Vita ya Urusi na Ukraine: Akili na malengo ya Putin nchini Ukraine

Vita ya Urusi na Ukraine: Akili na malengo ya Putin nchini Ukraine

Nchi 6 zinazopakana na Russia ambazo tayari ziko NATO ni Norway, Estonia, Latvia, Lithuania, Poland na Uturuki.
Sawa ni kweli hizo nchi zinapakana na Russia kwani kuna sehemu ya ardhi inayoitwa Kaliningrad ambayo ni Russia na inatenganisha Lithuania na Poland mpaka uwe makini sana ndio unaweza kuigundua, pia Norway inapakana na Russia kule Arctic. Uko sahihi.
 
Estonia na Latvia zimepakana kabisa nchi kavu na Russia. Poland na Lithunia zimepakana na jimbo mojawapo la Russia.
History yao Ukraine inashikilia historia kubwa SANA ya Urusi asilia,
Hao wote hawana potential ya kutumika kutengeneza silaha za nuclear, na huko watawala wake siyo comedians kama Ukraine.
Kiukweli ukiiangalia safu ya uongozi ya Ukraine, iliyopo sasa. Unaelewa kabisa kwanini US alikuwa a na awaburuza anavyotaka!
 
Hiyo ni sawa walikubaliana nato isijitanue lakini kwa dunia ya leo kila nchi ni huru inayo uwezo wa kuamua mambo yake bila kuingiliwa na nchi nyingine. Inachopigania ukrein ni uhuru wake wa kuamua mambo bila kuingiliwa na urusi. Kama vile urusi nayo inaamua mambo yake mwenyewe bila kuingiliwa na nchi nyingine. Mfano leo kenya na uganda wakea waamue Tanzania isijiunge na umoja fulani we unafikiri Tanzania itajisikia jee si ni bora waende vitani tuu ili wajue moja.
Ukitaka kujiamulia mambo yako hakikisha una uwezo mkubwa kijeshi na kiuchumi.la sivyo utapigwa tuu
 
Mimi sitaandika msaafu ila utakumbuka hili ninalolisema hapa; "Russia has triggered this heinous violence but she will not come out of it victorious and the history of Russia will be rewritten in the aftermath of this inept invasion".
Wewe anandika ata kiarabu Ila jua Russia siyo nchi kama kinchi chetu iki Ile Una misuli mikubwa imeshaandikwa historia mbaya kwao Kwa miaka nenda Rudi Ila bado inadundaa naona pro NATO mlikuwa nasemaga Rusia siyo super power Ila Kwa hizi suction mmejionea maumivu Hadi kwenye kizazi cha tatu tunayapata nyie mnaisi kuitwa super power ni Jambo dogo
 
Ni kweli wana-share bahari, pia wana-share bahari na Ujerumani na Denmark.

Malengo yao yako wazi tu, wanataka Katiba ya Ukraine ibadilishwe ikubali na kuitambua Crimea ni sehemu ya Urusi, wanataka jamhuri za Donetsk na Lugansk kutambuliwa na Ukraine kuwa nchi huru, pia Ukraine ijitangaze kuwa nchi Neutral . Hayo yakitimia tutaona Urusi wanarudi nyumbani. Ila binafsi natilia shaka kama wataondoka maeneo ya kusini kwenye miji ya Mariupol, Berdyansk, Melitopol na Kherson.
Ongeza na ODESA
 
Mkuu sikatai wanashambuliwa hapa na pale hofu yangu ni kuwa taarifa za wao kupigwa zatiwa chumvi nyingi... ndio
Maana nakutahadharisha. Ila kama unaona haina maana sawa tuendelee na vyanzo hivyo hivyo tu.
Taarifa za vyanzo gani hazitiwi chumvi?

Na kwanini uziamiani?
Mkuu nitashukuru kama utanijibu maswali yangu maana naona hoja hizi zinajirudia sana.Ningependa kupata ufafanuzi .
Na vyombo neutral na credible ni vipi tupate na siye kuvifuatilia!

Thanks!
 
Wewe anandika ata kiarabu Ila jua Russia siyo nchi kama kinchi chetu iki Ile Una misuli mikubwa imeshaandikwa historia mbaya kwao Kwa miaka nenda Rudi Ila bado inadundaa naona pro NATO mlikuwa nasemaga Rusia siyo super power Ila Kwa hizi suction mmejionea maumivu Hadi kwenye kizazi cha tatu tunayapata nyie mnaisi kuitwa super power ni Jambo dogo
Wameuwawa vile bado unasema Super Power na wameshindwa kuipindua serikali ya Ukraine ili waweke kibaraka wao kama walivyokuwa wakiota. Russia sio Super Power, walikuwa Super Power enzi za USSR lakini sio leo.
 
Wameuwawa vile bado unasema Super Power na wameshindwa kuipindua serikali ya Ukraine ili waweke kibaraka wao kama walivyokuwa wakiota. Russia sio Super Power, walikuwa Super Power enzi za USSR lakini sio leo.
Kwani kama unashindwa kupindua serikali nakueka kibaraka wako ndio wawa sio SUPER POWER nimeuliza tu MKUU
 
Wewe anandika ata kiarabu Ila jua Russia siyo nchi kama kinchi chetu iki Ile Una misuli mikubwa imeshaandikwa historia mbaya kwao Kwa miaka nenda Rudi Ila bado inadundaa naona pro NATO mlikuwa nasemaga Rusia siyo super power Ila Kwa hizi suction mmejionea maumivu Hadi kwenye kizazi cha tatu tunayapata nyie mnaisi kuitwa super power ni Jambo dogo
Super Power imesimamishwa na ka nchi kadogo tu hivyo sasa angekuwa anapigana hata na Turkey tu ingekuwaje.

Super Power wa kwenye mitandao na makaratasi. Kuua raia ndio kuwa Super Power..
 
Taarifa za vyanzo gani hazitiwi chumvi?

Na kwanini uziamiani?
Mkuu nitashukuru kama utanijibu maswali yangu maana naona hoja hizi zinajirudia sana.Ningependa kupata ufafanuzi .
Na vyombo neutral na credible ni vipi tupate na siye kuvifuatilia!

Thanks!
Pande zote mbili zinatia chumvi taarifa zao Urusi na Ukraine na washirika wake.

Kwa uchache nitazitaka Reuters na Aljazeera kuwa vyombo vyenye taarifa zisofungamana na upande wowote.

Ila chombo kama Russia today (RT), CNN, BBC kuna mahali taarifa zao zinakuwa zinaegemea upande mmoja.

Hivi ni vyombo kwa ujumla lakini pia kuna waandishi wanakuwa na fikra za kibaguzi.

Ni muhimu sana kupima taarifa zinazotolewa na vyombo vyote, mathalani tukisikia CNN wameripoti mauaji kwenye mji fulani na kuwashtumu watu fulani ni lazima tusikie hao washtumiwa wamejibu nini kutokana na shutuma hizo, hapo ndipo tunapata walau mwangaza wa nini hasa kilitokea.
 
Ngoja nikuulize, hii hofu ya Nato kwa Russia inatoka wapi? Je Nato amewahi kusema kwamba siku moja anataka aichukue Russia halafu ili iweje.

Ebu angalia mataifa mawili wanachama wa Nato kama Estonia na Latvia je hawajapakana na Russia? Kwa nini basi Russia haijawavamia kama walivyoivamia Ukraine ambayo bado hata haijawa mwanachama.?

Huyu Russia yeye nani kampa haki au uhalali wa kuyaamulia mataifa mengine mambo yao?
Kile kile kilichomfanya USA akatae makombora ya wasovieti yasiwekwe CUBA ndio hiko hiko kinachomfanya Russia akatae Ukraine kujiunga na NATO.

Ile nguvu ya USA kuhisi anaweza kuyapangia mataifa mengine (Cuba) ya nini cha kufanya ndio nguvu hiyo hiyo Russia anaitumia kumpangia Ukraine nini cha kufanya!

Kwenye hii dunia ya leo ni aiza uwe na nguvu au ukubali kupangiwa cha kufanya. Hakuna option nyingine! Haiwezekani uwe huna nguvu alafu ujipangie cha kufanya. Mataifa yote duniani yamegawanyika pande hizo. Kuna yenye nguvu (yanayopanga mataifa mengine yafanye nini) na kuna yasiyo na nguvu (yanayopngiwa na mtaifa mengine yafanye nini).
Ukraine na Cuba wako kwenye upande wa wasio na nguvu. Russia na USA wapo kwenye upande wa walio na nguvu.

Kuhusu nini threat ya NATO kwa Russia. Simple logic tu ni kwa nn hiyo NATO inalazimisha sana kumove east!? Why not south or north!?
Kuhusu kwa nini UKraine kwa sababu 1. Strategic position ya Ukraine kwa Russia (kuliko hao wengine uliowataja) 2. Size ya Ukraine 3. Uwepo wa warusi waukraine nchini Ukr (Russian speaking UKRnians) 4. Sasa hv Russia wana nguvu ya kuzuia NATO asijitanue zaidi


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kile kile kilichomfanya USA akatae makombora ya wasovieti yasiwekwe CUBA ndio hiko hiko kinachomfanya Russia akatae Ukraine kujiunga na NATO.

Ile nguvu ya USA kuhisi anaweza kuyapangia mataifa mengine (Cuba) ya nini cha kufanya ndio nguvu hiyo hiyo Russia anaitumia kumpangia Ukraine nini cha kufanya!

Kwenye hii dunia ya leo ni aiza uwe na nguvu au ukubali kupangiwa cha kufanya. Hakuna option nyingine! Haiwezekani uwe huna nguvu alafu ujipangie cha kufanya. Mataifa yote duniani yamegawanyika pande hizo. Kuna yenye nguvu (yanayopanga mataifa mengine yafanye nini) na kuna yasiyo na nguvu (yanayopngiwa na mtaifa mengine yafanye nini).
Ukraine na Cuba wako kwenye upande wa wasio na nguvu. Russia na USA wapo kwenye upande wa walio na nguvu.

Kuhusu nini threat ya NATO kwa Russia. Simple logic tu ni kwa nn hiyo NATO inalazimisha sana kumove east!? Why not south or north!?
Kuhusu kwa nini UKraine kwa sababu 1. Strategic position ya Ukraine kwa Russia (kuliko hao wengine uliowataja) 2. Size ya Ukraine 3. Uwepo wa warusi waukraine nchini Ukr (Russian speaking UKRnians) 4. Sasa hv Russia wana nguvu ya kuzuia NATO asijitanue zaidi


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
These are nothing but mere rhetorics.
 
These are nothing but mere rhetorics.
Hoja zinajibiwa kwa hoja sio kwa vihoja kama vyako MKUU
Pole sanaaa
Naona MKUU triga umemtwanga mtu hoja umeishia kujibiwa kwa vihoja heheheee...!!
Pole kaka ndio watu hoja less wanavyokua ila somo limemkaa ndipo
 
Nani kakudanganya , hakika tembele halitengenezi uji
Hiyo ni sawa walikubaliana nato isijitanue lakini kwa dunia ya leo kila nchi ni huru inayo uwezo wa kuamua mambo yake bila kuingiliwa na nchi nyingine. Inachopigania ukrein ni uhuru wake wa kuamua mambo bila kuingiliwa na urusi. Kama vile urusi nayo inaamua mambo yake mwenyewe bila kuingiliwa na nchi nyingine. Mfano leo kenya na uganda wakea waamue Tanzania isijiunge na umoja fulani we unafikiri Tanzania itajisikia jee si ni bora waende vitani tuu ili wajue moja.
 
Back
Top Bottom