Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi naiombea simba iwe ya piliMada ni vita vya kutafuta nafasi ya kucheza klabu bingwa msimu ujao.
Naomba Mungu Simba yetu isipate nafasi ya pili.Mechi baina ya Simba dhidi ya Azam ndio itakayotoa mwanga ni timu ipi inaweza kucheza klabu bingwa msimu ujao.
Azam wakiwa wameshuka dimbani mara 25 wakijikusanyia alama 57 wanapigana vita dhidi ya Simba ambayo imecheza michezo 24 wakiwa na point 53.
Timu hizo zitakutana wenyewe kwa wenyewe tarehe 9 huku Simba wakihitaji zaidi ushindi ili kukaa nafasi ya pili mapema kabisa.
Hizi hapa ni mechi 4 za Azam baada ya kumalizana na Simba tarehe 9
1) vs KMC- Chamazi
2) vs JKT Tanzania- Isamuhyo
3) vs Kagera- Chamazi
4)vs Geita- Nyankumbu
Hizi ni mechi tano za Simba baada ya mechi dhidi ya Azam
1) Vs Kagera- Kaitaba
2) vs Dodoma- Jamuhuri
3) vs Geita- Chamazi
4) vs KMC- Chamazi
5) vs JKT Tanzania- Chamazi
Je kati ya Azam na Simba ni yupi mwenye ratiba ngumu hapo? Ni yupi ataweza kupambana kucheza champions league msimu ujao?
Ila Azam kupaa kwenye soka ndo dream yake , hivyo kesho ushabiki utabaki mfukoni na ataruhusu vijana wafungue boosters waikande Simba. Azam kushinda kutamletea mabilioni, ataangazia kwenye ugali kwanza!! Hata ungekuwa wewe ungeikanda Simba maana huyu tunae sasa ni Simba mzee hana makali yoyote.Mmiliki wa AZAM ni shabiki wa Simba over.
Siongezi wala kupunguza neno.