Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kwanza Umoja wa Ulaya haupendi kuiona Urusi ikiwa na nguvu. Kwa vyovyote vile lazima wazichape ili kumpunguza nguvu Urusi. Ndio hivyo wanamtumia Ukraine kuanzisha ugomvi ili wamzibue Urusi kirahisi.
View attachment 3163620
Haya twende Marekani, Biden na Umoja wa Ulaya ni kitu kimoja kama Biden akiondoka madarakani bila kuwasaidia Umoja wa Ulaya kumzibua Urusi Trump hatoweza kuwasaidia.
View attachment 3163621
Trump alishasema anataka amani na kupunguza bajeti ya mambo ya vita.
Ushirikiano wa Trump na Umoja wa Ulaya hautakua mzuri.
View: https://youtu.be/4JwzdpjGzrI?si=SciRpfsYzfS_fZfX
Hivyo Biden lazima achomoe Betri kabla ya mwezi February wa kumwapicha Trump haujafika.
Majeshi ya NATO yameshaanza kwenda Ukraine huu ndio mwanzo wa vita ya tatu ya duniani.
Mimi nipo upande wa NATO wewe je?
Al aqsaMotoni?
Wapigane vita tuanze kuwakopesha misosi.Bara la Afrika lijiweke mbali na vita za wazungu.
Tuwaache wenyewe wachapane mpaka wafirisike.
Wakimaliza vita tuwatawale.
We jamaa hao waingereza ni ndugu zakoUlaya wenye kiherehere cha vita in Uingereza, na labda ufaransa kidogo. Wengine wote wanalazimika tu kujifanya wako pamoja na hao wapenda vita, ili kuonesha msimamo wa pamoja.
Ndio kwanza Umoja wa Ulaya haupendi kuiona Urusi ikiwa na nguvu. Kwa vyovyote vile lazima wazichape ili kumpunguza nguvu Urusi. Ndio hivyo wanamtumia Ukraine kuanzisha ugomvi ili wamzibue Urusi kirahisi.
View attachment 3163620
Haya twende Marekani, Biden na Umoja wa Ulaya ni kitu kimoja kama Biden akiondoka madarakani bila kuwasaidia Umoja wa Ulaya kumzibua Urusi Trump hatoweza kuwasaidia.
View attachment 3163621
Trump alishasema anataka amani na kupunguza bajeti ya mambo ya vita.
Ushirikiano wa Trump na Umoja wa Ulaya hautakua mzuri.
View: https://youtu.be/4JwzdpjGzrI?si=SciRpfsYzfS_fZfX
Hivyo Biden lazima achomoe Betri kabla ya mwezi February wa kumwapicha Trump haujafika.
Majeshi ya NATO yameshaanza kwenda Ukraine huu ndio mwanzo wa vita ya tatu ya duniani.
Mimi nipo upande wa NATO wewe je?
Kwanini?We jamaa hao waingereza ni ndugu zako
Umenikumbusha mbali sana hilo neno sifungamani na upande wowote. Wazungu wanaumiza silaha
Ndio kwanza Umoja wa Ulaya haupendi kuiona Urusi ikiwa na nguvu. Kwa vyovyote vile lazima wazichape ili kumpunguza nguvu Urusi. Ndio hivyo wanamtumia Ukraine kuanzisha ugomvi ili wamzibue Urusi kirahisi.
View attachment 3163620
Haya twende Marekani, Biden na Umoja wa Ulaya ni kitu kimoja kama Biden akiondoka madarakani bila kuwasaidia Umoja wa Ulaya kumzibua Urusi Trump hatoweza kuwasaidia.
View attachment 3163621
Trump alishasema anataka amani na kupunguza bajeti ya mambo ya vita.
Ushirikiano wa Trump na Umoja wa Ulaya hautakua mzuri.
View: https://youtu.be/4JwzdpjGzrI?si=SciRpfsYzfS_fZfX
Hivyo Biden lazima achomoe Betri kabla ya mwezi February wa kumwapicha Trump haujafika.
Majeshi ya NATO yameshaanza kwenda Ukraine huu ndio mwanzo wa vita ya tatu ya duniani.
Mimi nipo upande wa NATO wewe je?
Marekani kawadhoofisha jumuia ya ulaya Kila anachotaka wanaokubali yeye kwake ni salama yaani Ulaya yote ipo mfukoni mwake kama yule mgiriki wa enzi mwalimuUlaya wenye kiherehere cha vita in Uingereza, na labda ufaransa kidogo. Wengine wote wanalazimika tu kujifanya wako pamoja na hao wapenda vita, ili kuonesha msimamo wa pamoja.
Siri ganiKwani UKRAINE ina siri hadi ULAYA na AMERICA wako tayari hata kwa NUKES WAR
?