Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Vita ya Hamas na Wazayuni ni zaidi ya tunayoiona na kuisikia

Unamaabisha nini? Au mada imekuwa nzito kwako kuielewa?

Mimi naamini wewe huelewi tofauti ya nchi mpya inayoitwa israel na kizazi cha Israel (Yakoub). Wala huelewi wayahudi ni nani na mazayuni ni nani.
 
Mbona bongo, hakuna vita tumekaa kinyonge sana

hiyo dunia ya 4 na 5 ndio ipi?

au ndiyo anayoishi mungu na shetani huko?
Dunia ya nne ni dunia ya viumbe vinayoitwa Ramadi. Ambavyo ni wachache sana waliokwisha tembelea dunia yetu na ni kwa shughuli maalum tu. Sana wakija ni mmoja au wawili tu, mara nyingi wanishia kwenye milango ya kuingilia duniani. Kwani hata kuwaona bila kujilinda kunaweza kuwaletea binadam madhara makubwa sana. Huishia kwenye milango na hutumia mawakala wao tu wa dunia ya tatu kuingia duniani.


Nakushauri kwanza uyajuwe ya dunia ya kwanza, ya pili na ya tatu kabla hujaanza hizo zingine.
 
Unavimajina vyako vya karaha sijui makafiri ,saivi mazayuni hivi nyie nani mnajiona hivyoo na wala hamueleweki mnaelekea kushoto au kulia watoto waliohasiwa na Mungu mkaondolewa nyumbani kwa abrahamu . Eti ibrahimu jitoeni ufahamu tu . Eti mnatambulika
 
Unavimajina vyako vya karaha sijui makafiri ,saivi mazayuni hivi nyie nani mnajiona hivyoo na wala hamueleweki mnaelekea kushoto au kulia watoto waliohasiwa na Mungu mkaondolewa nyumbani kwa abrahamu . Eti ibrahimu jitoeni ufahamu tu . Eti mnatambulika
Makafiri mbona nembo hiyo ipo hata kwenye biblia?

Mazayuni wanajulikana, inakukera nini wewe? kwani mmoja wao? Wewe ni katika makafiri au mazayuni?
 
Makafiri mbona nembo hiyo ipo hata kwenye biblia?

Mazayuni wanajulikana, inakukera nini wewe? kwani mmoja wao? Wewe ni katika makafiri au mazayuni?
Nyie mnawaita wakristo makafiri halafu biblia gani leta huo mstari ulioandikwa makafiri ni wakristo mnaboa kama nyie niwatakatifu nyie sio watakatifu bhana tena nyie mnapenda kufir-'xxccccvna ndio maana mnaoa sana ukiangalia ndio shida kubwa ndio hiyo naushahidi bhana wanaume waislam niliwaacha kisa wanadai mwanamke akiwa kwenye hedhi wameshauriwa kwenda kwenye tundu lapili kushusha haja zao wanaita suna so kama utalipinga basi mie silipingi
 
Hapa kati kuna kimgogoro kiliingia kati ya urusi na wale wa ukraine ili kuisahaulisha dunia mgogoro mkubwa uliopo wa udhalimu na mauaji ya watu wa gaza , mgogoro , lakini hilo lilishindikana na ndo imejulikana zaidi ya awali
 
Nyie mnawaita wakristo makafiri halafu biblia gani leta huo mstari ulioandikwa makafiri ni wakristo mnaboa kama nyie niwatakatifu nyie sio watakatifu bhana tena nyie mnapenda kufir-'xxccccvna ndio maana mnaoa sana ukiangalia ndio shida kubwa ndio hiyo naushahidi bhana wanaume waislam niliwaacha kisa wanadai mwanamke akiwa kwenye hedhi wameshauriwa kwenda kwenye tundu lapili kushusha haja zao wanaita suna so kama utalipinga basi mie silipingi
Unajua hilo neno makafiri ni wapingaji, nafikiri lingeitwa kwa jina la wapingaji msingelalamika kiasi hicho, kwani wale wa dhehebu la wa pentekoste unajua kwann walikuwa na hilo jina
 
Naamini mpaka sasa duniani hakuna, kama wapo ni wachache sana, wasioelewa kuwa kuna vita inapiganwa kati ya Hamas (Wapalestina) na Mazayuni (israel).

Naomba ieleweke, hakuna vita ya Waarabu na Wayahudi au Waislam na wasio Waislam.

Hamas ni kikundi cha kihalali cha kisiasa na Mazayuni ni kundi 'halali" la kisiasa. Vina sura na mitazamo tofauti, lakini vyote vipo kihalli.

Tukija upande wa israel, wapo, mpaka kwenye jeshi lao, mazayuni wanaojipachika uyahudi wasio nao, kuna Eaislam, kuna wakristo na kuna wasioamini Mungu wala dini, ndiyo wengi zaidi).

Kwa upande wa Hamas ni hivyo hivyo, wapo, wayahudi, wapo Waislam, wapo Wakristo na wapo wachache sana wasioamini kabisa.

Vita inayopigwanwa sasa hivi ni vita kati ya wazuri na wabaya. Wazuri kwa maana ya wanao amini sheria na sharia za Mwenyezi Mungu na wabaya ni katika wasioamini katika mazuri, wao mabaya kwao ndiyo mazuri.

Imefikia mahala sasa, hii itakuwa 'shock" kwa wengi, mpaka viumbe visivyoonekana, wengine wanaita majinni, wengine wanawaita mapepo, wengine wanawaita "ghouls" wengine wanawaita mizimu. Kwa ufupi, viumbe vya kiroho navyo vipo vitani. Kila mmoja anachukuwa upande aupendao kwa sababu zake.

My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku.

Hii ni vita kubwa sana zaidi ya tunavyoichukulia kutokana na vyombo vya habari, siku hizi kila mtu ni mwana habari,

Vita hii imeshaanza kuvuka mipaka ya dunia ya kwanza, hya pili na ya tatu, sasa ipo dunia ya nne na ya tano. Tuombe Mwenyezi Mungu isifike dunia ya sita na ya saba.

Hii mada ni nzito sana kwa wale wanochukulia hii vita kama ushabiki wa yanga na simba.
"My Take; Upande wa mema na mazuri ndiyo upande wa Mwenyezi Mungu na huo ndiyo utakuwa kidedea mwisho wa siku."


Kwa hiyo kutokana na msemo wako hapo juu, hakutakuwa na mshindi wa hii vita maana wote ni magaidi tu.
 
Nyie mnawaita wakristo makafiri halafu biblia gani leta huo mstari ulioandikwa makafiri ni wakristo mnaboa kama nyie niwatakatifu nyie sio watakatifu bhana tena nyie mnapenda kufir-'xxccccvna ndio maana mnaoa sana ukiangalia ndio shida kubwa ndio hiyo naushahidi bhana wanaume waislam niliwaacha kisa wanadai mwanamke akiwa kwenye hedhi wameshauriwa kwenda kwenye tundu lapili kushusha haja zao wanaita suna so kama utalipinga basi mie silipingi
Mbona biblia yenyewe imewataja makafiri?

kama haumfati Mwenyezi Mungu ni kafiri tu.

Ukitaka usiwe katika makafiri jisalimishe na mnyenyekee Mqwenyezi Mungu mmoja tu, ambae hajazaa wala kuzaliwa.

Hayo mrngine ni uongo tu, umedanganywa. Kwanza Muislam wa kweli hawezi kufanya uasherati na uzinzi. Ni kafiri tu huyo.
 
Si kila asiye Muislam ni kafir daima. Mwenyezi Mungu "huutowa umauti kwenye uhai na huutowa uhai kwenye umauti".

Kafiri ni kama wewe usiyejijuwa uko wapi.
Wewe ni miongoni mwa wale mabikira 72.
 
Dunia ya nne ni dunia ya viumbe vinayoitwa Ramadi. Ambavyo ni wachache sana waliokwisha tembelea dunia yetu na ni kwa shughuli maalum tu. Sana wakija ni mmoja au wawili tu, mara nyingi wanishia kwenye milango ya kuingilia duniani. Kwani hata kuwaona bila kujilinda kunaweza kuwaletea binadam madhara makubwa sana. Huishia kwenye milango na hutumia mawakala wao tu wa dunia ya tatu kuingia duniani.


Nakushauri kwanza uyajuwe ya dunia ya kwanza, ya pili na ya tatu kabla hujaanza hizo zingine.
nitafikaje huko mm nataka ni ufahamu ulimwengu wa roho
 
Ni kweli, ni kama ilivyo kwa Waislam wao waislamu ni Mapagani
 
Naam, ni kweli kabisa. hawakosea. Vita yoyote inayihusu ardhi ya Muislam ni jihad.
Ardhi ya muislam? Yupi sasa Mzayuni au Mpalestina?
Huko kote si kuna waislam, na wote wanaitaka hiyo ardhi ni Jihad kwa upande wa nani?

Na kwanini upande huo pekee, ina maana waislam wa upande mwingine wamekengeuka na ardhi sio yao??
 
Quruani imeandikwa Karne ya Saba baadhi ya mambo imekopi na baadhi ni ya uzushi.hata hivyo bado imetaja Mount Zion na Israel.

Quruani kamwe haijawataja Wapalestina hao so called "Wapalestina" ni wavamizi wa Kiarabu waliovamia Jerusalem wakiongozwa na Omar kutoka Hejazi.

Msiidanganye Dunia na uongo wenu wa kutunga na kukopi.
Quran ni story ambazo Waraqa ibn Nauf alikuwa akimkaririsha bwana fulani
 
Kwa kuwa huna uelewa ndiyo mimi nimekuwa "muongo"?

Usilolijuwa ni usiku wa kiza. Jisomee, kama English inapanda:


Ukimaliza kusoma niombe msamaha kwa kukurupuka kwako.
Sasa hiyo link ndiyo imejibu hoja ya huyo aliyekwambia hakuna HAMAS Mkristo? Kwa hata hilo andiko kwenye hiyo link linabembeleza undugu kwa Wakristo ili kuunga mkono kwani umeambiwa upande wa Israel hakuna Wakristo?
 
Naam, ni kweli kabisa. hawakosea. Vita yoyote inayihusu ardhi ya Muislam ni jihad.
Hiyo ardhi uislam kaitoa wapi? Muislam kawakuta Wayahudi pale halafu leo aanze kufai ardhi ni yake? Hivyo si ni vituko?
Pale Mecca , Madina na Saudia yote ni ardhi ya Waislam? Si waliteka na kuua waliowajuta na kulazimisha wengine, je zile dini za awali zikiibuka leo kudai ardhi yao mtaanza tena kudai ni ardhi ya Waislam?
 
Back
Top Bottom