ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 631
- 1,577
Mgombea wetu wa Bagamoyo, Ndugu Vitali Mathiasi Maembe ameondolewa kuwania Ubunge wa Jimbo hilo. Majimbo mengine ya Pwani ambayo Wagombea wetu wamekatwa ni Mkuranga na Kibiti.
#Hatukubali
#Hatukubali