Vita ya kuwania Ukatibu Mkuu wa CCM imepamba moto

Nilipofika mwisho nikiona "anayehitajika ni kijana" nikajua huyu mwandishi ni mke wa Bashite kabisa!.
 
Huu uzini spesho kwa Lukuvi
 
Kwavile Kinana ni mzee basi na katibu mkuu awe kikongwe? Uswahiba wake na Samia hauwezi kusaidia chama !
Kumbe ni maswahiba? Kwamba Mwenyekiti ataweka asiye swahiba kuelekea 2025?
 
Mle
 
Nasikia atakuwa William mganga Ngeleja make anapigiwa chaguo toka msoga
Vasco Dagama acheze na wajukuu zake huko Msoga hana issue tena; he is irrelevant , aendelee kula hela alizotuibia basi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…