actually nina ku award GT's honorable award for the year.
mkuu watu anasema mengi sana lakini wanasahahu kwamba hakuna elimu kama hakuna valid reference. Ukiangalia kwa makini utagunda kwamba Nyambari Nyangwine baadhi ya vitabu vyake vinapotosha sana sana tena vinahadaa kabisa. Upataji wa maarifa ni pamoja na kupata correct and proper knowledge of the subject matter.
sasa most of his books correctness of the subject matter ni ishu kubwa sana sana. angalia vitabu vyake vya litrature na english structure angalia vya biology ni uongo mtakatifu.
kule kwenye maswali na majibu ni uongo mtupu, sintosahau eti swali linasema ""name the vein which transports blood from the liver to the stomach"" jamani jamani kweli hii ni sahihi?? ukienda kwenye majibu unakuta jibu ni hepatic portal vein.
nilichowaambia wanafunzi wangu n kwamba wao wabaki wakariri majibu ya uongo na maarifa potofu huku wakidharau mafunzo ya waalimu wao.
Mkuu @gfsown, kumbuka kuwa Nyambari Nyangwine sio mwandishi wa vitabu bali ni Mjasiriamali anayefadhili kuchapisha vitabu kwa yeyote aliye tayari halafu yeye anachukua commission kwenye mauzo. Atakuwaje na akili ya kuandika English Literature, Fasihi ya Kiswahili, Biology, Mathematics, chemistry, Physics n.k. Tatizo ni kuruhusu soko huria kutawala kila kitu.