu ya Haji inaingilia. Kazumari alianza na Haji tangu akiwa Simba, na akamfuata akiwa Yanga
 
Ukiisema vibaya Yanga kwa ubaya hata kama ni mbaya lazima uwe adui wa Manara, Anapenda sifa za ajabu
 
Bin Kazumari ifikie wakati akubali tu kushindwa. Kamwe hawezi kushindana na huyu jamaa.
Maana hayo madongo yote kwa hao wachambuzi wa mchongo, chanzo ni yeye.
Sasa hayo madongo yanafanya asipeleke mkate nyumbani kwa familia yake? Au ni maneno matupu tu ya mtu anaeishi mjini pia kwa kutumia domo lake kupayuka.
 
Sisi wenzenu wakati huo tunasikiliza mipira na wachambuzi redioni, tulizoea kusikia maneno ya kiswahili kama...

Kumimina majimaji au kumimina majalo
Kupiga kombora
Kulala yombo
Kupelekwa markiti
Kupigwa/piga darizi au kuvalishwa kanzu
Kupigwa telo
Kugawa vyumba
Kujitwisha mpira
Kibuyu kinalia
 
Bin Kazumari ana msimamo katika hoja zake, na nadhani pia ana vyanzo vyake hasa TFF. Hawa wana bifu lao binafsi ila sema na timu ya Haji inaingilia. Kazumari alianza na Haji tangu akiwa Simba, na akamfuata akiwa Yanga
Binti kuzumari ni aina ya masamjo samjo tu kwenye football yetu nchini.

Anaikandia na kuiponda Yanga kwa kivuli cha kua eti yeye ni sauti ya wanyonge.

Kosa atalofanya Yanga wakifanya upande wa pili basi kutakua na nguvu mbili tofauti ya ku deal nalo.

Anajua kua Yanga ndio 'content' kwenye football ya nchi hii, Hivyo anatumia hiyo kama fursa ya yeye kujipatia 'kiki'.

Amekua akiikosoa sana Management ya Yanga hata kwenye vitu ambayo havina mantiki.

Uzuri wa Eng Hersi ni mtu smart sana,Tangu huyu binti aanze harakati zake za kutafuta ugali kupitia kwa kuisema Yanga jamaa hajawahi hata kumjibu au kuongea chochote zaidi ya kuandaa mikakati ya kuchukua makombe.
 
Sisi wenzenu wakati huo tunasikiliza mipira na wachambuzi redioni, tulizoea kusikia maneno ya kiswahili kama...

Kumimina majimaji au kumimina majalo
KUpiga kombora
Kulala yombo
Kupelekwa markiti
Kupigwa/piga darizi
Kupigwa telo
Kugawa vyumba
Halafu mchezaji akipigwa push utasikia mtangazaji akisema "Imetumika chakula hapo" akimaanisha nguvu ya kumpush mchezaji mwingine.
 
Binti kuzumari ni aina ya masamjo samjo tu kwenye football yetu nchini.

Anaikandia na kuiponda Yanga kwa kivuli cha kua eti yeye ni sauti ya wanyonge.

Kosa atalofanya Yanga wakifanya upande wa pili basi kutakua na nguvu mbili tofauti ya ku deal nalo.

Anajua kua Yanga ndio 'content' kwenye football ya nchi hii, Hivyo anatumia hiyo kama fursa ya yeye kujipatia 'kiki'.

Amekua akiikosoa sana Management ya Yanga hata kwenye vitu ambayo havina mantiki.

Uzuri wa Eng Hersi ni mtu smart sana,Tangu huyu binti aanze harakati zake za kutafuta ugali kupitia kwa kuisema Yanga jamaa hajawahi hata kumjibu au kuongea chochote zaidi ya kuandaa mikakati ya kuchukua makombe.
Anaikandia na kuiponda au anasema ukweli ambao hatutaki kuusikia


By the way yanga mwenzenu huyo
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Ajira Ajira Ajira
Vigezo vya kuwa mchambuzi wa Soka Tanzania.
Unatakiwa ujue misamiati hii
1. Box to Box
2. Kukabia High-line
3. Half-Space
4. Zonal Marking
5. Wing-back
6. False number 9
7. Final Third,
8,Double pivot
9,Semi Volley
10,Half Metrobolisim Defender
11,Flanks
12, 4,4,2 Diamond au 5.3.2 Tanzanite.

Kisha Changanya Changanya kinge Cha Form four ya Zero yako na Kiswahili, Kama una Maneno hata ya
Biology au ya kilatini, wewe yataje tu.

Pata muda pia wa kumjua Winga mmoja wa Al Ahly au Barcelona iite Barthelona, ukitaka kuwawin zaidi,Taja walau Majina mawili ya Girl friends za Kina Benzema na Neymar.

Ukifuzu hapo, Inatakiwa ujue kimchongo mikataba ya wachezaji wa kibongo, Na uwe kama Mtetezi hivi wa
kuzuga zuga,Tajataja maneno ya kisheria kidogo,hata kama hujui maana yake, we taja tu.

Hatua ya mwisho uchague, Kuwa unaichambua timu ipi sana kwa mahaba, Simba au Yanga, kisha Ponda sana team iliyo bora kwa wakati huo.

Ukimaliza hayo yote, Instagram na Twitter uwe active sana, Na mtafute Mtu mmoja Maarufu sana Tanzania, Mponde kila kitu chake tena kila siku mara tatu na kuendelea.

Rasmi hapo utakua umefuzu kuwa chambuzi professional, na Radio zitakuchukua.

Huhitaji Cheti wala kubeti, Zingatia hivyo vigezo tu, Soon na Wewe utaitwa Chambuzis.

Mwisho kabisa vaa Moka mbaya mbaya na mikanda ya Suruali iwe kama ya Mabwana korosho au
Makonda wa Mabasi ya kwenda Nyihurumbwa.
Low block pia.
 
Swedi Mwinyi - Mtambaa Panya
Sisi wenzenu wakati huo tunasikiliza mipira na wachambuzi redioni, tulizoea kusikia maneno ya kiswahili kama...

Kumimina majimaji au kumimina majalo
KUpiga kombora
Kulala yombo
Kupelekwa markiti
Kupigwa/piga darizi
Kupigwa telo
Kugawa vyumba
 
Ajira Ajira Ajira
Vigezo vya kuwa mchambuzi wa Soka Tanzania. Unatakiwa ujue misamiati hii

1. Box to Box
2. Kukabia High-line
3. Half-Space
4. Zonal Marking
5. Wing-back
6. False number 9
7. Final Third,
8,Double pivot
9,Semi Volley
10,Half Metrobolisim Defender
11,Flanks
12, 4,4,2 Diamond au 5.3.2 Tanzanite.

Kisha Changanya Changanya kinge Cha Form four ya Zero yako na Kiswahili, Kama una Maneno hata ya
Biology au ya kilatini, wewe yataje tu.

Pata muda pia wa kumjua Winga mmoja wa Al Ahly au Barcelona iite Barthelona, ukitaka kuwawin zaidi,Taja walau Majina mawili ya Girl friends za Kina Benzema na Neymar.

Ukifuzu hapo, Inatakiwa ujue kimchongo mikataba ya wachezaji wa kibongo, Na uwe kama Mtetezi hivi wa
kuzuga zuga,Tajataja maneno ya kisheria kidogo,hata kama hujui maana yake, we taja tu.

Hatua ya mwisho uchague, Kuwa unaichambua timu ipi sana kwa mahaba, Simba au Yanga, kisha Ponda sana team iliyo bora kwa wakati huo.

Ukimaliza hayo yote, Instagram na Twitter uwe active sana, Na mtafute Mtu mmoja Maarufu sana Tanzania, Mponde kila kitu chake tena kila siku mara tatu na kuendelea.

Rasmi hapo utakua umefuzu kuwa chambuzi professional, na Radio zitakuchukua.

Huhitaji Cheti wala kubeti, Zingatia hivyo vigezo tu, Soon na Wewe utaitwa Chambuzis.

Mwisho kabisa vaa Moka mbaya mbaya na mikanda ya Suruali iwe kama ya Mabwana korosho au
Makonda wa Mabasi ya kwenda Nyihurumbwa.
Ahahahahaha!
 
Back
Top Bottom