Lavan Island
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 2,377
- 2,048
Putin ajaribu kui vamia Tzee aone cha moto yaani atapigika kisawasawa niulize kwanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume wait and see zaidi ya mwezi mzima sasa na hakuna cha maana kilichotokeaGeneral Alex, ni hatari sana, is among the most dangerous General in Russia, Ukraine is going to hell. Wait & see
Watu mmevimbiwa mbaazi mnatusa tu mashuzi.Hakuna vita virefu bwana, Russia hiyo jeuri hana ya kupigana na nchi za magharibi "A protracted war".
Hii awamu walikuwa wanamsoma kuona her military capability, strength and weaknesses na tayari wameshamuelewa sasa subiri ngoma utashuhudia mwenyewe.
Kwanza safari hii hawatampa kabisa uwezo wa kuwa na air superiority na watamkatia supply lines, yaani himaya ya Putin ndio inaelekea ukingoni hivyo. Watu wanataka kuanza kuongelea hadithi ya Post Putin Russia.
Kama vipi mwambie bwanako apige nyeto hadharani ili ujue kama uhuru huo utachekewa na watu.Yani Ukraine kujiamulia mambo yake mwenyewe imekuwa shida,au kwakuwa kajiamulia mambo yasiyompendeza Russia ndiyo kosa lake? Taifa huru ni lile linalojiamulia mambo yake lenyewe bila kusikiliza matakwa ya Taifa jirani Period.
General Alex, ni hatari sana, is among the most dangerous General in Russia, Ukraine is going to hell. Wait & see
First tuliambiwa Kiyv itaanguka soon , tukasubir , kumbe chenga tupu , tukaambiwa halikuwa lengo la Putin 😌 , sasa kabadlisha commanding officer, mission ni kuyachukua majimbo ya mashariki , Sisi kazi yetu ni kusubiri mafanikio, wala sio blah blahRUSSIA sio ZIMBABWE
Hayo unayoyawaza kwamba watamfanyia PUT IN na RUSSIA hata hao wenyewe hawajawahi waza kufanya huo UJUHA
Maana watateseka !!!
Wameshindwa mara nyingi tu na hilo liko documented kabisa, 1903, 1940, 1989 na leo 2022. No country is invincible.Hiyo haitatokea, warusi siyo watu wa kushindwa. Wanaroho ngumu zaidi ya Korea ya kasikazini.
How sure you are ?Kiuhalisia Hadi sasa ukrain hana jeshi lolote Zaid anatumia mamluki kutoka nje,
Huyu ndiye mbabe wa dunia kwa sasa na aliejaa mbinu za kiushawishi wakati wa vita.Na anaweza kuingia kwenye historia ya raisi aliyewindwa muda mrefu zaidi na akarudia usukani bila kudhuriwa.Miaka karibu 20 si mchezo.[emoji1][emoji1]View attachment 2183179
Some people are too barbaric.Ndiyo utakwenda kumpiga au utafuata taratibu za kisheria kama kwenda kushtaki kwa mjumbe?
Ndio maana watz wengi wenye akili dhaifu wanawapenda wajamaa wenzao.Wajamaa huwa hawana akili, wanapenda sana kutumia nguvu bila akili wala hesabu...
Nyie sasa ndio mnalishwa matango pori ndio maana mnatesekaAla si wewe umelalamika hapa kuwa Waachilie huru vyombo vya Russia vitoe habari za upande wa pili,kumbe unazo Mkuu
Pia Russia ijiangalie maana maana walipa Kodi na mzunguko fedha umepungua .Kwa sasa uwezo wa kijeshi wa ukraine kwa ndani ya nchi hana inabidi asaidiwe toka nje......na awamu ya kwanza ya uvamizi mrusi alijikita zaidi kwenye kuipunguza uwezo wa kijeshi wa Ukraine, ya pili ni kwenda kuimega mashariki, sasa kama ataweza kuendeleza vita kwa supply za majirani ajipange tu itakua ni vita ndeefu
Fafanunua. maana Russia na Ukrain si nchi Moja tena.kupitia huo mfano mkeo msha anchana nae saiv ni chambo la maselaKwa lugha rahisi utakayoielewa:
Ukraine kujiunga NATO na kumsogeza USA sebuleni ni sawa na mshkaji aliyekuwa amamgonga mkeo kabla hujamuoa kuhamia nyumba opposite kabisa na hapo kwenu huku wewe ukiwa mfanyabiashara unayesafiri sana.
Umenisoma au nifafanue zaidi?
Kwani huja skia kuwa Kwa upande wa Belarus Wamesepa baada ya kichapo kikali na Wana kilbilia masharikiSasa tutarajie mazuri kutoka kwa mkubwa, baada ya kuimega ukrein yote na kuwa nchi moja ya URUSSI.
Kwani huja skia kuwa Kwa upande wa Belarus Wamesepa baada ya kichapo kikali na Wana kilbilia mashariki
Kwenye mambo kama haya ndo udikteta unapokua na muhimuPia Russia ijiangalie maana maana walipa Kodi na mzunguko fedha umepungua .
Haita saidia kitu maana anakuwa katikq hatar ya kunduliwaKwenye mambo kama haya ndo udikteta unapokua na muhimu