Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Who’s next??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Who’s next??
Haya makosi kwa Urusi ni nani kayapiga?
Ramli?Hizo ni ramli tuu mlisema pia raisi wa ufaransa atakosa uraisi akapata kwa kishindo na issue ya Ukraine ndio ilimpa kura nyingi
Wazungu wengi hawaipendi urusi wanaipenda Ukraine hivyo wanaunga mkono juhudi zote za kuisaidia Ukraine..
Hivyo tuu jifanye unaipinga Ukraine alafu kagombee
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Fake news, ukijua kutambua chanzo bora cha habari zako utakua umepevukaYaan unawaza Russia kuziangusha nchi za ulaya ila huwazi Ukraine kumwangusha Putin upo serious mseeee? Yaan leo hii Ukraine wanashambulia mpaka ndani ya Russia tofauti na mwanzo hulioni hilo?
Huoni kuwa saiz warusi wana hasira na Putin mpaka wanasubiri waingie barabarani wamtoe kwa nguvu sababu maisha yamekuwa magumu na uwezekano wa kushinda haupo?
jana hujaona battalion nzima imepigika na Ukraine na most of them died?
In short acha story za kwenye kahawa tafuta vyanzo mbalimbali vya habari hutaleta tena humu hizi story za vijiweni
ukiwa na akili fupi ngumu kuelewa , USA mjaluo aliongoza nchi pia UK mhind anaongoza , Vp huko kwa mabasha zako Urusi , Iran , N.Korea na China mmamkonde kama ww unaeza kuwa hata mwenyekiti ? halaf ndo mnasemaga hao mabash zko hawanag ubaguz wa rangi au huko hakuna watu wa asili nyingine ( elewa sio raia wa nchi nyingine )UK kushnei!! wameona ni heri ya Mhindi kuliko wadhambi wenyewe waliopora mali za dunia kupelekea wajukuu zao. Uingereza imekwisha kabisaaa! Wacha nani nijiandae kwenda kuongoza France very soon.
unakuwa kama mtu aliyepagawa. Kama Ukraine na Urusi isingekuwa muhimu kwa ulaya na marekani kusingekuwa na uhaba wa vyakula na nishati huko na bei zisingeyumba. Marekani na Ulaya wanatumia vikwazo kama silaha yao kubwa kwa nchi na watu wasiowapenda. Kuna vikwazo vya aina mbalimbali duniani vilivyowekewa watu binafsi, makampuni binafsi, bidhaa fulani, misaada/mikopo isiende au kutoka nchi mbalimbali duni kuanzia Afrika, Asia, Amerika kusini na Kaskazini. Safari hii wamefunga madirisha mpaka yale yanayoingiza hewa kwenye sebure zao wenyewe.kwamba Ulaya nzima inategemea Ukraine , kipind ukraine ipo ndan USSR mpk 1991 Ulaya walikuwa wanakula wap ? Tumiaga akili si ushabiki , ni sw na mpuuz kusema dar bila mpunga wa Shinyanga dar wanakufa njaa , Ulaya ni kama jalala kila nchi dunian wanapeleka bidhaa na malighafi zao kuuza Ulaya
UK wamechanganyikiwa tu, unadhani kama mambo yangekuwa sawa na kungekuwa na uchaguzi wazungu wangemchagua patel? US ni nchi ya wahamiaji tu ile sio kama UK wewe, kama hujui heri unyamaze tu. Hata hivyo unadhani wazungu wanamkubali Patel? mambo sio shwari hata ndani ya conservative, watu wanarudisha kadi zao za uanachama kumpinga Patelukiwa na akili fupi ngumu kuelewa , USA mjaluo aliongoza nchi pia UK mhind anaongoza , Vp huko kwa mabasha zako Urusi , Iran , N.Korea na China mmamkonde kama ww unaeza kuwa hata mwenyekiti ? halaf ndo mnasemaga hao mabash zko hawanag ubaguz wa rangi au huko hakuna watu wa asili nyingine ( elewa sio raia wa nchi nyingine )
Naam,muda Ni mwalimuNilipokuwa naandika huu Uzi Kuna watu walikuwa wakiuneza na kunibeza pia kwakuwa nawaza mbaaaalinsana zaidi kabla watu hawajafikia kufika huko niliko. Biden na kamara chaaaali!!! Boris Cameron Chali, sunak chaaaali, macron anafuata.
Ndugu mpendwa, bado hatuyaelewi maoni yakoHizo ni ramli tuu mlisema pia raisi wa ufaransa atakosa uraisi akapata kwa kishindo na issue ya Ukraine ndio ilimpa kura nyingi
Wazungu wengi hawaipendi urusi wanaipenda Ukraine hivyo wanaunga mkono juhudi zote za kuisaidia Ukraine..
Hivyo tuu jifanye unaipinga Ukraine alafu kagombee
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Naomba kukuelewaNilipokuwa naandika huu Uzi Kuna watu walikuwa wakiuneza na kunibeza pia kwakuwa nawaza mbaaaalinsana zaidi kabla watu hawajafikia kufika huko niliko. Biden na kamara chaaaali!!! Boris Cameron Chali, sunak chaaaali, macron anafuata.