Vita ya tatu ya Dunia (WWIII) wewe upo upande gani

Vita ya tatu ya Dunia (WWIII) wewe upo upande gani

Bara la Afrika lijiweke mbali na vita za wazungu.
Tuwaache wenyewe wachapane mpaka wafirisike.
Wakimaliza vita tuwatawale.
 
Ndio kwanza Umoja wa Ulaya haupendi kuiona Urusi ikiwa na nguvu. Kwa vyovyote vile lazima wazichape ili kumpunguza nguvu Urusi. Ndio hivyo wanamtumia Ukraine kuanzisha ugomvi ili wamzibue Urusi kirahisi.

View attachment 3163620

Haya twende Marekani, Biden na Umoja wa Ulaya ni kitu kimoja kama Biden akiondoka madarakani bila kuwasaidia Umoja wa Ulaya kumzibua Urusi Trump hatoweza kuwasaidia.
View attachment 3163621

Trump alishasema anataka amani na kupunguza bajeti ya mambo ya vita.
Ushirikiano wa Trump na Umoja wa Ulaya hautakua mzuri.

View: https://youtu.be/4JwzdpjGzrI?si=SciRpfsYzfS_fZfX

Hivyo Biden lazima achomoe Betri kabla ya mwezi February wa kumwapicha Trump haujafika.

Majeshi ya NATO yameshaanza kwenda Ukraine huu ndio mwanzo wa vita ya tatu ya duniani.
Mimi nipo upande wa NATO wewe je?

Ulaya wenye kiherehere cha vita in Uingereza, na labda ufaransa kidogo. Wengine wote wanalazimika tu kujifanya wako pamoja na hao wapenda vita, ili kuonesha msimamo wa pamoja.
 
Ulaya wenye kiherehere cha vita in Uingereza, na labda ufaransa kidogo. Wengine wote wanalazimika tu kujifanya wako pamoja na hao wapenda vita, ili kuonesha msimamo wa pamoja.
We jamaa hao waingereza ni ndugu zako
 
Ndio kwanza Umoja wa Ulaya haupendi kuiona Urusi ikiwa na nguvu. Kwa vyovyote vile lazima wazichape ili kumpunguza nguvu Urusi. Ndio hivyo wanamtumia Ukraine kuanzisha ugomvi ili wamzibue Urusi kirahisi.

View attachment 3163620

Haya twende Marekani, Biden na Umoja wa Ulaya ni kitu kimoja kama Biden akiondoka madarakani bila kuwasaidia Umoja wa Ulaya kumzibua Urusi Trump hatoweza kuwasaidia.
View attachment 3163621

Trump alishasema anataka amani na kupunguza bajeti ya mambo ya vita.
Ushirikiano wa Trump na Umoja wa Ulaya hautakua mzuri.

View: https://youtu.be/4JwzdpjGzrI?si=SciRpfsYzfS_fZfX

Hivyo Biden lazima achomoe Betri kabla ya mwezi February wa kumwapicha Trump haujafika.

Majeshi ya NATO yameshaanza kwenda Ukraine huu ndio mwanzo wa vita ya tatu ya duniani.
Mimi nipo upande wa NATO wewe je?

Hamna vita ya dunia
 
Ndio kwanza Umoja wa Ulaya haupendi kuiona Urusi ikiwa na nguvu. Kwa vyovyote vile lazima wazichape ili kumpunguza nguvu Urusi. Ndio hivyo wanamtumia Ukraine kuanzisha ugomvi ili wamzibue Urusi kirahisi.

View attachment 3163620

Haya twende Marekani, Biden na Umoja wa Ulaya ni kitu kimoja kama Biden akiondoka madarakani bila kuwasaidia Umoja wa Ulaya kumzibua Urusi Trump hatoweza kuwasaidia.
View attachment 3163621

Trump alishasema anataka amani na kupunguza bajeti ya mambo ya vita.
Ushirikiano wa Trump na Umoja wa Ulaya hautakua mzuri.

View: https://youtu.be/4JwzdpjGzrI?si=SciRpfsYzfS_fZfX

Hivyo Biden lazima achomoe Betri kabla ya mwezi February wa kumwapicha Trump haujafika.

Majeshi ya NATO yameshaanza kwenda Ukraine huu ndio mwanzo wa vita ya tatu ya duniani.
Mimi nipo upande wa NATO wewe je?

Russia napenda shida Marekani wa nataka kutawala dunia kwa masilahi yake
 
Ulaya wenye kiherehere cha vita in Uingereza, na labda ufaransa kidogo. Wengine wote wanalazimika tu kujifanya wako pamoja na hao wapenda vita, ili kuonesha msimamo wa pamoja.
Marekani kawadhoofisha jumuia ya ulaya Kila anachotaka wanaokubali yeye kwake ni salama yaani Ulaya yote ipo mfukoni mwake kama yule mgiriki wa enzi mwalimu
 
Kwani UKRAINE ina siri hadi ULAYA na AMERICA wako tayari hata kwa NUKES WAR
?
 
Back
Top Bottom