Vita ya Urusi na Ukraine vyaendelea kuwa vikali baada Putin kubadili kamanda

Vita ya Urusi na Ukraine vyaendelea kuwa vikali baada Putin kubadili kamanda

Kihistoria NATO ina uhasama na Urusi.Kutafuta mataifa jirani na Urusi yajiunge NATO ni kufanikisha malengo ya muda mrefu kuishinda Urusi. Hatua ya mwanzo ya Marekani kumtumia kibaraka Gobachev kulifanikiwa nusu kwa nusu hatimae Urusi ikashtuka na kusimama tena.Safari wameamua kumtumia Yahudi aliye jirani na Urusi kurudia njama zao.
Ukiangalia upande wa pili ni akili gani za raisi wa nchi kukubali kuwa kama kuwadi wa nchi za Nato.Kwa faida ya nani.Kwani kubaki taifa huru kujiamulia upendavyo na ukabaki na ujirani mwema na jirani yako au hata kuunganisha udugu naye kwa kuoana au kuuzesha watoto wenu kuna ubaya gani ukilinganisha na vurugu la vita.
Yani Ukraine kujiamulia mambo yake mwenyewe imekuwa shida,au kwakuwa kajiamulia mambo yasiyompendeza Russia ndiyo kosa lake? Taifa huru ni lile linalojiamulia mambo yake lenyewe bila kusikiliza matakwa ya Taifa jirani Period.
 
Haya mambo ya misululu mirefu ya vifaru ni mambo ya kizamani.Tena anafanya hivyo mchana kweupe anaonekana na satelite bila chenga. Droni za Uturuki zitakuwa zinamvizia wakati wa usiku.Hizi droni zimekuwa tishio sana mpaka inafanya vita ya vifaru na misafara ya kijeshi kuwa ni vita ya kishamba kwa sasa.Safari hii msafara ukipigwa bila kufanikisha lengo basi itakuwa ndio mwisho wake.Ajihadhari sana.
Unahisi ule msafara waawali ulipigwa!!?
Unahisi PUT IN hawana akili huo msafara unaenda ukiwa upo full sio Drone hata sisimi haushukii huo
Nautaenda salama salimini mpaka kufika unapopataka
watungulie RT tupate na habari zaupande wapili waache UJINGA
RUSSIA sio ZIMBABWE
 
Kihistoria NATO ina uhasama na Urusi.Kutafuta mataifa jirani na Urusi yajiunge NATO ni kufanikisha malengo ya muda mrefu kuishinda Urusi. Hatua ya mwanzo ya Marekani kumtumia kibaraka Gobachev kulifanikiwa nusu kwa nusu hatimae Urusi ikashtuka na kusimama tena.Safari wameamua kumtumia Yahudi aliye jirani na Urusi kurudia njama zao.
Ukiangalia upande wa pili ni akili gani za raisi wa nchi kukubali kuwa kama kuwadi wa nchi za Nato.Kwa faida ya nani.Kwani kubaki taifa huru kujiamulia upendavyo na ukabaki na ujirani mwema na jirani yako au hata kuunganisha udugu naye kwa kuoana au kuuzesha watoto wenu kuna ubaya gani ukilinganisha na vurugu la vita.
Hii sababu mbona ni yakipumbavu sana.
 
Msururu ulipigwa picha na mavideo kwa mbwembwe na TV za Urusi ukienda Ukraine .Kutoka Ukraine msururu Urusi hawakuonyesha tena kwa kipigo walichopata msafara huo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]RT watathubutuje si watamuuzi mkuu
 
Unahisi ule msafara waawali ulipigwa!!?
Unahisi PUT IN hawana akili huo msafara unaenda ukiwa upo full sio Drone hata sisimi haushukii huo
Nautaenda salama salimini mpaka kufika unapopataka
watungulie RT tupate na habari zaupande wapili waache UJINGA
RUSSIA sio ZIMBABWE
Wanajiita Superpower halafu unataka kueneza propaganda zako kupitia kwa mgongo wa adui yako? Tengeneza njia za uhakika za kuhakikisha vyombo vyako vinaweza kuufikia umma,ukiendelea kuwategemea kina Dstv (kwa Africa) na wengineo ambao ni mabeberu utaishia kulia lia tu
 
hebu tueleze ni kwanini Putin hataki Ukraine ajiunge NATO ?
nato Akiweka Base ukrain kifupi russia atatandikwa asubuhi sana na USA atakuwa mshindi. Kifupi hawa jamaa ngumi zao ziliahirishwa baada ya ww2 na kila mmoja anajiina kuwa mbabe. Ukitaka ujue why? mwambie leo Russia akaweke base Mexico au Cuba? Halagu uone Herber Hoover anavyopiga mkwara
 
Haya mambo ya misululu mirefu ya vifaru ni mambo ya kizamani.Tena anafanya hivyo mchana kweupe anaonekana na satelite bila chenga. Droni za Uturuki zitakuwa zinamvizia wakati wa usiku.Hizi droni zimekuwa tishio sana mpaka inafanya vita ya vifaru na misafara ya kijeshi kuwa ni vita ya kishamba kwa sasa.Safari hii msafara ukipigwa bila kufanikisha lengo basi itakuwa ndio mwisho wake.Ajihadhari sana.
Achana na drone, kuna javeline pia ya muingereza.
 
Yani Ukraine kujiamulia mambo yake mwenyewe imekuwa shida,au kwakuwa kajiamulia mambo yasiyompendeza Russia ndiyo kosa lake? Taifa huru ni lile linalojiamulia mambo yake lenyewe bila kusikiliza matakwa ya Taifa jirani Period.
Mbona kiduku kajiamulia mambo yake mnamwingila??
 
Raisi Putin amemteua generali Alexander dVOrNIKOV kuwa kamanda mpya wa kuongoza jeshi lake katika nchi ya Ukraine.Generali Alexander ndiye aliyekuwa kamanda wa mwanzo wa Urusi nchini Syria katika kumsaidia raisi Assad kupambana na wapinzani wake walioungwa mkono na Marekani na Israel.

Masaa machache baada ya kuteuliwa kwake tayari imeripotiwa kuweko na misururu mirefu ya vifaru na silaha nzito kuelekea miji ambayo tayari inadhibitiwa na Urusi nchini Ukraine.
😍
 
Kwa lugha rahisi utakayoielewa:

Ukraine kujiunga NATO na kumsogeza USA sebuleni ni sawa na mshkaji aliyekuwa amamgonga mkeo kabla hujamuoa kuhamia nyumba opposite kabisa na hapo kwenu huku wewe ukiwa mfanyabiashara unayesafiri sana.

Umenisoma au nifafanue zaidi?
Mkuu usifafanue umeeleweka mpaka umepitiliza.
Mkuu Ila umenichekesha mpaka nataka kutapika futari Mana nimekula nimeshiba mno
 
Kwa lugha rahisi utakayoielewa:

Ukraine kujiunga NATO na kumsogeza USA sebuleni ni sawa na mshkaji aliyekuwa amamgonga mkeo kabla hujamuoa kuhamia nyumba opposite kabisa na hapo kwenu huku wewe ukiwa mfanyabiashara unayesafiri sana.

Umenisoma au nifafanue zaidi?
Mie nahamapo. Kwanza usioe mkeo ukaishi naye hapo hapo. Akishazoea ndoa basi umekwisha kazi kupasha kiporo
 
Back
Top Bottom