Vita ya Urusi na Ukraine vyaendelea kuwa vikali baada Putin kubadili kamanda

Vita ya Urusi na Ukraine vyaendelea kuwa vikali baada Putin kubadili kamanda

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
1649574319258.png
Raisi Putin amemteua generali Alexander dVOrNIKOV kuwa kamanda mpya wa kuongoza jeshi lake katika nchi ya Ukraine.Generali Alexander ndiye aliyekuwa kamanda wa mwanzo wa Urusi nchini Syria katika kumsaidia raisi Assad kupambana na wapinzani wake walioungwa mkono na Marekani na Israel.

Masaa machache baada ya kuteuliwa kwake tayari imeripotiwa kuweko na misururu mirefu ya vifaru na silaha nzito kuelekea miji ambayo tayari inadhibitiwa na Urusi nchini Ukraine.
 
"Haiwezekani nipeleke msafara wa vifaru wenye urefu wa km 64 kwenda kupigana na comedian harafu msafara wote uteketezwe . kuna hujuma nafanyiwa hapa.Nimeamua kubadirisha makamanda . kwa kweli msiniangushe " alisikika kichaa Putin wa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺.😁😁😁😁😁😁
 
"Haiwezekani nipeleke msafara wa vifaru wenye urefu wa km 64 kwenda kupigana na comedian harafu msafara wote uteketezwe . kuna hujuma nafanyiwa hapa.Nimeamua kubadirisha makamanda . kwa kweli msiniangushe " alisikika kichaa Putin wa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺.😁😁😁😁😁😁
mzee puto kapagawa mwezi na nusu sasa ameshindwa kumaliza mchezo, na majeshi yake yamekula mkong'oto yamerudi nyuma, sasa imebidi ajipange tena maana alifikiri vita ingekuwa rahisi kwake amebweeka mara ohh naweka makombora ya nyuklia kwenye high alert wanaume wanamtazama tu wala hawatishiki, mara ohh wanajeshi wa ukraine wajisalimishe wenyewe, wanaume wakakaza, mara ohh atakayemsaidia ukraine nitadeal nae, ukraine kasaidiwa na anaendelea kusaidiwa, sasa chawa wa russia wakasema ohh zelensky ashakimbia nchi, Boris jana alikuwa naye kyiev anagonga mvinyo huku wakilicheka babu puto kwa zerauu, na Italy ashasema soon anareopen ubalozi wake, huku finland na sweden inatarajiwa soon watajoin nato. Kwa kifupi putin kwa sasa anachezeshwa kama mwanasesere kufanya regime change aweke kibaraka wake ameshindwa, kwenye uchumi amefeli, rafikiye mchina amamtazama kwa mbaaaaali maana anajua kwa sasa russia ananuka nuksi na shombo laana so hataki kujiungamnisha naye kwa 100% maana anajua urusi kiuchumi si size yake yeye kwa sasa anataka ampiku US. Huku rafikiye Imran Khan wa pakistan naye kafurushwa yaan ni sheeeda. Sasa hapo anapambana na ukraine anatokwa na jasho la nywele halafu eti ndo awe na uwezo wa kuikabili nato thubutuuuu ingawa warusi wa mchambawima na matombo watabisha maana wana mahaba sana na babu puto na watakwambia babu puto ana akili nyingi sanaaaaa.
 
mzee puto kapagawa mwezi na nusu sasa ameshindwa kumaliza mchezo, na majeshi yake yamekula mkong'oto yamerudi nyuma, sasa imebidi ajipange tena maana alifikiri vita ingekuwa rahisi kwake amebweeka mara ohh naweka makombora ya nyuklia kwenye high alert wanaume wanamtazama tu wala hawatishiki, mara ohh wanajeshi wa ukraine wajisalimishe wenyewe, wanaume wakakaza, mara ohh atakayemsaidia ukraine nitadeal nae, ukraine kasaidiwa na anaendelea kusaidiwa, sasa chawa wa russia wakasema ohh zelensky ashakimbia nchi, Boris jana alikuwa naye kyiev anagonga mvinyo huku wakilicheka babu puto kwa zerauu, na Italy ashasema soon anareopen ubalozi wake, huku finland na sweden inatarajiwa soon watajoin nato. Kwa kifupi putin kwa sasa anachezeshwa kama mwanasesere kufanya regime change aweke kibaraka wake ameshindwa, kwenye uchumi amefeli, rafikiye mchina amamtazama kwa mbaaaaali maana anajua kwa sasa russia ananuka nuksi na shombo laana so hataki kujiungamnisha naye kwa 100% maana anajua urusi kiuchumi si size yake yeye kwa sasa anataka ampiku US. Huku rafikiye Imran Khan wa pakistan naye kafurushwa yaan ni sheeeda. Sasa hapo anapambana na ukraine anatokwa na jasho la nywele halafu eti ndo awe na uwezo wa kuikabili nato thubutuuuu ingawa warusi wa mchambawima na matombo watabisha maana wana mahaba sana na babu puto na watakwambia babu puto ana akili nyingi sanaaaaa.
👊👊👊
Bila kusahau kuwa mashabiki wa 🇷🇺🇷🇺🇷🇺 wanakwambia NATO wanamwogopa babu Putin. Wakati kwa mdomo wake Putin anasema hataki 🇺🇦🇺🇦🇺🇦 ajiunge na NATO kwa usalama wa Russia.
Hawa mashabiki ni hatari 🤔🤔🤔🤔
 
Kumbadilisha kamanda midway kunamaanisha wazi kwamba ile wanayoita awamu ya kwanza tayari ni majanga matupu na kwamba sasa wanatafuta namna ya kufanya 'amends'

Lakini kwa namna ambavyo Ukraine ameimarishwa kijeshi na maadui wa Russia ambao wanasema hii ndio itakuwa ni a decisive battle to restore the Ukrainian sovereignty na wanaamini fika kwamba Russia atamalizwa kwenye hivi vita kiasi kwamba wameshaanza kumuandalia Ukraine uwanachama wa EU ikiwa kama prelude ya wao kujiunga na Nato.
 
Kumbadilisha kamanda midway kunamaanisha wazi kwamba ile wanayoita awamu ya kwanza tayari ni majanga matupu na kwamba sasa wanatafuta namna ya kufanya 'amends'

Lakini kwa namna ambavyo Ukraine ameimarishwa kijeshi na maadui wa Russia ambao wanasema hii ndio itakuwa ni a decisive battle to restore the Ukrainian sovereignty na wanaamini fika kwamba Russia atamalizwa kwenye hivi vita kiasi kwamba wameshaanza kumuandalia Ukraine uwanachama wa EU ikiwa kama prelude ya wao kujiunga na Nato.
Kwa sasa uwezo wa kijeshi wa ukraine kwa ndani ya nchi hana inabidi asaidiwe toka nje......na awamu ya kwanza ya uvamizi mrusi alijikita zaidi kwenye kuipunguza uwezo wa kijeshi wa Ukraine, ya pili ni kwenda kuimega mashariki, sasa kama ataweza kuendeleza vita kwa supply za majirani ajipange tu itakua ni vita ndeefu
 
Back
Top Bottom