Vita ya Haji Manara dhidi ya wachambuzi wa mchongo

Vita ya Haji Manara dhidi ya wachambuzi wa mchongo

Binti kuzumari ni aina ya masamjo samjo tu kwenye football yetu nchini.

Anaikandia na kuiponda Yanga kwa kivuli cha kua eti yeye ni sauti ya wanyonge.

Kosa atalofanya Yanga wakifanya upande wa pili basi kutakua na nguvu mbili tofauti ya ku deal nalo.

Anajua kua Yanga ndio 'content' kwenye football ya nchi hii, Hivyo anatumia hiyo kama fursa ya yeye kujipatia 'kiki'.

Amekua akiikosoa sana Management ya Yanga hata kwenye vitu ambayo havina mantiki.

Uzuri wa Eng Hersi ni mtu smart sana,Tangu huyu binti aanze harakati zake za kutafuta ugali kupitia kwa kuisema Yanga jamaa hajawahi hata kumjibu au kuongea chochote zaidi ya kuandaa mikakati ya kuchukua makombe.
Yule jamaa anaongea kweli seme nyinyi mashabiki mnataka msikie kila siku taarifa nzuri hata kama timu yako imefanya kosa unataka asifie ndio maana timu zetu miaka yote ziko pale pale hakuna timu ambayo imewahi kuchukua kombe kimataifa
 
Sisi wenzenu wakati huo tunasikiliza mipira na wachambuzi redioni, tulizoea kusikia maneno ya kiswahili kama...

Kumimina majimaji au kumimina majalo
KUpiga kombora
Kulala yombo
Kupelekwa markiti
Kupigwa/piga darizi
Kupigwa telo
Kugawa vyumba
"banana chopu".
 
Miaka ya RTD tulikuwa na watangazi mpira ambao kwa leo hii tunaweza kuwaweka kwenye kundi la wachambuzi japokuwa hawakuwa wakichambua sana zaidi ya kutangaza mpira na kuelezea nini kimefanyika au nini kilitakiwa kifanyike "in real time".

Leo hii tuna "the so called wachambuzi" ambao utawakuta mitaa fulani wakiangalia "post-match analysis" ya BBC Sport, Sky Sport, na "clubs' TV" na kuandika vitu vya kwenda kutudanganya wasikilizaji/watazamaji wa vipindi vya "spoti" .

Nawakumbuka wakina Ahmed/Omar Jongo, Charles Hillary, Halima Mchuka na wengineo.

Namkumbuka Ben Kiko niliwahi mtania kule kwake Miyuji kuwa hawezi tangaza mpira, akanitangazia mpira kwa dakika 5, ilikuwa balaa.
 
Sisi wenzenu wakati huo tunasikiliza mipira na wachambuzi redioni, tulizoea kusikia maneno ya kiswahili kama...

Kumimina majimaji au kumimina majalo
Kupiga kombora
Kulala yombo
Kupelekwa markiti
Kupigwa/piga darizi au kuvalishwa kanzu
Kupigwa telo
Kugawa vyumba
Kujitwisha mpira
Kibuyu kinalia
umesahau kutandika reli
 
umesahau kutandika reli

Naam, ipo misemo mingine mingi nimeiacha wadau muongezee...

Kuinua daluga
Mkwaju wa penati
Mpira unapelekwa mahali kuku anatagia
Anapiga pasi mkaa
Anaanua mpira
Anaunawa mpira
 
Anaandia haji manara [emoji3578]

Ajira Ajira Ajira
Vigezo vya kuwa mchambuzi wa Soka Tanzania. Unatakiwa ujue misamiati hii

1. Box to Box
2. Kukabia High-line
3. Half-Space
4. Zonal Marking
5. Wing-back
6. False number 9
7. Final Third,
8,Double pivot
9,Semi Volley
10,Half Metrobolisim Defender
11,Flanks
12, 4,4,2 Diamond au 5.3.2 Tanzanite.

Kisha Changanya Changanya kinge Cha Form four ya Zero yako na Kiswahili, Kama una Maneno hata ya
Biology au ya kilatini, wewe yataje tu.

Pata muda pia wa kumjua Winga mmoja wa Al Ahly au Barcelona iite Barthelona, ukitaka kuwawin zaidi,Taja walau Majina mawili ya Girl friends za Kina Benzema na Neymar.

Ukifuzu hapo, Inatakiwa ujue kimchongo mikataba ya wachezaji wa kibongo, Na uwe kama Mtetezi hivi wa
kuzuga zuga,Tajataja maneno ya kisheria kidogo,hata kama hujui maana yake, we taja tu.

Hatua ya mwisho uchague, Kuwa unaichambua timu ipi sana kwa mahaba, Simba au Yanga, kisha Ponda sana team iliyo bora kwa wakati huo.

Ukimaliza hayo yote, Instagram na Twitter uwe active sana, Na mtafute Mtu mmoja Maarufu sana Tanzania, Mponde kila kitu chake tena kila siku mara tatu na kuendelea.

Rasmi hapo utakua umefuzu kuwa chambuzi professional, na Radio zitakuchukua.

Huhitaji Cheti wala kubeti, Zingatia hivyo vigezo tu, Soon na Wewe utaitwa Chambuzis.

Mwisho kabisa vaa Moka mbaya mbaya na mikanda ya Suruali iwe kama ya Mabwana korosho au
Makonda wa Mabasi ya kwenda Nyihurumbwa.
Watanzania... Aliye waloga ni nani?
Kutwa mampira tu... Kujadili mampira tu.... Tunapo elekea tuta zalisha kizazi cha mampira tu kisicho weza kufanya ufumbuzi wa vitu vyenye tija KWa taifa kijamii na kiuchumi.....

Eti,,, ni nani aliye waloga?
 
Anaandia haji manara [emoji3578]

Ajira Ajira Ajira
Vigezo vya kuwa mchambuzi wa Soka Tanzania. Unatakiwa ujue misamiati hii

1. Box to Box
2. Kukabia High-line
3. Half-Space
4. Zonal Marking
5. Wing-back
6. False number 9
7. Final Third,
8,Double pivot
9,Semi Volley
10,Half Metrobolisim Defender
11,Flanks
12, 4,4,2 Diamond au 5.3.2 Tanzanite.

Kisha Changanya Changanya kinge Cha Form four ya Zero yako na Kiswahili, Kama una Maneno hata ya
Biology au ya kilatini, wewe yataje tu.

Pata muda pia wa kumjua Winga mmoja wa Al Ahly au Barcelona iite Barthelona, ukitaka kuwawin zaidi,Taja walau Majina mawili ya Girl friends za Kina Benzema na Neymar.

Ukifuzu hapo, Inatakiwa ujue kimchongo mikataba ya wachezaji wa kibongo, Na uwe kama Mtetezi hivi wa
kuzuga zuga,Tajataja maneno ya kisheria kidogo,hata kama hujui maana yake, we taja tu.

Hatua ya mwisho uchague, Kuwa unaichambua timu ipi sana kwa mahaba, Simba au Yanga, kisha Ponda sana team iliyo bora kwa wakati huo.

Ukimaliza hayo yote, Instagram na Twitter uwe active sana, Na mtafute Mtu mmoja Maarufu sana Tanzania, Mponde kila kitu chake tena kila siku mara tatu na kuendelea.

Rasmi hapo utakua umefuzu kuwa chambuzi professional, na Radio zitakuchukua.

Huhitaji Cheti wala kubeti, Zingatia hivyo vigezo tu, Soon na Wewe utaitwa Chambuzis.

Mwisho kabisa vaa Moka mbaya mbaya na mikanda ya Suruali iwe kama ya Mabwana korosho au
Makonda wa Mabasi ya kwenda Nyihurumbwa.
Mchambuzi alikua mzee Kashasha .
 
YULE ASINGEKUWA NA KILEMA KILE ANGETUSUMBUA SANA, ASANTE MUNGU KWA KUMKANDIKA KOVU LA WAZI WAZI.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kuna hili la "Kukabia juu"[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom