mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Mpotezeeni Msukuma yule uzi hata hauhusu kushindana yeye anakurupuka kuja kushindana kuonesha watu vitu alivyonavyo ni mambo ya kizamani na ya kitoto.Tena ushamba wa kikuda kweli, umwamba wa kushindana na mtu mtandaoni hata humjui
Inatokea aisee nimewahi ona..!Ni mara chache sana mama kumuonea wivu mwanae na ikitokea hivyo basi ujue huyo mama yuko kwenye chama cha wachawi.
Sisi wanaume kweli tunakaziana...ila nyie wadada kiboko kabisaSure hornet...
Ukiwa unatoa tu Kwa lengo lakutengeneza urafiki,amani na undugu....siku moja utajifunza Kwa maumivu
Huchagui hubagui...sio ungeangalia na shida ya mtu we dadaI learnt this in a very hard way.. siku hizi sina hela ni neno lipo mwanzo wa ulimi..
Yaani SINA HELA .. SINA HELA .. SINA HELA
nimemaliza.
Mkuu huyu jamaa kilichomponza aliacha kazi...then akaingia mtaani akaanza pewa deal feki...ya kwanza ya choroko alipigwa 300 straight...hapo ndio movie inaanzaNoma sana yan, nna uhakika hii ni dar aisee, dar ni noma sana mkuu watu wengi wanapata hela ila hazijai vijana wapo moto sana, how comes 1.3B mtu anaisambaratisha within a year, hatari sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hauwezi kukubali afanikiwe pekee yake halafu wewe anakuachaje na umasikini pekee yako. [emoji23][emoji23][emoji23]Utoboe utoboe uende wapi? This is your destiny hakuna mahali unaenda ni hapahapa kwenye umasikini ndo utabaki na sisi
Kuna wale hakusaidii chochote mwisho wa maongezi ila mwanzoni alikuhoji kama dokta anamhoji mgonjwa wa kisukari na ukafunguka ukijua msaada umepata.Ni kweli mkuu nimetafuta alternative na baada ya hapo nataka ifike mahali niwe na asset flani hata chain au bracelet zile ni rahisi kuweka bond fasta...ukajikomboa halafu mkuu kuomba mtu akakunyima unadhalilika flani hv...
Basi baba msamehe, unatuvua ngua hadi sisi waungwana hapa msamehe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka niweke hadharani nikuoneshe Bank statements na financial status zangu humu za Swiss bank, Swiss Credit, HSBC na Deutsch bank? Ma offshore tax haven huko. Niziweke hadharani?
Nikuwekee humu hadharani mkataba nilioingia wa miaka 10 na price water coopers katika maswala ya kunishauri kulipa kodi na auditing? Niweke hapa stocks zangu lukuki Amazon, Microsoft na Tesla?
Daaah aisee noma sana mkuu noma sanaaaaMkuu huyu jamaa kilichomponza aliacha kazi...then akaingia mtaani akaanza pewa deal feki...ya kwanza ya choroko alipigwa 300 straight...hapo ndio movie inaanza
Hii ndo principal yangu ya kuishiPia chukua hii, usipende kutegemea msaada wowote ule kutoka kwa mtu yeyote yule. Pokea msaada unaokuja wenyewe bila wewe kuutafuta. Ukiishi hivyo hakuna kenge itakusumbua hapa mjini.
Ngoja nitoe ufafanuzi....biashara nimefanya na kampuni x wakati nafanya najua kabisa wataomba document y...nikapuuza maana ilikuaga rahisi kuipata...sasa nikadai malipo kampuni x..wakaniambia tunaomba document y....Mkuu mbona processing fee ya mchongo wako ni kubwa hivyo 2.5M? You just be careful
Okey nimekuelewa mkuu, all the best, ningekua vizuri ningekuazima fast ila hali mbayaNgoja nitoe ufafanuzi....biashara nimefanya na kampuni x wakati nafanya najua kabisa wataomba document y...nikapuuza maana ilikuaga rahisi kuipata...sasa nikadai malipo kampuni x..wakaniambia tunaomba document y....
Hapo ikabidi nitafute kampuni z ndio hua inatoa document y
Pale ili kuipata kwa mchongo ndio wakaomba 3m tukashushana hadi 2.5..nikatoa 1.5 na nafkiri these 2 days nawamalizia 1m yao na j3 nitapata document y niipeleke kampuni x...hizi kampuni mbili hazina mahusiano...
MmmhNgoja nitoe ufafanuzi....biashara nimefanya na kampuni x wakati nafanya najua kabisa wataomba document y...nikapuuza maana ilikuaga rahisi kuipata...sasa nikadai malipo kampuni x..wakaniambia tunaomba document y....
Hapo ikabidi nitafute kampuni z ndio hua inatoa document y
Pale ili kuipata kwa mchongo ndio wakaomba 3m tukashushana hadi 2.5..nikatoa 1.5 na nafkiri these 2 days nawamalizia 1m yao na j3 nitapata document y niipeleke kampuni x...hizi kampuni mbili hazina mahusiano...
Usijali...nishasort this next week namaliza mchezo wote naanza kula konyagi na rost ya ndizi mbiliOkey nimekuelewa mkuu, all the best, ningekua vizuri ningekuazima fast ila hali mbaya
Lazma mkuu na kuna baadhi ya code ntazifunguaMmmh
Usisahau kuleta mrejesho
Ok naomba mualiko wa hiyo rost mkuu, konyagi kunywa mwenyewe 😀😀Usijali...nishasort this next week namaliza mchezo wote naanza kula konyagi na rost ya ndizi mbili
Utapenda na ndizi au ugali ....unakaribishwa sana ntakupa location...Ok naomba mualiko wa hiyo rost mkuu, konyagi kunywa mwenyewe [emoji3][emoji3]