Bob Kawari
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 1,231
- 1,621
Pombe haina dhambi yoyote ndugu, matokeo yake ndio shida kama huwezi jimudu achana nayo, hujui hata ukila chakula ukavimbiwa ni dhambi?Pombe ni dhambi jamani acheni, imeandikwa ole wake ampae mwenzie kilevi. Tena ole wake aamkiae kilevi.
Huyu ni mkishimundu
Huyu ni mkishimundu
Bado sana kwa NYAGI... huyu atasubiri sanaView attachment 933683
Namwona Viol kashatia timu na kifaa chake...
Team captain wa K Vant mheshimiwa Remote nakuona nakuona
Hahahaaa! sisi wadau wa longi hatutupi jongoo na mti wake. mda utafika tu heshima itarudi. Serengeti hawana chao kwenye baa, fikiria bia zao za tusker na serengeti yenyewe, zinajikongoja na ni sababu tu ni za kitambo ndo maana bado ziko sokoni. Miaka michache ya nyuma walitoa serengeti yao (cha ajabu hata jina nimeisahau) lakini haikudumu hata miaka mitatu ikapotea, tena ilikuwa inapatikana baadhi ya maeneo tu.Mzee baba we utakuwa umekunywa maji ya bendera ya TBL... hahahaha
Huko bar Castle lite zimekuwa kama mapambo wallah
Asubutuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji52]
Hii ukiipata ya kule mndenyi ni kiboko kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiki chombo nilikivulia kofia wallah... Badala ya kwenda nyumbani nikajikuta niko kanisani!
View attachment 933730
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Babu shikamooHahahaha...Mdau yuko team gani?
Kama ni team K vant najua utakuwa unapata shughuli pevu kunako... Majamaa yanasema eti K Vant... Hiyo K imesimama badala ya "K" pendwa mnayoimiliki kwenye via vya uzazi
Sikuhizi Kuna fekii??Kutokana na kushindwa kudhibiti copy zake mtaani..kila kona konyagi zipo copy tu ukinywa ni kama gongo[emoji23] [emoji23]
Ila ukiipata yenyewe k vant bado sana kwa yule mnyama
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo ya kaharufu nimeisikia kwa wengi... Nyagi ukiigonga asubuhi mdomo unatoa harufu kama choo cha bar...
huyu huwa ananywea wapi nikae nae siku moja?Yule mnyama hana shukrani bhana... Mi nikimgonga kesho nasahau yaliyojiri. Inafuta memory card kumkichwa ...
Afu haipendagi madharau ya kunywewa kijinga na wamama
View attachment 933706
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Babu maklayanti hao[emoji23][emoji23][emoji23]