Vita ya kugombea mali za aliyekuwa Mchungaji, Marehemu Getrude Rwakatare sasa imeshika kasi

Vita ya kugombea mali za aliyekuwa Mchungaji, Marehemu Getrude Rwakatare sasa imeshika kasi

Sijui Mimi nikoje!
Katika kuhangaika kwangu kote, sikutaka wala sitaki kutegemea kitu cha mtu yeyote! Eti sijui Mali ya baba, mama, sijui nini... Niko mbali kabisa!
Hata ukinidhulumu, ni kweli nitaumia sana, lakini at the end of the day, napotezea kabisa!
Sijui ooh! tukaye tuyazungumze, sitaki kabisa, nakuwa nimeishaondoa hiyo kitu maishani mwangu! Sitaki kabisa!
Faidika wewe Mimi nikose!
Huwa na imani Kali kwamba Yupo yule anayetupa riziki, anaona uonevu, na Yeye mwenyewe atatenda!
Huwa natafakari sana, kisha natokwa machozi!
 
Baba Yao mmoja mama Rwakatare hakuchakachua ila alizaa mitoto mjinga inayofanana kiakili na ujinga wa upande wa Baba Yao sio upande wake
Basi watoto ni vilaza hapo mali zitapotea wangekuwa na akili wangejiajiri hapo na kuajiri vizazi vyao wakiuza basi wamekwisha
 
Sijui Mimi nikoje!
Katika kuhangaika kwangu kote, sikutaka wala sitaki kutegemea kitu cha mtu yeyote! Eti sijui Mali ya baba, mama, sijui nini... Niko mbali kabisa!
Hata ukinidhulumu, ni kweli nitaumia sana, lakini at the end of the day, napotezea kabisa!
Sijui ooh! tukaye tuyazungumze, sitaki kabisa, nakuwa nimeishaondoa hiyo kitu maishani mwangu! Sitaki kabisa!
Faidika wewe Mimi nikose!
Huwa na imani Kali kwamba Yupo yule anayetupa riziki, anaona uonevu, na Yeye mwenyewe atatenda!
Huwa natafakari sana, kisha natokwa machozi!

Wazazi wako wana Mali gani kwanza tuanzie , hapo kama ni Mashamba Burundi hata Sisi hatuyapigii mahesabu
 
Wote wanarudi kwenye umasikini
Kuna wajanja watapata mwanya kuingilia happ wapige pesa jumlisha na madeni ya izo mali watapotea ugomvi wa ndugu haswa kwenye mali ni laana sana
 
Nawakumbusha kuandika wosia sasa hivi maana hakuna haijuaye kesho yake
 
Waarabu wanawezaje? Sijawai sikia mgogoro wa waarab

N’a wasomali na wahindi wanawezaje

Nasikia Watoto wa mengi wameshauza na ile brand ya maji ya Kilimanjaro, bakhresa ndiyo kanunua. Sijawahi kuona Mu Africa mwenye akili Kwenye mirath na hasa muhusika akifa.

Wale kina msuya na familia yake Wote wanamalizana huko

Hiki kizazi cha Mtu mweusi, kina laaana bhana , tusidanganyane
 
N’a wasomali na wahindi wanawezaje

Nasikia Watoto wa mengi wameshauza na ile brand ya maji ya Kilimanjaro, bakhresa ndiyo kanunua. Sijawahi kuona Mu Africa mwenye akili Kwenye mirath na hasa muhusika akifa.

Wale kina msuya na familia yake Wote wanamalizana huko

Hiki kizazi cha Mtu mweusi, kina laaana bhana , tusidanganyane


Watanzania kwa kutunga story ,naskia naskia naskia 😿😿😿😿
 
Udiwani una faida kubwa sana. Maana mkurugenzi wa manispaa uliyopo anakuwa rafiki yako. Uwekezaji wako unakuwa hausumbuliwi sumbuliwi na watu wa serikalini. Na pia kwenye ma viwanja yakigaiwa wewe unapewa tu kwa urahisi
Halafu ni udiwani wa Kawe. Kiwanja 800M
 
Back
Top Bottom