Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Kwa CCM lo lote linawezekana!Zitto Kabwe anatajwatajwa 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa CCM lo lote linawezekana!Zitto Kabwe anatajwatajwa 😂😂
🤣🤣 cheeZitto Kabwe anatajwatajwa 😂😂
Mbona umemsahau mzee Kabudi naKatika siasa anguko la mmoja ni faraja kwa wengine.Hii imedhihirika ndani ya CCM ambako baada ya anguko la Daniel Chongolo baadhi ya makada wenzake wanahaha kutaka kuwa mrithi wake.
Uzi utaendelea
Komredi William Lukuvi bado ana nafasi kubwa. Ni zao la CCM Chipukizi, Vijana hadi sasa yupo Taifani. Na ukongwe wake, ataifaa sana CCM kwa sasa hasa kuelekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi Mkuu 2025.Katika siasa anguko la mmoja ni faraja kwa wengine.Hii imedhihirika ndani ya CCM ambako baada ya anguko la Daniel Chongolo baadhi ya makada wenzake wanahaha kutaka kuwa mrithi wake.
Uzi utaendelea
Ampe Sabaya, amalize kabisa, kwa sababu zile zile zilizomfanya kumpa uenezi huyu BashiteApewe Hapi
akae Makonda pale, halafu uenezi wampe yule dogo kihongosi 2025 ccm itashinda kwa 99.7
Dr. anarud as mamaa amegeukia upande wenye Makufuli na kuachana na Mizoga.
Astakhafirulahi!Ally Hapi ? Huyu anayetuhumiwa kumkaza shoga anayeitwa Dayson Monson, mwanaume wa kichaga aliyebadili jinsia na kuweka uke bandia.
Ukifi...ra shoga na wewe ni shoga
Bashite watampiga risasi 😂Zitto Kabwe anatajwatajwa 😂😂
Ramli ni haramu!Katika siasa anguko la mmoja ni faraja kwa wengine.Hii imedhihirika ndani ya CCM ambako baada ya anguko la Daniel Chongolo baadhi ya makada wenzake wanahaha kutaka kuwa mrithi wake.
Uzi utaendelea
Muacheni Asha Rose apumzike; miaka imeisha pita sasa!Dr. ASHA ROSE MIGIRO atatufaa sana. Sababu nitazitoa. Ila wamfikirie.
😂😂😂Zitto Kabwe anatajwatajwa 😂😂
Bashir ni mjamaa haendani na hii serikali ya mabwanyenye, bashir atulie hivyo hivyo hadi ateuliwe kugombea urais, akishinda ndo ataanza kunyoosha mmoja baada ya mwingine.Walete wote ila sio wajamaa,
Ila Bashiru Ally ni mtu poa, akiweza mrudisha itakuwa vema sanaaa
Au Sabaya kabisa.Apewe Makonda anatosha
Ujamaa ushafeliKatika siasa anguko la mmoja ni faraja kwa wengine.Hii imedhihirika ndani ya CCM ambako baada ya anguko la Daniel Chongolo baadhi ya makada wenzake wanahaha kutaka kuwa mrithi wake.
Wafuatao wanahangaika kwelikweli
1. Abdalllah Bulembo
Huyu aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi taifa 2012 to 2017 siyo kwasababu ya uwezo wake ila kwa kubebwa na kambi ya Lowassa.
Kwa harakaharaka huyu jamaa hana hata cheti cha form 4.
Ni mpenda rushwa sana kwani alipokuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi aliuza shule za wazazi na shule nyingi za wazazi zilishindwa kujiendesha yeye akiwa Mwenyekiti.
Huyu ni miongoni mwa wana siasa ihena ihena ndani ya CCM.
Alikuwa meneja wa kampeni wa JPM 2015 na JPM alipoingia ikulu alianza kutumia nafasi hiyo kuchota pesa kwa wahindi akidai yeye ndio connecta mkuu hivyo mtu yeyote anayetaka kwenda Ikulu ni lazima apitie kwake.Kwa bahati mbaya Hayati JPM alipata taarifa zake na hakuwahi kumsogelea mpaka alipopatwa na umauti.
Sijui anamshauri nini mkuu wa nchi.
2 Anamringi Macha
Huyu ndiye Naibu katibu Mkuu Bara kwasasa na ndiye anayekaimu nafasi ya Katibu mkuu unfil further notice.
Huyu ni miongoni mwa seniors ndani ya CCM aliyepata kuwa katibu msaidizi mkuu wa idara ya itikadi na uenezi na katibu wa secretariat ya Halmashaurikuu ya CCM.
Ni kiongozi asiye na mvuto katika siasa
Hana uwezo mkubwa katika kudeliver speeches na kwakweli yeye na jukwaa ni paka na panya.
Huyu uongozi wake unatawaliwa na ukabila kama ilivyo kwa swahiba wake ndugu Daniel Chongolo kwani yeye kama Naibu katibu mkuu Bara ndio anasimania masuala ya utumishi.
Tokea yeye na swahiba wake huyo walipoteuliwa CCM imeangukia kwenye ukabila.
Kwanza makatibu wa CCM wa ngazi za wilaya na mikoa pamoja na watendaji wa jumuiya wengi wanatoka Iringa na Njombe kama maelekezo ya Chongolo na yeye kwakuwa anatokea Kilimanjaro hivi sasa ukiingia kwenye ofisi za CCM unaweza kudhani uko Boma Ng'ombe.
Hatahivyo si vyema kiongozi wa namna hii akapewa dhamana ya kuwa mtendaji mkuu wa Chama kikubwa kama CCM.
3 William Lukuvi
Huyu mzee anataka kila kitu
Akisikia Mpango anaumwa anaanza fitna za kupata umakamu kama lolote litatokea
Akisikia Kinana amechoka na anatamani kupumzika anaanza kuwania nafasi ya umakamu Tanzania Bara.
Hivi sasa anapambana kupata ukatibu mkuu.
Huyu alikuwemo kwenye ripoti ya Dr BashiruAlly Kakurwa ile ya wafujaji wa mali za chama.
Unaambiwa JPM aliposoma ripoti ile alisononeka sana kwani hata wale tunaoamini ni wasafi walitajwa kwenye ripoti mfano mzuri ni mzee Mangula na wengineo wengi.
Kwa maoni yangu huyu Lukuvi angebaki na nafasi yake ya sasa ya mshauri wa Rais kwani hana jipya.
CCM inamhitaji katibu mkuu kijana mwenye elimu ya kutosha,Muumini wa falsafa ya ujamaa na kujitegemea,Mwadilifu na Bingwa wa mikakati fulani hv.
Uzi utaendelea
Nimecheka kwa sautiiiii.Zitto Kabwe anatajwatajwa [emoji23][emoji23]
Makamu ni kijana bado? Umri wake bado mdogoMuacheni Asha Rose apumzike; miaka imeisha pita sasa!
Nani kijana bado?Makamu ni kijana bado? Umri wake bado mdogo
Hapo itafaa zaidi wakimpatia makondaKatika siasa anguko la mmoja ni faraja kwa wengine.Hii imedhihirika ndani ya CCM ambako baada ya anguko la Daniel Chongolo baadhi ya makada wenzake wanahaha kutaka kuwa mrithi wake.
Wafuatao wanahangaika kwelikweli
1. Abdalllah Bulembo
Huyu aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi taifa 2012 to 2017 siyo kwasababu ya uwezo wake ila kwa kubebwa na kambi ya Lowassa.
Kwa harakaharaka huyu jamaa hana hata cheti cha form 4.
Ni mpenda rushwa sana kwani alipokuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi aliuza shule za wazazi na shule nyingi za wazazi zilishindwa kujiendesha yeye akiwa Mwenyekiti.
Huyu ni miongoni mwa wana siasa ihena ihena ndani ya CCM.
Alikuwa meneja wa kampeni wa JPM 2015 na JPM alipoingia ikulu alianza kutumia nafasi hiyo kuchota pesa kwa wahindi akidai yeye ndio connecta mkuu hivyo mtu yeyote anayetaka kwenda Ikulu ni lazima apitie kwake.Kwa bahati mbaya Hayati JPM alipata taarifa zake na hakuwahi kumsogelea mpaka alipopatwa na umauti.
Sijui anamshauri nini mkuu wa nchi.
2 Anamringi Macha
Huyu ndiye Naibu katibu Mkuu Bara kwasasa na ndiye anayekaimu nafasi ya Katibu mkuu unfil further notice.
Huyu ni miongoni mwa seniors ndani ya CCM aliyepata kuwa katibu msaidizi mkuu wa idara ya itikadi na uenezi na katibu wa secretariat ya Halmashaurikuu ya CCM.
Ni kiongozi asiye na mvuto katika siasa
Hana uwezo mkubwa katika kudeliver speeches na kwakweli yeye na jukwaa ni paka na panya.
Huyu uongozi wake unatawaliwa na ukabila kama ilivyo kwa swahiba wake ndugu Daniel Chongolo kwani yeye kama Naibu katibu mkuu Bara ndio anasimania masuala ya utumishi.
Tokea yeye na swahiba wake huyo walipoteuliwa CCM imeangukia kwenye ukabila.
Kwanza makatibu wa CCM wa ngazi za wilaya na mikoa pamoja na watendaji wa jumuiya wengi wanatoka Iringa na Njombe kama maelekezo ya Chongolo na yeye kwakuwa anatokea Kilimanjaro hivi sasa ukiingia kwenye ofisi za CCM unaweza kudhani uko Boma Ng'ombe.
Hatahivyo si vyema kiongozi wa namna hii akapewa dhamana ya kuwa mtendaji mkuu wa Chama kikubwa kama CCM.
3 William Lukuvi
Huyu mzee anataka kila kitu
Akisikia Mpango anaumwa anaanza fitna za kupata umakamu kama lolote litatokea
Akisikia Kinana amechoka na anatamani kupumzika anaanza kuwania nafasi ya umakamu Tanzania Bara.
Hivi sasa anapambana kupata ukatibu mkuu.
Huyu alikuwemo kwenye ripoti ya Dr BashiruAlly Kakurwa ile ya wafujaji wa mali za chama.
Unaambiwa JPM aliposoma ripoti ile alisononeka sana kwani hata wale tunaoamini ni wasafi walitajwa kwenye ripoti mfano mzuri ni mzee Mangula na wengineo wengi.
Kwa maoni yangu huyu Lukuvi angebaki na nafasi yake ya sasa ya mshauri wa Rais kwani hana jipya.
CCM inamhitaji katibu mkuu kijana mwenye elimu ya kutosha,Muumini wa falsafa ya ujamaa na kujitegemea,Mwadilifu na Bingwa wa mikakati fulani hv.
Uzi utaendelea