Vita ya Urusi na Ukraine: Akili na malengo ya Putin nchini Ukraine

Vita ya Urusi na Ukraine: Akili na malengo ya Putin nchini Ukraine

Sawa kabisa, na NATO washenzi, wamemponza mwenzao, anapigana Vita mwenyewe, na Warusi wanahitaji hilo eneo ili wamarekani na vibaraka wao, wawe mbali! Crimea kule mrusi anaiangalia Bahari, wakitaka kuleta manowari zao yupo!

In fact puppet masters wamarekani wamebambwa na hila zao!
Watu wote wenye akili wanaliangalia hili tatizo kwa kina na wanaona chanzo ni Mmarekani sababu yeye ndio ana influence dhidi ya washirika wote wa Nato.

Sio mara ya kwanza Marekani kuanzisha choko choko hizo.
 
Poland yupo nyuma ya Belarus, kufika Poland lazima wapitie Belarus, Belarus iko katikati ya Urusi na Poland!
Sawa nakubaliana nawe ila naomba kujua kwahiyo Urusi hakuona athari yoyote kwa Poland kuwa mshirika wa NATO? Makombora ya nyuklia kutoka Poland hadi kufika Moscow ba shaka ni mwendo wa dakika chache tu.

Je hili la baadhi ya majirani kujiunga na NATO haikuwa shida?
 
Sawa nakubaliana nawe ila naomba kujua kwahiyo Urusi hakuona athari yoyote kwa Poland kuwa mshirika wa NATO? Makombora ya nyuklia kutoka Poland hadi kufika Moscow ba shaka ni mwendo wa dakika chache tu.

Je hili la baadhi ya majirani kujiunga na NATO haikuwa shida?
Poland kweli ni a matter of seconds. Lakini Vita itaathiri innocent lives, za nchi ya Ukraine ikiwa hayupo kokote!
Ukraine pia ana maviwanda mengi Kwa msaada wa Mmarekani, na Europe,
Mrusi mwanzoni aliona ni mahusiano ya biashara Ila kadri muda unavyosonga, kumbe kulikuwa na agenda ingine nyuma yake!

Viwanda hivyo akijiunga na NATO vinaweza kuja kutumika vibaya na hao wanachama wa NATO! Hasa katika masuala ya kutengeneza silaha za nuclear!
Mmarekani anahitaji Sana kuwa karibu na Mrusi ili kumdhibiti, kwamba mrusi akizingua, anamlipulia Kwa ukaribu siyo mbali!
 
Sawa nakubaliana nawe ila naomba kujua kwahiyo Urusi hakuona athari yoyote kwa Poland kuwa mshirika wa NATO? Makombora ya nyuklia kutoka Poland hadi kufika Moscow ba shaka ni mwendo wa dakika chache tu.

Je hili la baadhi ya majirani kujiunga na NATO haikuwa shida?
Kipindi hicho Poland na wengine walipokuwa wanajiunga, urusi alikuwa na changamoto nyingi za kijeshi na kiuchumi baada ya kuanguka kwa Soviet Union. Kwahiyo ilihitaji muda wa maandalizi kuweza kutunishiana misuli na mahasimu wake wa magharibi. Enzi za Boris Yeletstin wamarekani waliamini tayari wameimaliza urusi na hivyo nguvu kubwa wakaelekeza uarabuni, huku nyuma urusi akaendelea kujipanga na kujiimarisha kijeshi na kiuchumi, chini ya utawala wa Putin, Medvedev na baadae Putin tena.
 
Hiyo ni sawa walikubaliana nato isijitanue lakini kwa dunia ya leo kila nchi ni huru inayo uwezo wa kuamua mambo yake bila kuingiliwa na nchi nyingine. Inachopigania ukrein ni uhuru wake wa kuamua mambo bila kuingiliwa na urusi. Kama vile urusi nayo inaamua mambo yake mwenyewe bila kuingiliwa na nchi nyingine. Mfano leo kenya na uganda wakea waamue Tanzania isijiunge na umoja fulani we unafikiri Tanzania itajisikia jee si ni bora waende vitani tuu ili wajue moja.
Unakumbuka zanzibar na umoja wa nchi za kiaarabu?
Halafu NATO ijue impact ya kiuchumi kwa vikwazo ni Globaly kama namba tutazisoma wote hadi walioko Atalanta, na Georgia hadi sisi huku Kivunje kwa Dodo

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni sawa walikubaliana nato isijitanue lakini kwa dunia ya leo kila nchi ni huru inayo uwezo wa kuamua mambo yake bila kuingiliwa na nchi nyingine. Inachopigania ukrein ni uhuru wake wa kuamua mambo bila kuingiliwa na urusi. Kama vile urusi nayo inaamua mambo yake mwenyewe bila kuingiliwa na nchi nyingine. Mfano leo kenya na uganda wakea waamue Tanzania isijiunge na umoja fulani we unafikiri Tanzania itajisikia jee si ni bora waende vitani tuu ili wajue moja.
Mkuu kumbuka historia ya nchi hizo, kiasili hao ni wamoja, tofauti na huo mfano wako wa nairobi na dar.... Na walishakubaliana kitambo na hao wakubwa wa magharibi wakiongozawa na us , lakini ukaidi na ubabe ndio unamuumiza zelensky.. Huku hao nato wakiwa nakula mvinyo tuu kwenye manchi yao..
 
Hiyo ni sawa walikubaliana nato isijitanue lakini kwa dunia ya leo kila nchi ni huru inayo uwezo wa kuamua mambo yake bila kuingiliwa na nchi nyingine. Inachopigania ukrein ni uhuru wake wa kuamua mambo bila kuingiliwa na urusi. Kama vile urusi nayo inaamua mambo yake mwenyewe bila kuingiliwa na nchi nyingine. Mfano leo kenya na uganda wakea waamue Tanzania isijiunge na umoja fulani we unafikiri Tanzania itajisikia jee si ni bora waende vitani tuu ili wajue moja.
Makubaliano yaheshimiwe mbona wewe leo huna umiliki wa ziwa victoria na lipo kwako

Mbona unaheshimu mipaka ya kikoloni (makubaliano ya berlin huko 1885)
 
Hiyo ni sawa walikubaliana nato isijitanue lakini kwa dunia ya leo kila nchi ni huru inayo uwezo wa kuamua mambo yake bila kuingiliwa na nchi nyingine. Inachopigania ukrein ni uhuru wake wa kuamua mambo bila kuingiliwa na urusi. Kama vile urusi nayo inaamua mambo yake mwenyewe bila kuingiliwa na nchi nyingine. Mfano leo kenya na uganda wakea waamue Tanzania isijiunge na umoja fulani we unafikiri Tanzania itajisikia jee si ni bora waende vitani tuu ili wajue moja.
Kama nchi zipo huru kwa nini Iran,Korea zinazuiwa na Wazungu kuunda silaha za nyuklia ?
Nchi hazipo huru ila zina uhuru wa bendera.
Dunia bila Urusi na China, tutapelekeshwa sana na wazungu, watafanya na kuamua watakayo, viongozi wetu watadhalilishwa na hakuna wa kuwanyamanzisha.
Tuombe Urusi na China zisianguke bali ziimarike ili wanyonge tuwe na machaguo iwapo tutahitilafiana na mkubwa mmoja.
Imagine China haipo halafu unawazingua wazungu kisha wanaamua kukuwekea vikwazi za bidhaa zako,silaha teknolojia nk.
Sasa kama kuna superpower zaidi ya moja akikuwekea vikwazo mmoja unahamia kwa mwingine.
Turejee Zimbabwe na vikwazo vya wamagharibi.
Baadhi ya waafrika tunataka Urusi na China zife ila madhara yake ni makubwa sana hasa ukizingatia tabia ya wazungu ya ubabe unyonyaji.
 
Hiyo ni sawa walikubaliana nato isijitanue lakini kwa dunia ya leo kila nchi ni huru inayo uwezo wa kuamua mambo yake bila kuingiliwa na nchi nyingine. Inachopigania ukrein ni uhuru wake wa kuamua mambo bila kuingiliwa na urusi. Kama vile urusi nayo inaamua mambo yake mwenyewe bila kuingiliwa na nchi nyingine. Mfano leo kenya na uganda wakea waamue Tanzania isijiunge na umoja fulani we unafikiri Tanzania itajisikia jee si ni bora waende vitani tuu ili wajue moja.
Ndio maana wako vitani, kama alivyochambua mleta mada!
 
Kipindi hicho Poland na wengine walipokuwa wanajiunga, urusi alikuwa na changamoto nyingi za kijeshi na kiuchumi baada ya kuanguka kwa Soviet Union. Kwahiyo ilihitaji muda wa maandalizi kuweza kutunishiana misuli na mahasimu wake wa magharibi. Enzi za Boris Yeletstin wamarekani waliamini tayari wameimaliza urusi na hivyo nguvu kubwa wakaelekeza uarabuni, huku nyuma urusi akaendelea kujipanga na kujiimarisha kijeshi na kiuchumi, chini ya utawala wa Putin, Medvedev na baadae Putin tena.
Kwa sasa nimeelewa vyema. Shukrani mkuu.
 
Back
Top Bottom