Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Hiyo ardhi uislam kaitoa wapi? Muislam kawakuta Wayahudi pale halafu leo aanze kufai ardhi ni yake? Hivyo si ni vituko?
Pale Mecca , Madina na Saudia yote ni ardhi ya Waislam? Si waliteka na kuua waliowajuta na kulazimisha wengine, je zile dini za awali zikiibuka leo kudai ardhi yao mtaanza tena kudai ni ardhi ya Waislam?
Hujakosea kabisa, Mayahudi wapo tu, wapo nchi nyingi za Kiarabu mpaka leo hii.

Lakini kumbuka. siyo, Wapalestina wa dini yoyote ile, waliowakuta mazayuni hapo.

Elewa kutofautisha mazayuni na wayahudi.

Upo hapo ulipo?
 
Hujakosea kabisa, Mayahudi wapo tu, wapo nchi nyingi za Kiarabu mpaka leo hii.

Lakini kumbuka. siyo, Wapalestina wa dini yoyote ile, waliowakuta mazayuni hapo.

Elewa kutofautisha mazayuni na wayahudi.

Upo hapo ulipo?
Labda kama haufahamu, Zionists wanatokana na Judaism/Jews . uzayuni ni itikadi za Wayahudi wenye msimamo mkali ambao wanahitaji taifa lao lifuate misingi na alama za Kiyahudi na wanataka hata jina la Israel libadilishwe na nchi yao itambulike kama Jewish State
 
Labda kama haufahamu, Zionists wanatokana na Judaism/Jews . uzayuni ni itikadi za Wayahudi wenye msimamo mkali ambao wanahitaji taifa lao lifuate misingi na alama za Kiyahudi na wanataka hata jina la Israel libadilishwe na nchi yao itambulike kama Jewish State
Unachanganya sana mambo, uzayuni ni wazo la kikundi fulani, halihusiani na dini wala utaifa wa mtu. Unaweza kuwa "Muislam" ukawa zayuni. Unaweza kuwa "mkristo" ukawa zayuni, kama ulivyo wewe, unaweza ukawa myahudi ukawa zayuni. Mazayuni na mashetani hawana tofauti.
 
Unachanganya sana mambo, uzayuni ni wazo la kikundi fulani, halihusiani na dini wala utaifa wa mtu. Unaweza kuwa "Muislam" ukawa zayuni. Unaweza kuwa "mkristo" ukawa zayuni, kama ulivyo wewe, unaweza ukawa myahudi ukawa zayuni. Mazayuni na mashetani hawana tofauti.
Anayechanganya nani sasa kati ya mimi na wewe? Katika comment yako ulijaribu kuwaelezea Zionist kama watu wa asili fulani, mimi nikakwambia ni itikadi na wewe unakuja kusema kuwa ni itikadi/wazo halafu unasema mimi ninachanganya mambo.
Hauwezi ukatenganisha Zionism na Judaism/Jewish. Kwingine kote wakitumia neno Zionism ujue wanakopa tu hilo sababu misingi ya wanachokifanya inafanana na zionism hivyo hawaoni sababu ya kuja na neno jipya hivyo wanalikopa na kulitumia
 
Harakati za kuutangaza Uislami kwa nguvu haujawahi kushinda tangu mtume akiwa hai.

Hamas ni kundi la kigaidi ambalo limesababisha waparestina karibia 40,000 kufa kibudu sababu ya kuwajaza ujinga vichwani mwao kwamba ile ardhi ni yao na si ya wa- islael.

Nabii Mussa hakupewa ile ardhi na Mungu - kwamba wao ndiyo waliishi hapo tangu kuumbwa kwa Dunia.
 
Harakati za kuutangaza Uislami kwa nguvu haujawahi kushinda tangu mtume akiwa hai.

Hamas ni kundi la kigaidi ambalo limesababisha waparestina karibia 40,000 kufa kibudu sababu ya kuwajaza ujinga vichwani mwao kwamba ile ardhi ni yao na si ya wa- islael.

Nabii Mussa hakupewa ile ardhi na Mungu - kwamba wao ndiyo waliishi hapo tangu kuumbwa kwa Dunia.
Sikushangai kuwaita Hamas magaidi, hilo ndilo takwa za mashetani wenzako. Wamekujaza ujinga na umekujaa. Magaidi wa kweli huwaoni?

Uislam hautangazwi, unajitangaza wenyewe kwa vitendo vya Waislam wenye kuufata Uislam.

Uislam unalinganiwa tu.

Unafahau maana ya kulingania Uislam?
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
Baadhi ya maneno yako ni kweli.
Hamasi ni kikundi cha kisiasa. Na si cha kueneza uislamu. Hii ndio hupelekea wanakosa inaaya ya Allaah pamoja na kulitumia jina lake.
Asli vita vya mayahudi ni vita vya kidini. Ndio sababu ikitokea tu makufari husimama nao. Kuitoa kwenye mkondo huo. Na kuwepo mchanganyiko huo ulioutaja. Pia hata wengi wao kutosima imara kwenye imani zao, ni sababu kuu ya kukosa msaada kama ule wa vita vya Badri,Ahzaab na hata mfano wa "twairan abaabiil"
 
Baadhi ya maneno yako ni kweli.
Hamasi ni kikundi cha kisiasa. Na si cha kueneza uislamu. Hii ndio hupelekea wanakosa inaaya ya Allaah pamoja na kulitumia jina lake.
Asli vita vya mayahudi ni vita vya kidini. Ndio sababu ikitokea tu makufari husimama nao. Kuitoa kwenye mkondo huo. Na kuwepo mchanganyiko huo ulioutaja. Pia hata wengi wao kutosima imara kwenye imani zao, ni sababu kuu ya kukosa msaada kama ule wa vita vya Badri,Ahzaab na hata mfano wa "twairan abaabiil"
Baadhi ya maneno yako ni kweli.
Hamasi ni kikundi cha kisiasa. Na si cha kueneza uislamu. Hii ndio hupelekea wanakosa inaaya ya Allaah pamoja na kulitumia jina lake.
Asli vita vya mayahudi ni vita vya kidini. Ndio sababu ikitokea tu makufari husimama nao. Kuitoa kwenye mkondo huo. Na kuwepo mchanganyiko huo ulioutaja. Pia hata wengi wao kutosima imara kwenye imani zao, ni sababu kuu ya kukosa msaada kama ule wa vita vya Badri,Ahzaab na hata mfano wa "twairan abaabiil"
Hamas ni kundi la kisiasa pekee ambalo, kama ni Muislam huwezi kuwemo kama hujahifadhi au hutaki kuhifadhi Qur'an.

Wangekuwa wameuwacha Uislam katika mapambano yao wasingekuwepo leo hii. Wanashambuliwa na tawala za kishetani za dunia nzima.
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
Kuna ardhi Mwenyezi Mungu aliumba akaandika hii ni ya waislamu? je wakristo ipo wapi na ya wayahudi ipo wapi?
 
Kuna ardhi Mwenyezi Mungu aliumba akaandika hii ni ya waislamu? je wakristo ipo wapi na ya wayahudi ipo wapi?
Hakunabardhibyeyote ambayo Mwenyezi Mungu hajakupa muongozo wa kuishi. Ni juu yako kuwa katuja waliofuzu, kuishi Kiislam, au kuwa katika waliopotea na kuishi kishetani.
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
Wewe bibi usituchanganye, hakuna kubadili upepo hapa.

Toka mwanzo umetuaminisha mazayuni ni makafir wanaowaonea waislam wa Palestine. Umekuwa ukituaminisha pia Hamas wamekuja kama mkombozi wa waislamu na inshallah watashinda vita. Na umekuwa ukitoa wito mataifa yote ya kiislam kuungana kumpiga mzayuni.

Leo imekuwaje bi mkubwa kutuambia hata kule Hamas Kuna mazayuni na makafir pia?

View: https://x.com/mom_syrian_girl/status/1821819891541827819
 
Hakunabardhibyeyote ambayo Mwenyezi Mungu hajakupa muongozo wa kuishi. Ni juu yako kuwa katuja waliofuzu, kuishi Kiislam, au kuwa katika waliopotea na kuishi kishetani.
Dada yangu mpenda haki, haya yanayotokea Bangladesh kwenye jamii ya kihindu wewe hayakuhusu?
 
Hilo halina shaka wala kupinga. mazayuni hata ulaya waliondolewa na wazungu wenzao kwa mabaya.

Wewe unaamini Mwenyezi Mungu au unamfata shetani?
Sasa Hamas walikuwa hawajui ubaya wao Hadi wawachokoze??
Waallah hamas Itafutwa humu duniani😭😭😭😭
MWENYE mavowea ya kunyonga kuchinja hawezi!
 
Ardhi ya muislam? Yupi sasa Mzayuni au Mpalestina?
Huko kote si kuna waislam, na wote wanaitaka hiyo ardhi ni Jihad kwa upande wa nani?

Na kwanini upande huo pekee, ina maana waislam wa upande mwingine wamekengeuka na ardhi sio yao??
Yeyote anaejisalimisha na kumnyeyekea Allah, ni Muislam.

Kumbuka hilo.
 
Si kila asiye Muislam ni kafir daima. Mwenyezi Mungu "huutowa umauti kwenye uhai na huutowa uhai kwenye umauti".

Kafiri ni kama wewe usiyejijuwa uko wapi.
Ndio shida ya kukopy neno kutoka kwa wayahudi.. Neno kafir(kufar) tafsiri yake ni upingaji au mpingaji.. mudy alikopa hilo neno, alipoenda kuwashawishi Jews and Christian wamuache Yahweh kisha wamfuate Allah pagani jiwe la kaaba, wakamtoa nduki na kumuita kafir. Sasa na yeyè sababu wamempinga akawaita nao makafir.. so waislam mbele ya wayahudi na wakristo ni makafiri same na upande mwingine. Ila ukitizama waislam ndio makafiri sababu Allah sio Mungu wa Ibrahim wala wayahudi... Allah waislam wenyewe hawamjui
 
Watu wajinga wengi washaingiza Udini humu kwenye hizi mada za mazayuni dhidi ya harakati za ukombozi wa palestina , mazayuni wanachofanya sasa hivi ni genocide hata mjinga na kipofu anajua , wapalestina wakristo wapo na ni wengi .
Ni sawa na majitu yaliyokariri kwamba middle east yote ni nchi za waislamu tu , wakati nchi kama Lebanon kuna jamii kubwa sana za wakristo ,syria pia
Hata Egypt kuna dhehebu kongwe la kikristo wanaitwa Coptic Christians , hili dhehebu lipo hapo Egypt miaka mingi kabla hata savages wa Europe hawajastaarabika wala kuujua ukristo.
Mazayuni ni settlers (wavamizi ) na waporaji wa ardhi ya Palestina .


Ni ushenzi sana kuendelea kushadadia huu upuuzi wa mazayuni na kinachofanywa na hawa washenzi ni kuamsha hasira za mataifa mengine kitu kinachoweza leta vita kubwa sana na ya maangamizi ,na kila mmoja ataumia .
 
Back
Top Bottom