Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja walau nikusaidie ku comment maana watu wanapita kimya kimya tu kama hawaoni vile.Kadri muda unavyokwenda huu uzi umepoteza uhalisia wake nadhani uliharakisha sana kuuanzisha maana si Pro Ukraine wala Pro Russia,wanaona mapicha picha tu.Kungekuwa na uhalisia walau hata kidogo tu hapa ungeona watu wana tiririka mpaka leo.Habari ya sasa ni 'partial mobilization' baada ya mambo kuwa magumu huko UkraineHaya makosi kwa Urusi ni nani kayapiga?
shida yetu ni kiingereza kaka, lazima kichwani ziwemo ili uweze kuchangia hizi picha.Ngoja walau nikusaidie ku comment maana watu wanapita kimya kimya tu kama hawaoni vile.Kadri muda unavyokwenda huu uzi umepoteza uhalisia wake nadhani uliharakisha sana kuuanzisha maana si Pro Ukraine wala Pro Russia,wanaona mapicha picha tu.Kungekuwa na uhalisia walau hata kidogo tu hapa ungeona watu wana tiririka mpaka leo.Habari ya sasa ni 'partial mobilization' baada ya mambo kuwa magumu huko Ukraine
Ungekuwa unajua vizuri hicho kingereza wewe mtoto wa Buckingham Palace ungekuwa unatiririka mwanzo mwisho,hii ya kwenda kucopy na kupaste kutoka Youtube hata mtoto wa st.kayumba grade 3 anaweza. Uzi umekosa maana ndiyo maana hata Pro Russia wenyewe hawachangii tena,nimesema hapo juu nikusaidie kucomment kidogo.Ngoja tukuache sasa uendelee kucopy na kupaste mwenyewe tu[emoji3]shida yetu ni kiingereza kaka, lazima kichwani ziwemo ili uweze kuchangia hizi picha.
Naangalia uhalisia kwenye referendum
Uzi huu umetembelewa na watu zaidi milioni moja na kuchangiwa na watu zaidi ya 300, je hao hawatoshi? Wewe TU pro-marekani ndiye unamind. Kakojoe ulale, hao waliochangia na kuutembelea sio haba,Ungekuwa unajua vizuri hicho kingereza wewe mtoto wa Buckingham Palace ungekuwa unatiririka mwanzo mwisho,hii ya kwenda kucopy na kupaste kutoka Youtube hata mtoto wa st.kayumba grade 3 anaweza. Uzi umekosa maana ndiyo maana hata Pro Russia wenyewe hawachangii tena,nimesema hapo juu nikusaidie kucomment kidogo.Ngoja tukuache sasa uendelee kucopy na kupaste mwenyewe tu[emoji3]
Mdau vip yale maandamanoHizo ni ramli tuu mlisema pia raisi wa ufaransa atakosa uraisi akapata kwa kishindo na issue ya Ukraine ndio ilimpa kura nyingi
Wazungu wengi hawaipendi urusi wanaipenda Ukraine hivyo wanaunga mkono juhudi zote za kuisaidia Ukraine..
Hivyo tuu jifanye unaipinga Ukraine alafu kagombee
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
We jamaa unapaswa kuitwa kuona mbali,Bojo chali, mrithi wake kakalia kuti kavu,Olaf schloz tangu mwanzo roho mkononi na heshima debe,macron hoi bin taabani na dhoruba bado nayeee🤸,achilia pale Italy kwa aliyekuwa Gradg,Bulgaria waulize wenyewe,mwona mbali ni Victor orban🏃🏃,wengine wote vibaraka wa beberu mkuu na kitakacho mfika hapo november 8,atamjua mzee Trumpet no nabii🏃🏃Wamarekani na wazungu wengi hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine lakini safari hii ni tofauti sana, wameamza kuufahamu upuuzi wa wanasiasa wao. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao.
Wazungu wengi wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri.
Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakiwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami.
Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.
Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
Ujanja wao wote lakini wote wanalia na KAMIKAZEWe jamaa unapaswa kuitwa kuona mbali,Bojo chako, mrithi wake kakalia kiti kavu,Olaf schloz tangu mwanzo roho mkononi na heshima debe,macron hoi bin taabani na dhoruba bado nayeee🤸,achilia pale Italy kwa aliyekuwa Gradg,Bulgaria waulize wenyewe,mwona mbali ni Victor orban🏃🏃,wengine wote vibaraka wa beberu mkuu na kitakacho mfika hapo October 8,atamjua mzee Trumpet no nabii🏃🏃
mmewekeza nguv kuangalia ulaya ila hamjui pia maandamano hayo kwa wiki hz mbili yamekuwepo huko Urusi ila jeshi la polis inayazimaWamarekani na wazungu wengi huwa hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine, lakini safari hii ni tofauti sana, wameanza kuufahamu upuuzi wanaofanya wanasiasa wao kwa wengine. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao. Imewalqzimu kuutafuta ukweli kuhusu wanasiasa wao na sera zao za mambo ya nje.
Wazungu wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri bali zinatumika kugharamia vita visivyowahusu.
Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakuwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami na yule wa Italy.
Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.
Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .
huwa mnahisi Ulaya hakuna mashamba ? subirin muone , yaan miaka yote walikuwa wanalishwa na India ?India imezuia kuuza ngano nje. Ni nchi ya 3 kwa uuzaji wa ngano nje ...
ww andika huku kichwa umekijaza story za vumbi la kongo , wakikususia hivyo virus vyako vitakumaliza wwKaka hii ndio ujue kwamba misaada tunayopewa ndio ndoano ya kuvulia rasilimali zetu. Tusifurahie kupewa misaada na mikopo na wazungu. Mikopo na misaada Yao ni ghali sana. Ogopa sana mtu aliyekupa pesa aliyokopa.
tukumbushane Hitler alitamba miaka mingap ? Putin bata lake ilikuwa ulaya ila sasa hv hana pa kulia bata anaisha kama digi digi , ni swala la muda tuBibi mmoja kipofu wa huko Balkans alishatabiri zamani kuwa Putin atakuwa Lord of the World !! ( Baba Vanga ) sasa hivi ulaya hali ni ngumu sana ni kweli wanasema vikwazo vyote vinawaumiza Raia wao wenyewe !!
wakitoka NATO na EU ndo watapata mafuta , hv unahis wazungu wapuuz km ww buku 2 ya Lumumba inakutesa miaka 5 , wenzio wanajitambuasasa unadhani bibi hakupata kura hata moja? wanaweza wasiipende Russia lakini wazepende pia uhaba wa gesi, ngano na petrol
Tena ndani ya siku tatu, inaweza kuiangusha Ulaya yote na Marekani. Chezea Urusi wewe!Wamarekani na wazungu wengi huwa hawajui kile serikali zao zinachokifanya kwenye mataifa mengine, lakini safari hii ni tofauti sana, wameanza kuufahamu upuuzi wanaofanya wanasiasa wao kwa wengine. Na hii ni baada ya maisha Yao kuguswa na kupanda kwa gharama za maisha kunakotokana na uhaba wa ngano, mafuta ya kupikia, gesi ya kupikia, petrol, umeme na wakimbizi wengi ambao ni wazungu wenzao kwenye mitaa Yao. Imewalqzimu kuutafuta ukweli kuhusu wanasiasa wao na sera zao za mambo ya nje.
Wazungu wengi ndio kwanza wanagundua kuwa kumbe nchi zao zinakopa ili kusaidia kutoa misaada kwa nchi nyingine. Wanagundua kuwa kumbe Kodi zao hazitumiki vizuri bali zinatumika kugharamia vita visivyowahusu.
Vita hii inaweza kuusambaratisha umoja wa Ulaya EU kama hawatakuwa makini, vita hii inaweza kumuondoa madarakani Joe Biden, Boris Johnson na wengine kama yule chancellor wa ujerumami na yule wa Italy.
Vikwazo vyote dhidi ya Urusi vinarudi kwenye nchi zao na watu wao, hii haijawahi kutokea kwao huko nyuma wakati wanaziwekea vikwazo nchi nyingine kama Iran, somalia, Ethiopia, north Korea, au Venezuela.
Wazungu lazima watalazimika kuachana na vita hii maana baadhi ya washirika wa NATO wamegundua kuwa vita hii inanufaisha makampuni ya silaha ya kimarekani .