The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Yeeeerrrrreeeeh wanajamvi
Kuna uwezekano timu ya mpira maarufu kwenye ligi ya uingereza liverpool FC kukosa ubingwa msimu huu kutokana na vita huko mashariki ya kati.
Hii vita ya majibizano kati ya taifa teule Israel na Iran itapelekea kuwa vita kamili na kuwa vita ya tatu ya dunia.
Kwa mantiki hiyo kila kitu duniani kitasimama. Shughuli mbali mbali za kijamii na za kiuchumi zitavurugika.
Na ndipo hapo Liverpool itakosa ubingwa wa EPL msimu huu 2024/25.
Liverpool kwa sasa inaongoza kwenye table ikiwa na point 25 ikifuatiwa kwa karibu na Mancity 23 na kibonde Nottingham forest ikiwa ya tatu na point 19.
Senior JF local and international sports correspondent and analyst.
Chaliifrancisco
Nyau de adriz
Kuna uwezekano timu ya mpira maarufu kwenye ligi ya uingereza liverpool FC kukosa ubingwa msimu huu kutokana na vita huko mashariki ya kati.
Hii vita ya majibizano kati ya taifa teule Israel na Iran itapelekea kuwa vita kamili na kuwa vita ya tatu ya dunia.
Kwa mantiki hiyo kila kitu duniani kitasimama. Shughuli mbali mbali za kijamii na za kiuchumi zitavurugika.
Na ndipo hapo Liverpool itakosa ubingwa wa EPL msimu huu 2024/25.
Liverpool kwa sasa inaongoza kwenye table ikiwa na point 25 ikifuatiwa kwa karibu na Mancity 23 na kibonde Nottingham forest ikiwa ya tatu na point 19.
Senior JF local and international sports correspondent and analyst.
Chaliifrancisco
Nyau de adriz