Vita ya Urusi na Ukraine vyaendelea kuwa vikali baada Putin kubadili kamanda

Vita ya Urusi na Ukraine vyaendelea kuwa vikali baada Putin kubadili kamanda

Kwa sasa uwezo wa kijeshi wa ukraine kwa ndani ya nchi hana inabidi asaidiwe toka nje......na awamu ya kwanza ya uvamizi mrusi alijikita zaidi kwenye kuipunguza uwezo wa kijeshi wa Ukraine, ya pili ni kwenda kuimega mashariki, sasa kama ataweza kuendeleza vita kwa supply za majirani ajipange tu itakua ni vita ndeefu
Hakuna vita virefu bwana, Russia hiyo jeuri hana ya kupigana na nchi za magharibi "A protracted war".

Hii awamu walikuwa wanamsoma kuona her military capability, strength and weaknesses na tayari wameshamuelewa sasa subiri ngoma utashuhudia mwenyewe.

Kwanza safari hii hawatampa kabisa uwezo wa kuwa na air superiority na watamkatia supply lines, yaani himaya ya Putin ndio inaelekea ukingoni hivyo. Watu wanataka kuanza kuongelea hadithi ya Post Putin Russia.
 
Raisi Putin amemteua generali Alexander dVOrNIKOV kuwa kamanda mpya wa kuongoza jeshi lake katika nchi ya Ukraine.Generali Alexander ndiye aliyekuwa kamanda wa mwanzo wa Urusi nchini Syria katika kumsaidia raisi Assad kupambana na wapinzani wake walioungwa mkono na Marekani na Israel.

Masaa machache baada ya kuteuliwa kwake tayari imeripotiwa kuweko na misururu mirefu ya vifaru na silaha nzito kuelekea miji ambayo tayari inadhibitiwa na Urusi nchini Ukraine.
Supa pawa wa mchongo.
 
Wanajiita Superpower halafu unataka kueneza propaganda zako kupitia kwa mgongo wa adui yako? Tengeneza njia za uhakika za kuhakikisha vyombo vyako vinaweza kuufikia umma,ukiendelea kuwategemea kina Dstv (kwa Africa) na wengineo ambao ni mabeberu utaishia kulia lia tu
Adui gani !!?
Habari zakweli zinajulikana msafara ulifika salama kabisa
Hizo habari zakutofika ama kushambuliwa zakwenu !!!
 
Raisi Putin amemteua generali Alexander dVOrNIKOV kuwa kamanda mpya wa kuongoza jeshi lake katika nchi ya Ukraine.Generali Alexander ndiye aliyekuwa kamanda wa mwanzo wa Urusi nchini Syria katika kumsaidia raisi Assad kupambana na wapinzani wake walioungwa mkono na Marekani na Israel.

Masaa machache baada ya kuteuliwa kwake tayari imeripotiwa kuweko na misururu mirefu ya vifaru na silaha nzito kuelekea miji ambayo tayari inadhibitiwa na Urusi nchini Ukraine.

General Alex, ni hatari sana, is among the most dangerous General in Russia, Ukraine is going to hell. Wait & see
 
Hakuna vita virefu bwana, Russia hiyo jeuri hana ya kupigana na nchi za magharibi "A protracted war".

Hii awamu walikuwa wanamsoma kuona her military capability, strength and weaknesses na tayari wameshamuelewa sasa subiri ngoma utashuhudia mwenyewe.

Kwanza safari hii hawatampa kabisa uwezo wa kuwa na air superiority na watamkatia supply lines, yaani himaya ya Putin ndio inaelekea ukingoni hivyo. Watu wanataka kuanza kuongelea hadithi ya Post Putin Russia.
RUSSIA sio ZIMBABWE
Hayo unayoyawaza kwamba watamfanyia PUT IN na RUSSIA hata hao wenyewe hawajawahi waza kufanya huo UJUHA
Maana watateseka !!!
 
Hua natamani kujibu maswali yako
Ila shida nikwamba hua unapendelea sana vioja badala ya hoja kikubwa utachekacheka halaf utapotea
Ukiwa tayari kujibiana kwahoja tutajibiana no matter hoja zako nazipenda ama sizipendi ila sio kucheka cheka
Hua nnakawaida yakukubali kutokukubaliana
AHSANTE
Kukubali kutokubaliana.
Philosophical . Nakubali
 
nato Akiweka Base ukrain kifupi russia atatandikwa asubuhi sana na USA atakuwa mshindi. Kifupi hawa jamaa ngumi zao ziliahirishwa baada ya ww2 na kila mmoja anajiina kuwa mbabe. Ukitaka ujue why? mwambie leo Russia akaweke base Mexico au Cuba? Halagu uone Herber Hoover anavyopiga mkwara
Izi Ndio habari tunazozipenda

Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya misululu mirefu ya vifaru ni mambo ya kizamani.Tena anafanya hivyo mchana kweupe anaonekana na satelite bila chenga. Droni za Uturuki zitakuwa zinamvizia wakati wa usiku.Hizi droni zimekuwa tishio sana mpaka inafanya vita ya vifaru na misafara ya kijeshi kuwa ni vita ya kishamba kwa sasa.Safari hii msafara ukipigwa bila kufanikisha lengo basi itakuwa ndio mwisho wake.Ajihadhari sana.
Unadhani USSR hajui hili?
Yawezekana ni moja ya mbinu za kumlaghai adui.
Huo msululu yamejaa mabox ya plastic.
Unajua NATO maneno mengi.
 
nato Akiweka Base ukrain kifupi russia atatandikwa asubuhi sana na USA atakuwa mshindi. Kifupi hawa jamaa ngumi zao ziliahirishwa baada ya ww2 na kila mmoja anajiina kuwa mbabe. Ukitaka ujue why? mwambie leo Russia akaweke base Mexico au Cuba? Halagu uone Herber Hoover anavyopiga mkwara
[emoji1][emoji1][emoji1] Huyu huyu Marekani aliyepigwa na wasomali Hadi akakimbia [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Adui gani !!?
Habari zakweli zinajulikana msafara ulifika salama kabisa
Hizo habari zakutofika ama kushambuliwa zakwenu !!!
Ala si wewe umelalamika hapa kuwa Waachilie huru vyombo vya Russia vitoe habari za upande wa pili,kumbe unazo Mkuu
 
Jiran
Yani Ukraine kujiamulia mambo yake mwenyewe imekuwa shida,au kwakuwa kajiamulia mambo yasiyompendeza Russia ndiyo kosa lake? Taifa huru ni lile linalojiamulia mambo yake lenyewe bila kusikiliza matakwa ya Taifa jirani Period.
Jirani akiajiamlia mambo ya hovyo anavunja Uhuru wakujiamlia.
Fikiri jirani yako aweke public music system dirishani kwenu usiku kucha, mwezi nzima.
 
Ndani na mkewake vikwazo sio jambodogo
[emoji1][emoji1]
Screenshot_20220324-162152.jpg
 
Hakuna vita virefu bwana, Russia hiyo jeuri hana ya kupigana na nchi za magharibi "A protracted war".

Hii awamu walikuwa wanamsoma kuona her military capability, strength and weaknesses na tayari wameshamuelewa sasa subiri ngoma utashuhudia mwenyewe.

Kwanza safari hii hawatampa kabisa uwezo wa kuwa na air superiority na watamkatia supply lines, yaani himaya ya Putin ndio inaelekea ukingoni hivyo. Watu wanataka kuanza kuongelea hadithi ya Post Putin Russia.
Hiyo haitatokea, warusi siyo watu wa kushindwa. Wanaroho ngumu zaidi ya Korea ya kasikazini.
 
Jiran
Jirani akiajiamlia mambo ya hovyo anavunja Uhuru wakujiamlia.
Fikiri jirani yako aweke public music system dirishani kwenu usiku kucha, mwezi nzima.
Ndiyo utakwenda kumpiga au utafuata taratibu za kisheria kama kwenda kushtaki kwa mjumbe?
 
Kiuhalisia Hadi sasa ukrain hana jeshi lolote Zaid anatumia mamluki kutoka nje,
Kama ambavyo russia naye anavyotumia wanajeshi wa mchongo kutoka syria, chechen, belarus na bado anapata hasara na kyiev wanajeshi wake wamepata kipondo wakaitema wenyewe maana ni kaa la moto sasa imebidi abadilishe generali wa vita alete aliyeongoza mapambano ya kumlinda asssad wa syria.
 
Back
Top Bottom