Vita ya nafasi ya pili imepamba moto haswa

Hii imetokea kwa bahati mbaya ama? wapinzani wa mwishoni kwa Azam na kwa Simba wanafanana. Wapinzani wa Azam ndio wapinzani hao hao kwa Simba kumalizia ligi.

KMC
JKT
Geita na
Kagera
 
Mtoto wa mama kutengenezewa njia mtaona Kila ngozi aka 5
 
Azam akishinda hiyo game, nafasi ya pili yake.
Ila hii timu ilivyo ya kizwazwa isiyo na hamasa si ajabu ikatandikwa.
 
Naomba Mungu Simba yetu isipate nafasi ya pili.
 
Mmiliki wa AZAM ni shabiki wa Simba over.

Siongezi wala kupunguza neno.
Ila Azam kupaa kwenye soka ndo dream yake , hivyo kesho ushabiki utabaki mfukoni na ataruhusu vijana wafungue boosters waikande Simba. Azam kushinda kutamletea mabilioni, ataangazia kwenye ugali kwanza!! Hata ungekuwa wewe ungeikanda Simba maana huyu tunae sasa ni Simba mzee hana makali yoyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…