Vita ya kuwania Ukatibu Mkuu wa CCM imepamba moto

Apewe Hapi

❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🚫🚫🚫🚫🚫🚫❌❌❌❌❌❌❌❌❌🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚷🚷🚷🚷🚷🚷🚷🚷🚷✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️🎈🎈🎈🎈🎈🎈⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️⛏️🔨🔨🔨🔨🔨


00%, Failed..!!
 
Hapo itafaa zaidi wakimpatia makonda
Halafu Itikadi na uenezi wampatie yule kijana wa Arusha Lengai ole Sabaya.
❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️✂️🔨🔨🔨🔨🔨🎈🎈🎈🎈🎈🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫🚫

00% Failed
 
Bado hawajaanza kulogana ?
Sasa hivi kwenye vikao vyao hawanywi maji hata zile bites na pipi wanazowekewa haziguswi na mtu.
Lkn pia humu barabarani nadhani wengi watumie usafiri wa uma kwa long distance. Risky Sana kutumia harrier Dar to Mza au Mby.
 
Dr. Bashiru Ally Kakurwa…!! Case closed
CCM Ina wenyewe, bashiru hayupo kwenye hiyo list. Kwanza kabisa kumbuka alimuiya Kinana kujieleza, alimuita Makamba kujieleza, Sasa hapo si alimbakiza mstaafu tu kwenda kujieleza?
 
Apewe Pole2
 
Marekani watawakatia misaada. Nchi ombaomba haiwezi kuwa huru.
unadhani msaada ndio key point

Americans don’t care about your democracy, they care about natural resources and the position kwenye dunia
 
Ally Hapi ? Huyu anayetuhumiwa kumkaza shoga anayeitwa Dayson Monson, mwanaume wa kichaga aliyebadili jinsia na kuweka uke bandia.

Ukifi...ra shoga na wewe ni shoga
Wakati wanatiana wewe ulikua wapi ukiwashuhudia?
 
Wahuni vs Kiroboto

Acha Tuone Mpambano Wao Atakufa Mtu
 
Zee la Cuba litanasa na beat ingawa taste ya Mwenezi imewashtua kidogo wadau kuhusu kanda fulani , nafasi inahitaji mtu mwenye kwenda na upepo wa mtawala .
Chimbo la Cuba litakuwa Sahihi mno.
 
Hapo kwenye ukabila hapo ndoa shida inapoanzia inabidi tutafute watu wenye hawana ukabila , , tutawapate ?
 
Ungemtaja , ili nasi tumchambue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…