Vita ya tatu ya Dunia (WWIII) wewe upo upande gani

Vita ya tatu ya Dunia (WWIII) wewe upo upande gani

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Ndio kwanza Umoja wa Ulaya haupendi kuiona Urusi ikiwa na nguvu. Kwa vyovyote vile lazima wazichape ili kumpunguza nguvu Urusi. Ndio hivyo wanamtumia Ukraine kuanzisha ugomvi ili wamzibue Urusi kirahisi.

Screenshot_20241127_214435_YouTube.jpg


Haya twende Marekani, Biden na Umoja wa Ulaya ni kitu kimoja kama Biden akiondoka madarakani bila kuwasaidia Umoja wa Ulaya kumzibua Urusi Trump hatoweza kuwasaidia.
Screenshot_20241127_214406_YouTube.jpg


Trump alishasema anataka amani na kupunguza bajeti ya mambo ya vita.
Ushirikiano wa Trump na Umoja wa Ulaya hautakua mzuri.

View: https://youtu.be/4JwzdpjGzrI?si=SciRpfsYzfS_fZfX

Hivyo Biden lazima achomoe Betri kabla ya mwezi February wa kumwapicha Trump haujafika.

Majeshi ya NATO yameshaanza kwenda Ukraine huu ndio mwanzo wa vita ya tatu ya duniani.
Mimi nipo upande wa NATO wewe je?
 
Vita sio mpira, vita huchomoa pumzi za watu, huwaacha watu vilema, kuwaingiza watu kwenye umaskini, watu kukosa makazi ya kudumu, n.k..
 
Ndio kwanza Umoja wa Ulaya haupendi kuiona Urusi ikiwa na nguvu. Kwa vyovyote vile lazima wazichape ili kumpunguza nguvu Urusi. Ndio hivyo wanamtumia Ukraine kuanzisha ugomvi ili wamzibue Urusi kirahisi.

View attachment 3163620

Haya twende Marekani, Biden na Umoja wa Ulaya ni kitu kimoja kama Biden akiondoka madarakani bila kuwasaidia Umoja wa Ulaya kumzibua Urusi Trump hatoweza kuwasaidia.
View attachment 3163621

Trump alishasema anataka amani na kupunguza bajeti ya mambo ya vita.
Ushirikiano wa Trump na Umoja wa Ulaya hautakua mzuri.

View: https://youtu.be/4JwzdpjGzrI?si=SciRpfsYzfS_fZfX

Hivyo Biden lazima achomoe Betri kabla ya mwezi February wa kumwapicha Trump haujafika.

Majeshi ya NATO yameshaanza kwenda Ukraine huu ndio mwanzo wa vita ya tatu ya duniani.
Mimi nipo upande wa NATO wewe je?

Kama mtu mweusi, ni vibaya sana kuchagua upande. Waafrika wanaakiwa wachague upande wao
Si wa akoloni tofauti
 
Vita huleta huzun na majonzi
Sifungaman na upande wowote
 
Ile ya Pili nilikuwa Germany ya Hitler, hii sasa naenda na Russia ya Putin... Hawa NATO wamecheleweshwa sana, sasa rasmi tunaenda kuwakanda
 
Mimi nipo na Global West lakini nataka AMANI.
 
Mim binafsi sina upande siwez kuwa na upande madhara ya vita watakao kufa ni binadamu wenzetu
 
Back
Top Bottom